Mwaka huu nilipangiwa kifo, sikufa, akafa mshikaji wangu.

Mwaka huu nilipangiwa kifo, sikufa, akafa mshikaji wangu.

Si unaona mwenyewe watu wanasema ni Chai na Mandazi
 
Pole sana mkuu! Mi nadhani baadhi ya manabii wanatumia nguvu za giza, yaani akikushika tu, taarifa zote za nyuma kuhusu wewe anazipata. So ili akulimbikizie matatizo ya mbeleni kwako lazma akuaminishe kwamba anafahamu maisha yako ya nyuma.
Baadae akishakuweka kwenye ramani yake kila unalofanya ni kama ameliandaa yeye.
 
Wakati wako haujafika tu mkuu, ukifika wala hakuna kuulizana, you will perish like a fading horse!
 
Kuna Dada mmoja tulikuwa tukifanya naye KAZI kwenye mamlaka moja ya serikali, bahati mzuri au mbaya akahamishiwa Dodoma, hivyo kituo chake cha KAZI kiko huko.

Mwaka Jana mwishoni tukiwa kwenye maandalizi ya sherehe za mwaka mpya (ambao ni huu, 2024) akanialika niende kwenye kanisa Lao lililopo Dar kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya, naye alikiwepo Dar likizo hiyo.

Ibada ilianza muda wa SAA mbili usiku, bendi ya Praise and worship ilikuwa ikiburudisha na kutumbuiza waumini.

Ilipofika SAA tatu usiku, ndugu Nabii alipanda jukwaani na bila kupoteza muda akaanza kutabiri randomly kwa waumini walioshiri ibada hiyo.

Mara ghafla bin vuu, akaibuka kwangu, akaniuliza, unamfahamu Butogwa? Nikajibu ndio namfahamu, akaanza kuelezea maisha ya ndugu yangu Butogwa aliyefariki mwaka 1998 tukiwa vijana wadogo.

Maelezo yake yalikuwa yamenyooka hayana mbambamba, na akapatia hadi tarehe ambayo mshikaji alitwaliwa na Bwana.

Akaendelea, Akaniambia mwaka huu hutoboi, usipokaa vizuri, kuna roho za ajali na magonjwa zinakuandama.

Miongoni mwa ajali aliyoitabiri na ikatokea vilevile ni ajali ya bodaboda, alitabiri kwamba nitakuwa tabata kwenye bata, nitapigiwa simu muhimu, nitapigiwa, nikiwa njiani nitapata ajali mbaya.

Basi mwezi wa pili siku ya St. Valentine, nilikuwa mapumziko ya kikazi, days off, nikaalikwa tabata, jamaa yangu alikuwa akimu introduce mchumba wake na kumvisha Pete.

Kwakuwa nilikuwa mapumziko, nilienda huko karamuni. Katikati ya karamu, SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.

Basi, nika request Bolt boda, iniwahishe mjini. Fasta ikaja, na mara moja safari ikaanza. Kufika maeneo ya Buguruni, dereva wa boda akaingia nyuma ya Gari ndogo, kwa spidi aliyokiwepo akarushwa hadi mbele ya Ile Gari ndogo aliyoigonga, akagonga kichwa sakafuni na kufa hapohapo, Mimi nilipata majeraha makubwa sana kichwani na sehemu nyingine za mwili. Nilipiga simu kwa mkurugenzi wangu kwamba nimepata ajali nikija kazini, nakimbizwa Amana, ajali ikaniweka bench mwezi mzima nikiwa nje ya kituo Cha KAZI.

Nikiwa najiuguza, Yule Dada wa kazini Dodoma, akanipigia simu kwamba nabii wao kaona nimepata ajali ni nimekishinda kifo na mauti.

Mwezi September 26, rafiki yangu Dr. Gilbert Sanga alifariki ghafla akiwa kazini kwake. Nabii anamtuma binti wa Dodoma anipigie simu, kwamba kuna roho ilikuwa inanizongea, lakini kwasababu Niko vizuri, imemsomba jamaa yangu.

