Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo.
Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.
Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi
NB .... Tukutane final
Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania kwasasa ikienda ugenini hawaendi kuwa underdog wanafunguka na wanamiliki mpira.
Ila waarabu [emoji3063][emoji3063] acha tu waendelee kubondwa na wayahudi
NB .... Tukutane final