Mwaka jana tarehe kama hizi, wanaCCM waliokuwa na chuki na hayati JPM walikuwa wakionyesha kebehi zao huko Twita na kuwaona Watanzania wajinga

Mwaka jana tarehe kama hizi, wanaCCM waliokuwa na chuki na hayati JPM walikuwa wakionyesha kebehi zao huko Twita na kuwaona Watanzania wajinga

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Watanzania wengi hawakujua kwa nini waliomchukia hayati Magufuli walikuwa wakimkebehi kupitia mitandao ya hasa Twita.

Baadhi yao wakaanza kupost picha za magari ya kijeshi yakifanya mazoezi ya parade ya kuaga mwili wa mkuu wa nchi.

Wengine wakapost Brassband ya jeshi ikifanya mazoezi ya nyimbo za maombolezo.

Hii ikaanza kutia watu hofu kuwa kuna watu wa ndani na karibu na hayati wanavujisha siri.

Lakini wananchi walionekana wajinga na hawakupata ukweli wowote mpaka tara 17/3/21.
 
Wanyonge wanaonewa sana.
Hadi kusikia kuwa kuna mtu ananyongewa hiyo ni kutokana na fulsa ya kupata Habari usichokijua ni kwamba kuna watu wengi mwendazake kawanyongea ila hapakuwa na pakusemea wala kuandika hiyo habari ukweli uko hivyo mkuuuu......
 
Back
Top Bottom