Ajali nyingine mbaya nikipata tarehe 6 Oct, msumari wa 2½ inches uliingia kichwani baada ya kuangukiwa na Banda. Jeraha lilikuwa kubwa likiwa na urefu wa 8 inches na kina cha 2½ inches.

Nilipoteza damu nyingi sana na nilikaa tena bench mwezi mzima nikijiuguza. Nabii hakukoma kunipigia simu kwamba ameona nimepata ajali mbaya. Nikamwambia hebu achana na Mimi, sifi leo, kesho wala ntondogoo.

Namshukuru sana Mungu kwa uzima na afya na kunilinda na kunikinga na mabaya yote.

Sitakufa Bali nitaishi. Kila kwenye wingu jeusi, kuna silver line pale juu.
Manabaa wanaotabiri mabaya na hawawezi kuyazuia sio manabii wa Mungu.
 
Dah.... Kaka nikilegea nabii mchawi atanipoteza
Huyo nabii ni mchawi kweli na anakutafuta kupitia huyo mfanyakazi mwenzako, kwenye upande wa Mungu aliyehai kazi yake ni kuokoa tu kutoka kwenye vifo vinavyopangwa kwenye ulimwengu wa giza. Kifo umekishindinda na neema ya Bwana Yesu Kristo na ushirika wa roho mtakatifu uwe pamoja nawe daima
 
Labda kama anayeua ni Babu yenu kifo utakikwepa na ikiwa anayefisha ni Allah, basi ikiandikwa tarehe Yako hapo huvuki, labda nikufahamishe unapoona sababu za kifo kwa macho Yako Kisha ukafanya juhudi za kukikwepa na ukafanikiwa jua hiyo haikuwa tarehe Yako, kwa hiyo nakuuliza hautakufa? Utakufa, kwa kifo gani? Hakuna anayejua, yaweza kuwa ajali, magonjwa, kiporomokewa, kuungua, kughariki, kupigwa, kurogwa, na sababu nyingine nyingi, hivyo fanya ibada mwabudu mola wako, KIFO NI LAZIMA usidanganywe na ndo maana ulipoambiwa ulitakiwa ufe wewe hukuwa unajua uliepukaje? Tarehe Yako bado ndugu na itafika kama ya huyo ndugu Yako na huenda tukaambiwa alitakiwa afe Fulani ukafa wewe, upuuzi elewa kifo hakikwepwi.
 
Pole sana mkuu! Mi nadhani baadhi ya manabii wanatumia nguvu za giza, yaani akikushika tu, taarifa zote za nyuma kuhusu wewe anazipata. So ili akulimbikizie matatizo ya mbeleni kwako lazma akuaminishe kwamba anafahamu maisha yako ya nyuma.
Baadae akishakuweka kwenye ramani yake kila unalofanya ni kama ameliandaa yeye.
True. Nabii Sanga
 
Kuna Dada mmoja tulikuwa tukifanya naye KAZI kwenye mamlaka moja ya serikali, bahati mzuri au mbaya akahamishiwa Dodoma, hivyo kituo chake cha KAZI kiko huko.

Mwaka Jana mwishoni tukiwa kwenye maandalizi ya sherehe za mwaka mpya (ambao ni huu, 2024) akanialika niende kwenye kanisa Lao lililopo Dar kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya, naye alikiwepo Dar likizo hiyo.

Ibada ilianza muda wa SAA mbili usiku, bendi ya Praise and worship ilikuwa ikiburudisha na kutumbuiza waumini.

Ilipofika SAA tatu usiku, ndugu Nabii alipanda jukwaani na bila kupoteza muda akaanza kutabiri randomly kwa waumini walioshiri ibada hiyo.

Mara ghafla bin vuu, akaibuka kwangu, akaniuliza, unamfahamu Butogwa? Nikajibu ndio namfahamu, akaanza kuelezea maisha ya ndugu yangu Butogwa aliyefariki mwaka 1998 tukiwa vijana wadogo.

