leomessi10
Member
- Feb 25, 2021
- 58
- 35
Kama ulifoji Cheti au ulikua fisadi ni lazma ungemchukia tu!Mkuu alistahili kuchukiwa maana si kwa ubabe sipati picha yule jamaa angeendelea hadi hivi hali ingekuwa maaana daaaah
alichukiwa na nani??Mkuu alistahili kuchukiwa maana si kwa ubabe sipati picha yule jamaa angeendelea hadi hivi hali ingekuwa maaana daaaah
ila alama na kazi zake ni za moto milele.Yule mjenga chuki na visasi muda huu alishakuwa wabariiiiiiiiiiidiiiiii
Kuna dikteta Rwanda nenda kapunge upepo kwa kama wiki hivi itakutosha.Nchi bila kaudikiteta dikiteta kidogo ni ngumu sana kusimama kwenye Reli !! Watu wanataka kujitajirisha kwa njia yeyote !!
Kabisa!Mungu anaipenda sana TANGANYIKA
Aisee siku zinakimbia, mara eti mwaka umefika dikteta mtoa roho za watu hatunaye, siaminiWatanzania wengi hawakujua kwa nini waliomchukia hayati Magufuli walikuwa wakimkebehi kupitia mitandao ya hasa Twita.
Baadhi yao wakaanza kupost picha za magari ya kijeshi yakifanya mazoezi ya parade ya kuaga mwili wa mkuu wa nchi.
Wengine wakapost Brassband ya jeshi ikifanya mazoezi ya nyimbo za maombolezo.
Hii ikaanza kutia watu hofu kuwa kuna watu wa ndani na karibu na hayati wanavujisha siri.
Lakini wananchi walionekana wajinga na hawakupata ukweli wowote mpaka tara 17/3/21.
Kama askofu MwingiraHadi kusikia kuwa kuna mtu ananyongewa hiyo ni kutokana na fulsa ya kupata Habari usichokijua ni kwamba kuna watu wengi mwendazake kawanyongea ila hapakuwa na pakusemea wala kuandika hiyo habari ukweli uko hivyo mkuuuu......