Mwaka Jana Yanga walipigwa mechi ya 1 na bado walifika fainali

Mwaka Jana Yanga walipigwa mechi ya 1 na bado walifika fainali

Sasa mkuu ni game gani nyie mtashinda?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tarehe 2 december al ahly wapo hapa tz[emoji23][emoji23][emoji23] tabuleleee ipo pale pale mungu awasaisie, ila ni pagumu nyie kupita hamna mechi hata moja yenye afazali kwenu kwenye kundi lenu!!!!
Kabisa mkuu...Al ahly ni kipengele
 
Kwahiyo mko na MARUMO pia kundi moja eti??? 😂😂😂

Possession: 70%
Goal : 0

Tuliupiga mwingi sana

🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jibu swali,ulikula Tano!?..nani alikubugiza Tano!?..lini!?
1700915427502.png
 
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.

Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.

Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi

NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
Huku sio shirikisho kwa kina zalan fc na waganga njaa wale
 
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.

Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.

Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi

NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
Hiyo ilikuwa cafcc, kwa cafcl ni habari nyingine. Mtu amepigwa goli tatu kavu pamoja na kumiliki mpira 69%. Chezea cafcl weweeee
 
Kwahiyo mko na MARUMO pia kundi moja eti??? [emoji23][emoji23][emoji23]

Possession: 70%
Goal : 0

Tuliupiga mwingi sana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari sana [emoji23]
 
Back
Top Bottom