Maelezo yake yalikuwa yamenyooka hayana mbambamba, na akapatia hadi tarehe ambayo mshikaji alitwaliwa na Bwana.

Akaendelea, Akaniambia mwaka huu hutoboi, usipokaa vizuri, kuna roho za ajali na magonjwa zinakuandama.

Miongoni mwa ajali aliyoitabiri na ikatokea vilevile ni ajali ya bodaboda, alitabiri kwamba nitakuwa tabata kwenye bata, nitapigiwa simu muhimu, nitapigiwa, nikiwa njiani nitapata ajali mbaya.

Basi mwezi wa pili siku ya St. Valentine, nilikuwa mapumziko ya kikazi, days off, nikaalikwa tabata, jamaa yangu alikuwa akimu introduce mchumba wake na kumvisha Pete.

Kwakuwa nilikuwa mapumziko, nilienda huko karamuni. Katikati ya karamu, SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.

Basi, nika request Bolt boda, iniwahishe mjini. Fasta ikaja, na mara moja safari ikaanza. Kufika maeneo ya Buguruni, dereva wa boda akaingia nyuma ya Gari ndogo, kwa spidi aliyokiwepo akarushwa hadi mbele ya Ile Gari ndogo aliyoigonga, akagonga kichwa sakafuni na kufa hapohapo, Mimi nilipata majeraha makubwa sana kichwani na sehemu nyingine za mwili. Nilipiga simu kwa mkurugenzi wangu kwamba nimepata ajali nikija kazini, nakimbizwa Amana, ajali ikaniweka bench mwezi mzima nikiwa nje ya kituo Cha KAZI.

Nikiwa najiuguza, Yule Dada wa kazini Dodoma, akanipigia simu kwamba nabii wao kaona nimepata ajali ni nimekishinda kifo na mauti.

Mwezi September 26, rafiki yangu Dr. Gilbert Sanga alifariki ghafla akiwa kazini kwake. Nabii anamtuma binti wa Dodoma anipigie simu, kwamba kuna roho ilikuwa inanizongea, lakini kwasababu Niko vizuri, imemsomba jamaa yangu.

Ajali nyingine mbaya nikipata tarehe 6 Oct, msumari wa 2½ inches uliingia kichwani baada ya kuangukiwa na Banda. Jeraha lilikuwa kubwa likiwa na urefu wa 8 inches na kina cha 2½ inches.

Nilipoteza damu nyingi sana na nilikaa tena bench mwezi mzima nikijiuguza. Nabii hakukoma kunipigia simu kwamba ameona nimepata ajali mbaya. Nikamwambia hebu achana na Mimi, sifi leo, kesho wala ntondogoo.

Namshukuru sana Mungu kwa uzima na afya na kunilinda na kunikinga na mabaya yote.

Sitakufa Bali nitaishi. Kila kwenye wingu jeusi, kuna silver line pale juu.
Jiulize kwanini ulianza kupata majanga baada ya kwenda kwa huyo the so called nabii? Jibu baki nalo wewe mwenyewe
 
chenga sana huyu jamaa wanataka kuwapigia chapuo wauza mafuta na udongo.
 
Kama Kifo ni kibaya kwanini kilipangwa in the first place ? Ukizingatia unaamini kwamba aliyepanga yote ni mwema mwenye upendo na kazi yake haina makosa ?

Que Sera Sera....
 
Kuna Dada mmoja tulikuwa tukifanya naye KAZI kwenye mamlaka moja ya serikali, bahati mzuri au mbaya akahamishiwa Dodoma, hivyo kituo chake cha KAZI kiko huko.

Mwaka Jana mwishoni tukiwa kwenye maandalizi ya sherehe za mwaka mpya (ambao ni huu, 2024) akanialika niende kwenye kanisa Lao lililopo Dar kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya, naye alikiwepo Dar likizo hiyo.

