Mwaka Jana Yanga walipigwa mechi ya 1 na bado walifika fainali

Mwaka Jana Yanga walipigwa mechi ya 1 na bado walifika fainali

Unafahamu unahitaji point ngapi kuvuka makundi na unatakiwa uzichukue kwa nani?

Alt:

Kuzichukua P6, p3 au p4 kwa Al hly na yule aliyekufunga jana kwenye marudio uchukue p3 ili uwe na p9, P6, P7 halafu hizo p6 za kibonde unayemdhania kuwa ni mwepesi ziwe za kumalizia. Jumla utakuwa na either p15, p12, p13.

Alt nje ya hii ni kupoteza p3, p6, p4, p5 kwa Al hly halafu umtegemee unayedhani kuwa ni kibonde kuwa wewe uchukue p6 kwake halafu yeye awabanie wengine kuchukua p6 kisha uchukue p3 kwa kwa aliyekufunga jana.

Au kama vipi tujikite kwenye boli litembee tuachane na point.
 
Kila nikikumbuka makelele ya Diara ndio ukuta wenyewe wa Yericko naangua kilio!

Ndio tumeshafungwa tena, tusonge mbele.

Ila, kipindi cha kupumzika diet ndio hiki. Hizi ratiba za mechi ni diet tosha, nikifikiria Jumamosi tunakutana na Ahly napungua bila diet!
Pole shoga
 
Ukumbuke pia mala ya mwisho yanga kishiriki haya mashinda alikua wa mwisho kwenye kundi lake huenda awamuhi hii yanga ikashika mkua pia
Ni ngumu sana... one way to final
 
Hii sio 2012 ndugu mchambuzi, tupo 2023, hamkupata hata cha kufutia machozi, mlitoka ulimi nje halafu unafananisha ya mwaka jana na leo?

Nafasi mliyonayo kwa sasa ni kubandika mabango ya mkono wa nyani.

Football inawenyewe ndugu nyie endeleeni na biashara ya mabango ila ball la kimataifa waachie wana lunyasi.
Wale jamaa Wana Tisha ... yawezekana ingekuwa Simba ...ingekula nyingi
 
Unafahamu unahitaji point ngapi kuvuka makundi na unatakiwa uzichukue kwa nani?

Alt:

Kuzichukua P6, p3 au p4 kwa Al hly na yule aliyekufunga jana kwenye marudio uchukue p3 ili uwe na p9, P6, P7 halafu hizo p6 za kibonde unayemdhania kuwa ni mwepesi ziwe za kumalizia. Jumla utakuwa na either p15, p12, p13.

Alt nje ya hii ni kupoteza p3, p6, p4, p5 kwa Al hly halafu umtegemee unayedhani kuwa ni kibonde kuwa wewe uchukue p6 kwake halafu yeye awabanie wengine kuchukua p6 kisha uchukue p3 kwa kwa aliyekufunga jana.

Au kama vipi tujikite kwenye boli litembee tuachane na point.
Karata ni ngumu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Karata ni ngumu
Si kidogo ila mpira unadunda lolote linawezekana. Kumbuka aliyekufunga akifungwa tu na Al hly mechi zote halaf ww ukamfunga Al hly mechi moja tayari mzani umerudi sawa. Hapa assumption ni kuwa kuna mmoja ni kibonde wa wote kuwa mjichukulie point tu.
 
CCM stars iliharibu maandalizi.
Kikubwa timu ili relax wacheze mpira.

Lengo kuu ni NBC title

Huku tunatafuta heshima, na heshima huja taratibu, wachezaji wasipewe pressure lkn wajiandae vzr ili tupate matokeo tusonge robo final
 
Si kidogo ila mpira unadunda lolote linawezekana. Kumbuka aliyekufunga akifungwa tu na Al hly mechi zote halaf ww ukamfunga Al hly mechi moja tayari mzani umerudi sawa. Hapa assumption ni kuwa kuna mmoja ni kibonde wa wote kuwa mjichukulie point tu.
There's a room for improvement
 
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.

Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.

Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi

NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
Mkyundru wako mpana kama ndoo u
ya chooni.
 
Vidole vinyoke kama hivi [emoji847]
IMG-20231121-WA0017.jpg
JamiiForums-312072181.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom