TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Vipi jahazi lilizama?SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi jahazi lilizama?SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.
Si unaona mwenyewe watu wanasema ni Chai na Mandazi
kumbe umeisitukia nawewe?Hili baadae litageuka kama Tangazo. Imekuja kimkakati
Manabaa wanaotabiri mabaya na hawawezi kuyazuia sio manabii wa Mungu.Kuna Dada mmoja tulikuwa tukifanya naye KAZI kwenye mamlaka moja ya serikali, bahati mzuri au mbaya akahamishiwa Dodoma, hivyo kituo chake cha KAZI kiko huko.
Mwaka Jana mwishoni tukiwa kwenye maandalizi ya sherehe za mwaka mpya (ambao ni huu, 2024) akanialika niende kwenye kanisa Lao lililopo Dar kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya, naye alikiwepo Dar likizo hiyo.
Ibada ilianza muda wa SAA mbili usiku, bendi ya Praise and worship ilikuwa ikiburudisha na kutumbuiza waumini.
Ilipofika SAA tatu usiku, ndugu Nabii alipanda jukwaani na bila kupoteza muda akaanza kutabiri randomly kwa waumini walioshiri ibada hiyo.
Mara ghafla bin vuu, akaibuka kwangu, akaniuliza, unamfahamu Butogwa? Nikajibu ndio namfahamu, akaanza kuelezea maisha ya ndugu yangu Butogwa aliyefariki mwaka 1998 tukiwa vijana wadogo.
Maelezo yake yalikuwa yamenyooka hayana mbambamba, na akapatia hadi tarehe ambayo mshikaji alitwaliwa na Bwana.
Akaendelea, Akaniambia mwaka huu hutoboi, usipokaa vizuri, kuna roho za ajali na magonjwa zinakuandama.
Miongoni mwa ajali aliyoitabiri na ikatokea vilevile ni ajali ya bodaboda, alitabiri kwamba nitakuwa tabata kwenye bata, nitapigiwa simu muhimu, nitapigiwa, nikiwa njiani nitapata ajali mbaya.
Basi mwezi wa pili siku ya St. Valentine, nilikuwa mapumziko ya kikazi, days off, nikaalikwa tabata, jamaa yangu alikuwa akimu introduce mchumba wake na kumvisha Pete.
Kwakuwa nilikuwa mapumziko, nilienda huko karamuni. Katikati ya karamu, SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.
Basi, nika request Bolt boda, iniwahishe mjini. Fasta ikaja, na mara moja safari ikaanza. Kufika maeneo ya Buguruni, dereva wa boda akaingia nyuma ya Gari ndogo, kwa spidi aliyokiwepo akarushwa hadi mbele ya Ile Gari ndogo aliyoigonga, akagonga kichwa sakafuni na kufa hapohapo, Mimi nilipata majeraha makubwa sana kichwani na sehemu nyingine za mwili. Nilipiga simu kwa mkurugenzi wangu kwamba nimepata ajali nikija kazini, nakimbizwa Amana, ajali ikaniweka bench mwezi mzima nikiwa nje ya kituo Cha KAZI.
Nikiwa najiuguza, Yule Dada wa kazini Dodoma, akanipigia simu kwamba nabii wao kaona nimepata ajali ni nimekishinda kifo na mauti.
Mwezi September 26, rafiki yangu Dr. Gilbert Sanga alifariki ghafla akiwa kazini kwake. Nabii anamtuma binti wa Dodoma anipigie simu, kwamba kuna roho ilikuwa inanizongea, lakini kwasababu Niko vizuri, imemsomba jamaa yangu.
Ajali nyingine mbaya nikipata tarehe 6 Oct, msumari wa 2½ inches uliingia kichwani baada ya kuangukiwa na Banda. Jeraha lilikuwa kubwa likiwa na urefu wa 8 inches na kina cha 2½ inches.
Nilipoteza damu nyingi sana na nilikaa tena bench mwezi mzima nikijiuguza. Nabii hakukoma kunipigia simu kwamba ameona nimepata ajali mbaya. Nikamwambia hebu achana na Mimi, sifi leo, kesho wala ntondogoo.
Namshukuru sana Mungu kwa uzima na afya na kunilinda na kunikinga na mabaya yote.
Sitakufa Bali nitaishi. Kila kwenye wingu jeusi, kuna silver line pale juu.