Ibada ilianza muda wa SAA mbili usiku, bendi ya Praise and worship ilikuwa ikiburudisha na kutumbuiza waumini.

Ilipofika SAA tatu usiku, ndugu Nabii alipanda jukwaani na bila kupoteza muda akaanza kutabiri randomly kwa waumini walioshiri ibada hiyo.

Mara ghafla bin vuu, akaibuka kwangu, akaniuliza, unamfahamu Butogwa? Nikajibu ndio namfahamu, akaanza kuelezea maisha ya ndugu yangu Butogwa aliyefariki mwaka 1998 tukiwa vijana wadogo.

Maelezo yake yalikuwa yamenyooka hayana mbambamba, na akapatia hadi tarehe ambayo mshikaji alitwaliwa na Bwana.

Akaendelea, Akaniambia mwaka huu hutoboi, usipokaa vizuri, kuna roho za ajali na magonjwa zinakuandama.

Miongoni mwa ajali aliyoitabiri na ikatokea vilevile ni ajali ya bodaboda, alitabiri kwamba nitakuwa tabata kwenye bata, nitapigiwa simu muhimu, nitapigiwa, nikiwa njiani nitapata ajali mbaya.

Basi mwezi wa pili siku ya St. Valentine, nilikuwa mapumziko ya kikazi, days off, nikaalikwa tabata, jamaa yangu alikuwa akimu introduce mchumba wake na kumvisha Pete.

Kwakuwa nilikuwa mapumziko, nilienda huko karamuni. Katikati ya karamu, SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.

Basi, nika request Bolt boda, iniwahishe mjini. Fasta ikaja, na mara moja safari ikaanza. Kufika maeneo ya Buguruni, dereva wa boda akaingia nyuma ya Gari ndogo, kwa spidi aliyokiwepo akarushwa hadi mbele ya Ile Gari ndogo aliyoigonga, akagonga kichwa sakafuni na kufa hapohapo, Mimi nilipata majeraha makubwa sana kichwani na sehemu nyingine za mwili. Nilipiga simu kwa mkurugenzi wangu kwamba nimepata ajali nikija kazini, nakimbizwa Amana, ajali ikaniweka bench mwezi mzima nikiwa nje ya kituo Cha KAZI.

Nikiwa najiuguza, Yule Dada wa kazini Dodoma, akanipigia simu kwamba nabii wao kaona nimepata ajali ni nimekishinda kifo na mauti.

Mwezi September 26, rafiki yangu Dr. Gilbert Sanga alifariki ghafla akiwa kazini kwake. Nabii anamtuma binti wa Dodoma anipigie simu, kwamba kuna roho ilikuwa inanizongea, lakini kwasababu Niko vizuri, imemsomba jamaa yangu.

Ajali nyingine mbaya nikipata tarehe 6 Oct, msumari wa 2½ inches uliingia kichwani baada ya kuangukiwa na Banda. Jeraha lilikuwa kubwa likiwa na urefu wa 8 inches na kina cha 2½ inches.

Nilipoteza damu nyingi sana na nilikaa tena bench mwezi mzima nikijiuguza. Nabii hakukoma kunipigia simu kwamba ameona nimepata ajali mbaya. Nikamwambia hebu achana na Mimi, sifi leo, kesho wala ntondogoo.

Namshukuru sana Mungu kwa uzima na afya na kunilinda na kunikinga na mabaya yote.

Sitakufa Bali nitaishi. Kila kwenye wingu jeusi, kuna silver line pale juu.

Pole na hongera sana mkuu. Maisha yetu yako mikononi mwa bwana
 
Acha kumnyima masihi was bwana sadaka hebu weka jina na namba ya simu tutiririke!!
 
Kuna Dada mmoja tulikuwa tukifanya naye KAZI kwenye mamlaka moja ya serikali, bahati mzuri au mbaya akahamishiwa Dodoma, hivyo kituo chake cha KAZI kiko huko.

