Pole shogaKila nikikumbuka makelele ya Diara ndio ukuta wenyewe wa Yericko naangua kilio!
Ndio tumeshafungwa tena, tusonge mbele.
Ila, kipindi cha kupumzika diet ndio hiki. Hizi ratiba za mechi ni diet tosha, nikifikiria Jumamosi tunakutana na Ahly napungua bila diet!
Wale jamaa Wana Tisha ... yawezekana ingekuwa Simba ...ingekula nyingiHii sio 2012 ndugu mchambuzi, tupo 2023, hamkupata hata cha kufutia machozi, mlitoka ulimi nje halafu unafananisha ya mwaka jana na leo?
Nafasi mliyonayo kwa sasa ni kubandika mabango ya mkono wa nyani.
Football inawenyewe ndugu nyie endeleeni na biashara ya mabango ila ball la kimataifa waachie wana lunyasi.
USM Alger aliyemtwanga Al ahly super cupSawa, kwa sababu huku nako si kuna akina Malumo Gallant na US Algers yaani ni vibonde vile vile kama vya shirikisho
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Karata ni ngumuUnafahamu unahitaji point ngapi kuvuka makundi na unatakiwa uzichukue kwa nani?
Alt:
Kuzichukua P6, p3 au p4 kwa Al hly na yule aliyekufunga jana kwenye marudio uchukue p3 ili uwe na p9, P6, P7 halafu hizo p6 za kibonde unayemdhania kuwa ni mwepesi ziwe za kumalizia. Jumla utakuwa na either p15, p12, p13.
Alt nje ya hii ni kupoteza p3, p6, p4, p5 kwa Al hly halafu umtegemee unayedhani kuwa ni kibonde kuwa wewe uchukue p6 kwake halafu yeye awabanie wengine kuchukua p6 kisha uchukue p3 kwa kwa aliyekufunga jana.
Au kama vipi tujikite kwenye boli litembee tuachane na point.
Si kidogo ila mpira unadunda lolote linawezekana. Kumbuka aliyekufunga akifungwa tu na Al hly mechi zote halaf ww ukamfunga Al hly mechi moja tayari mzani umerudi sawa. Hapa assumption ni kuwa kuna mmoja ni kibonde wa wote kuwa mjichukulie point tu.Karata ni ngumu
There's a room for improvementSi kidogo ila mpira unadunda lolote linawezekana. Kumbuka aliyekufunga akifungwa tu na Al hly mechi zote halaf ww ukamfunga Al hly mechi moja tayari mzani umerudi sawa. Hapa assumption ni kuwa kuna mmoja ni kibonde wa wote kuwa mjichukulie point tu.
We si umekula Tano!!Mwaka jana mlicheza na washuka daraja
Kwani we tano hujawahi kula?We si umekula Tano!!
Nijibu,si umekula Tano juzi tu hapa au si wewe!?..halafu mvua imenyesha,Mara ya mwisho mvua iliponyesha kwenye mechi matokeo yalikuwaje!?Kwani we tano hujawahi kula?
Mkyundru wako mpana kama ndoo u1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.
Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.
Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi
NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
Kwanini uliwasha moto uwanjani huko kwa maloser wewe Kolokhamsa [emoji848][emoji1]Mnajidanganya sana mnafikiri huku ni looser cup, wiki ijayo taabu Iko palepale Tena kubwa sana, huku ni kiumeni mwachieni simba nyie mbaki kikeni, kudadeki.