"Kama hujui unako kwenda huwezi kupotea" ndio kinachoendelea nchini kwetu, yaani kila siku utasikia mikakati ile ile tuliyoambiwa miaka 10, iliyopita ndio leo tena kiongozi anaibuka nayo!!!kipindi cha awamu ya 5!!watu tulidhania labda hii nchi hakuna tena tatizo la matundu ya vyoo, madawati, na madarasa, lakini hebu angalia leo karibu kila siku ndio habari!!!kutokana na viongozi walivyokuwa wanazungumzia mambo makubwa makubwa, kumbe vidogo tu hivi bado!!!