Huyo nabii ni mchawi kweli na anakutafuta kupitia huyo mfanyakazi mwenzako, kwenye upande wa Mungu aliyehai kazi yake ni kuokoa tu kutoka kwenye vifo vinavyopangwa kwenye ulimwengu wa giza. Kifo umekishindinda na neema ya Bwana Yesu Kristo na ushirika wa roho mtakatifu uwe pamoja nawe daimaDah.... Kaka nikilegea nabii mchawi atanipoteza
True. Nabii SangaPole sana mkuu! Mi nadhani baadhi ya manabii wanatumia nguvu za giza, yaani akikushika tu, taarifa zote za nyuma kuhusu wewe anazipata. So ili akulimbikizie matatizo ya mbeleni kwako lazma akuaminishe kwamba anafahamu maisha yako ya nyuma.
Baadae akishakuweka kwenye ramani yake kila unalofanya ni kama ameliandaa yeye.
Jiulize kwanini ulianza kupata majanga baada ya kwenda kwa huyo the so called nabii? Jibu baki nalo wewe mwenyeweKuna Dada mmoja tulikuwa tukifanya naye KAZI kwenye mamlaka moja ya serikali, bahati mzuri au mbaya akahamishiwa Dodoma, hivyo kituo chake cha KAZI kiko huko.
Mwaka Jana mwishoni tukiwa kwenye maandalizi ya sherehe za mwaka mpya (ambao ni huu, 2024) akanialika niende kwenye kanisa Lao lililopo Dar kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya, naye alikiwepo Dar likizo hiyo.
Ibada ilianza muda wa SAA mbili usiku, bendi ya Praise and worship ilikuwa ikiburudisha na kutumbuiza waumini.
Ilipofika SAA tatu usiku, ndugu Nabii alipanda jukwaani na bila kupoteza muda akaanza kutabiri randomly kwa waumini walioshiri ibada hiyo.
Mara ghafla bin vuu, akaibuka kwangu, akaniuliza, unamfahamu Butogwa? Nikajibu ndio namfahamu, akaanza kuelezea maisha ya ndugu yangu Butogwa aliyefariki mwaka 1998 tukiwa vijana wadogo.
Maelezo yake yalikuwa yamenyooka hayana mbambamba, na akapatia hadi tarehe ambayo mshikaji alitwaliwa na Bwana.
Akaendelea, Akaniambia mwaka huu hutoboi, usipokaa vizuri, kuna roho za ajali na magonjwa zinakuandama.
Miongoni mwa ajali aliyoitabiri na ikatokea vilevile ni ajali ya bodaboda, alitabiri kwamba nitakuwa tabata kwenye bata, nitapigiwa simu muhimu, nitapigiwa, nikiwa njiani nitapata ajali mbaya.
Basi mwezi wa pili siku ya St. Valentine, nilikuwa mapumziko ya kikazi, days off, nikaalikwa tabata, jamaa yangu alikuwa akimu introduce mchumba wake na kumvisha Pete.
Kwakuwa nilikuwa mapumziko, nilienda huko karamuni. Katikati ya karamu, SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.
Basi, nika request Bolt boda, iniwahishe mjini. Fasta ikaja, na mara moja safari ikaanza. Kufika maeneo ya Buguruni, dereva wa boda akaingia nyuma ya Gari ndogo, kwa spidi aliyokiwepo akarushwa hadi mbele ya Ile Gari ndogo aliyoigonga, akagonga kichwa sakafuni na kufa hapohapo, Mimi nilipata majeraha makubwa sana kichwani na sehemu nyingine za mwili. Nilipiga simu kwa mkurugenzi wangu kwamba nimepata ajali nikija kazini, nakimbizwa Amana, ajali ikaniweka bench mwezi mzima nikiwa nje ya kituo Cha KAZI.
Nikiwa najiuguza, Yule Dada wa kazini Dodoma, akanipigia simu kwamba nabii wao kaona nimepata ajali ni nimekishinda kifo na mauti.
Mwezi September 26, rafiki yangu Dr. Gilbert Sanga alifariki ghafla akiwa kazini kwake. Nabii anamtuma binti wa Dodoma anipigie simu, kwamba kuna roho ilikuwa inanizongea, lakini kwasababu Niko vizuri, imemsomba jamaa yangu.
Ajali nyingine mbaya nikipata tarehe 6 Oct, msumari wa 2½ inches uliingia kichwani baada ya kuangukiwa na Banda. Jeraha lilikuwa kubwa likiwa na urefu wa 8 inches na kina cha 2½ inches.
