Mwaka mmoja umekatika nikisaka demu bila mafanikio

Jukwaani hapa panapaswa kuheshimika. Hivyo posts zake ziwe na hadhi na siyo utumbo unaouwasilisha hapa
 
"Nina kagari" ww unadharau kwa hiyo km unagari.gari si kila kitu ila amani yamoyo watu wanamigari yao hapa lakn hawana aman.

~Tubu kwa Mungu na usijikweze nyenyekea kiti cha rehema,neema ya Mungu itakufunika utapata.
 
Kaoge baharini ukiwa uchi wa mnyama mkuu! Mimi mbona majalala nakwea madaladala tu ila papuchi zinanizidia?
 
Ulileta uzi kua wanawake wa dar hawajaribiwi ,wakitongozwa tuu wanajaa,...leo unakuja lia hupat dem...ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu mkuu
Tatzo si kwamba ye'muongo.Nimegundua humu jf kuna wengine ilmrad wameanzisha thread tu basi.
Haijalishi jana alisema nin na leo unasema nin
 
Mkuu endelea kuvumilia,wakati mwingine msimu unakuwa mbaya

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…