Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #61
AmenPole na hongera sana mkuu. Maisha yetu yako mikononi mwa bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenPole na hongera sana mkuu. Maisha yetu yako mikononi mwa bwana
AmenPole na hongera sana mkuu. Maisha yetu yako mikononi mwa bwana
Hicho ulicholeta maana yake hujajua tofauti ya mbinguni na ufalme wa Mungu.Mbinguni nikafanye nini? Hebu acha hizo stori soma vizuri Biblia yako.
Lk 17:20-21 Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza; wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwa
Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza; wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Munguwww.bible.com
Kwani Ndugu mkesha ulikaribishwa Kawe na huyo Dada wa Dom?Sipigi promo Kaka, wacha tu aendelee kusomeka kama nabii.
BUJIBUJI AU NANI?Lipia tangazo
Alishapigwa blockKwani Ndugu mkesha ulikaribishwa Kawe na huyo Dada wa Dom?
Acha politics. Neno la Mungu sio siasaHicho ulicholeta maana yake hujajua tofauti ya mbinguni na ufalme wa Mungu.
Ni kama uwe balozi wa Tanzania nchini Kenya. Ukiwa Kenya utaishi kama mwakilishi wa serikali ya Tanzania na unazingatia maslahi ya Tanzania ukiwa Kenya. Siku muda wako ukiisha wanakuita urudi nyumbani Tanzania.
Ndivyo alivyo mtu ambaye Yesu ni mwokozi na Bwana wake, anabeba ufalme wa Mungu ndani yake akiwa bado duniani, siku akiondoka anarudi nyumbani kwake ambako tunaita mbinguni.
Hamna siasa ni mfano tu. Hata Yesu alitumia mifanoAcha politics. Neno la Mungu sio siasa