Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kadi nyekundu 2 na penati 2, bure kabisa wewe Bebwabebwa (Mbeleko) SC fan [emoji2]Hii sio 2012 ndugu mchambuzi, tupo 2023, hamkupata hata cha kufutia machozi, mlitoka ulimi nje halafu unafananisha ya mwaka jana na leo?
Nafasi mliyonayo kwa sasa ni kubandika mabango ya mkono wa nyani.
Football inawenyewe ndugu nyie endeleeni na biashara ya mabango ila ball la kimataifa waachie wana lunyasi.
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.
Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.
Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi
NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
USM ALGER Bingwa wako super cup Africa 2022/2023 wewe Kolokhamsa wewe [emoji23]Mwaka jana mlicheza na washuka daraja
Ukumbuke pia mala ya mwisho yanga kishiriki haya mashinda alikua wa mwisho kwenye kundi lake huenda awamuhi hii yanga ikashika mkua pia
Medeama naye Hesabu zake ni YangaSi kidogo ila mpira unadunda lolote linawezekana. Kumbuka aliyekufunga akifungwa tu na Al hly mechi zote halaf ww ukamfunga Al hly mechi moja tayari mzani umerudi sawa. Hapa assumption ni kuwa kuna mmoja ni kibonde wa wote kuwa mjichukulie point tu.
WachaMedeama naye Hesabu zake ni Yanga
Ninyi viumbe mna midomo sana kama waimba taarabu.Lile ni kombe la shirikisho, huku kwa Wanaume stori tofauti
Wale jamaa Wana Tisha ... yawezekana ingekuwa Simba ...ingekula nyingi
Tatizo wewe unazungumzia kombe la losers!!! Hili ni kombe dume la caf champions league!!1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.
Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.
Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi
NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
Hivi mechi za kimataifa zilikuwa kwa Uto peke yake au?Tatizo ni mechi za mataifa ziliharibu maandalizi
Tano we hujala?Nijibu,si umekula Tano juzi tu hapa au si wewe!?..halafu mvua imenyesha,Mara ya mwisho mvua iliponyesha kwenye mechi matokeo yalikuwaje!?
Pole!! Ndio maana mlikuwa nje ya hatua hii ya makundi kwenye kombe la mabingwa kwa miaka 25!! Miaka 25 ya maandalizi haijawatosha!! Itabidi muwe nje tena kwa miaka 50!! Kwa habari ya Simba, hiyo achana nayo, hatua hii kwao ni kama pete na kidole na kuvuka ni kama sheria!Wale jamaa Wana Tisha ... yawezekana ingekuwa Simba ...ingekula nyingi
Hapo umekuwa mkweli!! Lakini siyo tu karata ni ngumu, bali champions league ni ngumu!! achana na lile la losers!Karata ni ngumu
Wewe achana na mambo ya mwaka jana maana mlikutana na timu zenye vizunguzungu hadi CAF ikabidi waboreshe kanuni kwa timu zinazopaswa kushiriki kombe la CC....1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.
Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.
Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi
NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
Naona kwa sasa watakuwa wameuelewa ukweli huu!! kiburi cha kufika fainali kombe la losers kwishney!!Lile ni kombe la shirikisho, huku kwa Wanaume stori tofauti
Daaah Al ahly mlima mrefu Mzee[emoji23][emoji23] kama tu kale katimu kametuchezea vileSi kidogo ila mpira unadunda lolote linawezekana. Kumbuka aliyekufunga akifungwa tu na Al hly mechi zote halaf ww ukamfunga Al hly mechi moja tayari mzani umerudi sawa. Hapa assumption ni kuwa kuna mmoja ni kibonde wa wote kuwa mjichukulie point tu.
Hakika mkuuCCM stars iliharibu maandalizi.
Kikubwa timu ili relax wacheze mpira.
Lengo kuu ni NBC title
Huku tunatafuta heshima, na heshima huja taratibu, wachezaji wasipewe pressure lkn wajiandae vzr ili tupate matokeo tusonge robo final