Nilipoteza damu nyingi sana na nilikaa tena bench mwezi mzima nikijiuguza. Nabii hakukoma kunipigia simu kwamba ameona nimepata ajali mbaya. Nikamwambia hebu achana na Mimi, sifi leo, kesho wala ntondogoo.
Namshukuru sana Mungu kwa uzima na afya na kunilinda na kunikinga na mabaya yote.
Sitakufa Bali nitaishi. Kila kwenye wingu jeusi, kuna silver line pale juu.
Very very fishy 🤣Mh, something fishy
Kuna Dada mmoja tulikuwa tukifanya naye KAZI kwenye mamlaka moja ya serikali, bahati mzuri au mbaya akahamishiwa Dodoma, hivyo kituo chake cha KAZI kiko huko.
Mwaka Jana mwishoni tukiwa kwenye maandalizi ya sherehe za mwaka mpya (ambao ni huu, 2024) akanialika niende kwenye kanisa Lao lililopo Dar kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya, naye alikiwepo Dar likizo hiyo.
Ibada ilianza muda wa SAA mbili usiku, bendi ya Praise and worship ilikuwa ikiburudisha na kutumbuiza waumini.
Ilipofika SAA tatu usiku, ndugu Nabii alipanda jukwaani na bila kupoteza muda akaanza kutabiri randomly kwa waumini walioshiri ibada hiyo.
Mara ghafla bin vuu, akaibuka kwangu, akaniuliza, unamfahamu Butogwa? Nikajibu ndio namfahamu, akaanza kuelezea maisha ya ndugu yangu Butogwa aliyefariki mwaka 1998 tukiwa vijana wadogo.
Maelezo yake yalikuwa yamenyooka hayana mbambamba, na akapatia hadi tarehe ambayo mshikaji alitwaliwa na Bwana.
Akaendelea, Akaniambia mwaka huu hutoboi, usipokaa vizuri, kuna roho za ajali na magonjwa zinakuandama.
Miongoni mwa ajali aliyoitabiri na ikatokea vilevile ni ajali ya bodaboda, alitabiri kwamba nitakuwa tabata kwenye bata, nitapigiwa simu muhimu, nitapigiwa, nikiwa njiani nitapata ajali mbaya.
Basi mwezi wa pili siku ya St. Valentine, nilikuwa mapumziko ya kikazi, days off, nikaalikwa tabata, jamaa yangu alikuwa akimu introduce mchumba wake na kumvisha Pete.
Kwakuwa nilikuwa mapumziko, nilienda huko karamuni. Katikati ya karamu, SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.
Basi, nika request Bolt boda, iniwahishe mjini. Fasta ikaja, na mara moja safari ikaanza. Kufika maeneo ya Buguruni, dereva wa boda akaingia nyuma ya Gari ndogo, kwa spidi aliyokiwepo akarushwa hadi mbele ya Ile Gari ndogo aliyoigonga, akagonga kichwa sakafuni na kufa hapohapo, Mimi nilipata majeraha makubwa sana kichwani na sehemu nyingine za mwili. Nilipiga simu kwa mkurugenzi wangu kwamba nimepata ajali nikija kazini, nakimbizwa Amana, ajali ikaniweka bench mwezi mzima nikiwa nje ya kituo Cha KAZI.
Nikiwa najiuguza, Yule Dada wa kazini Dodoma, akanipigia simu kwamba nabii wao kaona nimepata ajali ni nimekishinda kifo na mauti.
Mwezi September 26, rafiki yangu Dr. Gilbert Sanga alifariki ghafla akiwa kazini kwake. Nabii anamtuma binti wa Dodoma anipigie simu, kwamba kuna roho ilikuwa inanizongea, lakini kwasababu Niko vizuri, imemsomba jamaa yangu.
Ajali nyingine mbaya nikipata tarehe 6 Oct, msumari wa 2½ inches uliingia kichwani baada ya kuangukiwa na Banda. Jeraha lilikuwa kubwa likiwa na urefu wa 8 inches na kina cha 2½ inches.
Nilipoteza damu nyingi sana na nilikaa tena bench mwezi mzima nikijiuguza. Nabii hakukoma kunipigia simu kwamba ameona nimepata ajali mbaya. Nikamwambia hebu achana na Mimi, sifi leo, kesho wala ntondogoo.
Namshukuru sana Mungu kwa uzima na afya na kunilinda na kunikinga na mabaya yote.
