Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Unafahamu unahitaji point ngapi kuvuka makundi na unatakiwa uzichukue kwa nani?
Alt:
Kuzichukua P6, p3 au p4 kwa Al hly na yule aliyekufunga jana kwenye marudio uchukue p3 ili uwe na p9, P6, P7 halafu hizo p6 za kibonde unayemdhania kuwa ni mwepesi ziwe za kumalizia. Jumla utakuwa na either p15, p12, p13.
Alt nje ya hii ni kupoteza p3, p6, p4, p5 kwa Al hly halafu umtegemee unayedhani kuwa ni kibonde kuwa wewe uchukue p6 kwake halafu yeye awabanie wengine kuchukua p6 kisha uchukue p3 kwa kwa aliyekufunga jana.
Au kama vipi tujikite kwenye boli litembee tuachane na point.
Alt:
Kuzichukua P6, p3 au p4 kwa Al hly na yule aliyekufunga jana kwenye marudio uchukue p3 ili uwe na p9, P6, P7 halafu hizo p6 za kibonde unayemdhania kuwa ni mwepesi ziwe za kumalizia. Jumla utakuwa na either p15, p12, p13.
Alt nje ya hii ni kupoteza p3, p6, p4, p5 kwa Al hly halafu umtegemee unayedhani kuwa ni kibonde kuwa wewe uchukue p6 kwake halafu yeye awabanie wengine kuchukua p6 kisha uchukue p3 kwa kwa aliyekufunga jana.
Au kama vipi tujikite kwenye boli litembee tuachane na point.