Mwaka Jana mwishoni tukiwa kwenye maandalizi ya sherehe za mwaka mpya (ambao ni huu, 2024) akanialika niende kwenye kanisa Lao lililopo Dar kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya, naye alikiwepo Dar likizo hiyo.

Ibada ilianza muda wa SAA mbili usiku, bendi ya Praise and worship ilikuwa ikiburudisha na kutumbuiza waumini.

Ilipofika SAA tatu usiku, ndugu Nabii alipanda jukwaani na bila kupoteza muda akaanza kutabiri randomly kwa waumini walioshiri ibada hiyo.

Mara ghafla bin vuu, akaibuka kwangu, akaniuliza, unamfahamu Butogwa? Nikajibu ndio namfahamu, akaanza kuelezea maisha ya ndugu yangu Butogwa aliyefariki mwaka 1998 tukiwa vijana wadogo.

Maelezo yake yalikuwa yamenyooka hayana mbambamba, na akapatia hadi tarehe ambayo mshikaji alitwaliwa na Bwana.

Akaendelea, Akaniambia mwaka huu hutoboi, usipokaa vizuri, kuna roho za ajali na magonjwa zinakuandama.

Miongoni mwa ajali aliyoitabiri na ikatokea vilevile ni ajali ya bodaboda, alitabiri kwamba nitakuwa tabata kwenye bata, nitapigiwa simu muhimu, nitapigiwa, nikiwa njiani nitapata ajali mbaya.

Basi mwezi wa pili siku ya St. Valentine, nilikuwa mapumziko ya kikazi, days off, nikaalikwa tabata, jamaa yangu alikuwa akimu introduce mchumba wake na kumvisha Pete.

Kwakuwa nilikuwa mapumziko, nilienda huko karamuni. Katikati ya karamu, SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.

Basi, nika request Bolt boda, iniwahishe mjini. Fasta ikaja, na mara moja safari ikaanza. Kufika maeneo ya Buguruni, dereva wa boda akaingia nyuma ya Gari ndogo, kwa spidi aliyokiwepo akarushwa hadi mbele ya Ile Gari ndogo aliyoigonga, akagonga kichwa sakafuni na kufa hapohapo, Mimi nilipata majeraha makubwa sana kichwani na sehemu nyingine za mwili. Nilipiga simu kwa mkurugenzi wangu kwamba nimepata ajali nikija kazini, nakimbizwa Amana, ajali ikaniweka bench mwezi mzima nikiwa nje ya kituo Cha KAZI.

Nikiwa najiuguza, Yule Dada wa kazini Dodoma, akanipigia simu kwamba nabii wao kaona nimepata ajali ni nimekishinda kifo na mauti.

Mwezi September 26, rafiki yangu Dr. Gilbert Sanga alifariki ghafla akiwa kazini kwake. Nabii anamtuma binti wa Dodoma anipigie simu, kwamba kuna roho ilikuwa inanizongea, lakini kwasababu Niko vizuri, imemsomba jamaa yangu.

Ajali nyingine mbaya nikipata tarehe 6 Oct, msumari wa 2½ inches uliingia kichwani baada ya kuangukiwa na Banda. Jeraha lilikuwa kubwa likiwa na urefu wa 8 inches na kina cha 2½ inches.

Nilipoteza damu nyingi sana na nilikaa tena bench mwezi mzima nikijiuguza. Nabii hakukoma kunipigia simu kwamba ameona nimepata ajali mbaya. Nikamwambia hebu achana na Mimi, sifi leo, kesho wala ntondogoo.

Namshukuru sana Mungu kwa uzima na afya na kunilinda na kunikinga na mabaya yote.

Sitakufa Bali nitaishi. Kila kwenye wingu jeusi, kuna silver line pale juu.
Hii ni Chai...Nabii gani afuatilie maisha ya kila aliyekuja kanisani kwake na apate muda wa kumpigia simu
 
Back
Top Bottom