Sitakufa Bali nitaishi. Kila kwenye wingu jeusi, kuna silver line pale juu.
Hii ni Chai...Nabii gani afuatilie maisha ya kila aliyekuja kanisani kwake na apate muda wa kumpigia simuKuna Dada mmoja tulikuwa tukifanya naye KAZI kwenye mamlaka moja ya serikali, bahati mzuri au mbaya akahamishiwa Dodoma, hivyo kituo chake cha KAZI kiko huko.
Mwaka Jana mwishoni tukiwa kwenye maandalizi ya sherehe za mwaka mpya (ambao ni huu, 2024) akanialika niende kwenye kanisa Lao lililopo Dar kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya, naye alikiwepo Dar likizo hiyo.
Ibada ilianza muda wa SAA mbili usiku, bendi ya Praise and worship ilikuwa ikiburudisha na kutumbuiza waumini.
Ilipofika SAA tatu usiku, ndugu Nabii alipanda jukwaani na bila kupoteza muda akaanza kutabiri randomly kwa waumini walioshiri ibada hiyo.
Mara ghafla bin vuu, akaibuka kwangu, akaniuliza, unamfahamu Butogwa? Nikajibu ndio namfahamu, akaanza kuelezea maisha ya ndugu yangu Butogwa aliyefariki mwaka 1998 tukiwa vijana wadogo.
Maelezo yake yalikuwa yamenyooka hayana mbambamba, na akapatia hadi tarehe ambayo mshikaji alitwaliwa na Bwana.
Akaendelea, Akaniambia mwaka huu hutoboi, usipokaa vizuri, kuna roho za ajali na magonjwa zinakuandama.
Miongoni mwa ajali aliyoitabiri na ikatokea vilevile ni ajali ya bodaboda, alitabiri kwamba nitakuwa tabata kwenye bata, nitapigiwa simu muhimu, nitapigiwa, nikiwa njiani nitapata ajali mbaya.
Basi mwezi wa pili siku ya St. Valentine, nilikuwa mapumziko ya kikazi, days off, nikaalikwa tabata, jamaa yangu alikuwa akimu introduce mchumba wake na kumvisha Pete.
Kwakuwa nilikuwa mapumziko, nilienda huko karamuni. Katikati ya karamu, SAA nne na nusu usiku nikapigiwa simu kutoka kwa mkurugenzi wangu akinisihi nifanye hima niende ofisini usiku huo nikaokoe jahazi.
Basi, nika request Bolt boda, iniwahishe mjini. Fasta ikaja, na mara moja safari ikaanza. Kufika maeneo ya Buguruni, dereva wa boda akaingia nyuma ya Gari ndogo, kwa spidi aliyokiwepo akarushwa hadi mbele ya Ile Gari ndogo aliyoigonga, akagonga kichwa sakafuni na kufa hapohapo, Mimi nilipata majeraha makubwa sana kichwani na sehemu nyingine za mwili. Nilipiga simu kwa mkurugenzi wangu kwamba nimepata ajali nikija kazini, nakimbizwa Amana, ajali ikaniweka bench mwezi mzima nikiwa nje ya kituo Cha KAZI.
Nikiwa najiuguza, Yule Dada wa kazini Dodoma, akanipigia simu kwamba nabii wao kaona nimepata ajali ni nimekishinda kifo na mauti.
Mwezi September 26, rafiki yangu Dr. Gilbert Sanga alifariki ghafla akiwa kazini kwake. Nabii anamtuma binti wa Dodoma anipigie simu, kwamba kuna roho ilikuwa inanizongea, lakini kwasababu Niko vizuri, imemsomba jamaa yangu.
Ajali nyingine mbaya nikipata tarehe 6 Oct, msumari wa 2½ inches uliingia kichwani baada ya kuangukiwa na Banda. Jeraha lilikuwa kubwa likiwa na urefu wa 8 inches na kina cha 2½ inches.
Nilipoteza damu nyingi sana na nilikaa tena bench mwezi mzima nikijiuguza. Nabii hakukoma kunipigia simu kwamba ameona nimepata ajali mbaya. Nikamwambia hebu achana na Mimi, sifi leo, kesho wala ntondogoo.
Namshukuru sana Mungu kwa uzima na afya na kunilinda na kunikinga na mabaya yote.
Sitakufa Bali nitaishi. Kila kwenye wingu jeusi, kuna silver line pale juu.