Mwaka Jana Yanga walipigwa mechi ya 1 na bado walifika fainali

Mwaka Jana Yanga walipigwa mechi ya 1 na bado walifika fainali

Hii sio 2012 ndugu mchambuzi, tupo 2023, hamkupata hata cha kufutia machozi, mlitoka ulimi nje halafu unafananisha ya mwaka jana na leo?

Nafasi mliyonayo kwa sasa ni kubandika mabango ya mkono wa nyani.

Football inawenyewe ndugu nyie endeleeni na biashara ya mabango ila ball la kimataifa waachie wana lunyasi.
Kadi nyekundu 2 na penati 2, bure kabisa wewe Bebwabebwa (Mbeleko) SC fan [emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.

Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.

Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi

NB .... Tukutane finalView attachment 2824544

Sasa mkuu ni game gani nyie mtashinda?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tarehe 2 december al ahly wapo hapa tz[emoji23][emoji23][emoji23] tabuleleee ipo pale pale mungu awasaisie, ila ni pagumu nyie kupita hamna mechi hata moja yenye afazali kwenu kwenye kundi lenu!!!!
 
Mwaka jana mlicheza na washuka daraja
USM ALGER Bingwa wako super cup Africa 2022/2023 wewe Kolokhamsa wewe [emoji23]
JamiiForums-312072181.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ukumbuke pia mala ya mwisho yanga kishiriki haya mashinda alikua wa mwisho kwenye kundi lake huenda awamuhi hii yanga ikashika mkua pia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana kungekuwa na dakika10 mbele wangekufa 6 hawa vyura
 
Si kidogo ila mpira unadunda lolote linawezekana. Kumbuka aliyekufunga akifungwa tu na Al hly mechi zote halaf ww ukamfunga Al hly mechi moja tayari mzani umerudi sawa. Hapa assumption ni kuwa kuna mmoja ni kibonde wa wote kuwa mjichukulie point tu.
Medeama naye Hesabu zake ni Yanga
 
Lile ni kombe la shirikisho, huku kwa Wanaume stori tofauti
Ninyi viumbe mna midomo sana kama waimba taarabu.

Hamkula khamsa khamsa na goli 4 kwenye makundi hayo hayo kisha mliingia robo fainali za CAFCL?

Muwe na kumbukumbu Mbumbumbu SC fans hata kama bado mna maumivu ya goli 5-1 [emoji38]
JamiiForums-31645776.jpg
JamiiForums-312072181.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.

Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.

Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi

NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
Tatizo wewe unazungumzia kombe la losers!!! Hili ni kombe dume la caf champions league!!
 
Wale jamaa Wana Tisha ... yawezekana ingekuwa Simba ...ingekula nyingi
Pole!! Ndio maana mlikuwa nje ya hatua hii ya makundi kwenye kombe la mabingwa kwa miaka 25!! Miaka 25 ya maandalizi haijawatosha!! Itabidi muwe nje tena kwa miaka 50!! Kwa habari ya Simba, hiyo achana nayo, hatua hii kwao ni kama pete na kidole na kuvuka ni kama sheria!
 
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.

Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.

Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi

NB .... Tukutane finalView attachment 2824544
Wewe achana na mambo ya mwaka jana maana mlikutana na timu zenye vizunguzungu hadi CAF ikabidi waboreshe kanuni kwa timu zinazopaswa kushiriki kombe la CC....

Prinsipo ni moja tu huku ni CL jifunzeni kuwaheshimu wapinzani wenu, posesheni futbol ni dizasta tena kirusi mkubwa hata wale Sundowns wanajua na muda utaongea tu....
Hutaki endelea kukaza hilo fuvu sijui mwaka jana mara msimu ulopita hahahahaaaa....
 
Muhimu gamondi ajue wapi aliteleza Kama mechi ya ihefu abadilishe mfumo kulingana na aina ya mpinzani.
Dirisha dogo waongeze Kiungo mkabaji na washambuliaji Wawili kuchukua nafasi ya ngushi na Konkoni .
 
Si kidogo ila mpira unadunda lolote linawezekana. Kumbuka aliyekufunga akifungwa tu na Al hly mechi zote halaf ww ukamfunga Al hly mechi moja tayari mzani umerudi sawa. Hapa assumption ni kuwa kuna mmoja ni kibonde wa wote kuwa mjichukulie point tu.
Daaah Al ahly mlima mrefu Mzee[emoji23][emoji23] kama tu kale katimu kametuchezea vile
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
CCM stars iliharibu maandalizi.
Kikubwa timu ili relax wacheze mpira.

Lengo kuu ni NBC title

Huku tunatafuta heshima, na heshima huja taratibu, wachezaji wasipewe pressure lkn wajiandae vzr ili tupate matokeo tusonge robo final
Hakika mkuu
 
Back
Top Bottom