Mwaka Mmoja wa Rais Dr. Hussein Mwinyi; Kinachoendelea Zanzibar Wananchi wanashangaa

Mwaka Mmoja wa Rais Dr. Hussein Mwinyi; Kinachoendelea Zanzibar Wananchi wanashangaa

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kwenye hotel ya Golden Tulip mjini Zanzibar kuna hafla kubwa ya kusherekea mwaka mmoja wa nafasi ya urais wa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.

IMG_3427.JPG

Hafla hii imejumuisha viongozi wakuu wa kitaifa, wastaafu na wengine wengi wakiwepo wananchi mbalimbali, baadhi na kwa uchache Rais mstaafu Jakaya Kikwete, makamu wa kwanza wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dkt Bilal nk.

Barabarani ni mabango na matangazo ya kutosha ya live kuelezea uwepo wa tukio hilo.

Ingawa si jambo la kushangaza viongozi wa Zanzibar kufanya jambo kama sababu lilishawahi kufanywa huko nyuma ila kinachowashangaza baadhi ya watu ni ile kauli ya mh. Mwinyi kujipambanua kwa kubana matumizi.

Mabango na dhifa kubwa kama hiyo ni kwa muktadha upi ambao umeonyesha umuhimu kuandaliwa hata kama si pesa ya serikali?.

Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.
 
CCM Zanzibar imegawika kuna wanaofuata dini yao na kuna waasi ambao dini kwao ni kama ukuta mkubwa uliowazunguuka na nyie mliopo nje ya ukuta hamjui kinachoendelea mkiwaangali ukuta wa dini unawaonyesha jamaa ni wa swala tano.
Sasa hawa ndio wanaopingana na Mwinyi Huseini.

hawa ndio wanayoiharibia Serikali ya CCM hawa ni wale waliolewa madaraka ,anayoyataka Mwinyi kwao ni mwiba wa koo haumezeki hautemeki ,ndio wapo wanahangaika na kutaka kumkwamisha Miwnyi.
 
Kuna kitu naona Dr. Mwinyi anafanya ni kama anafuata nyayo za the Legendary kubuni miradi mikubwa ambayo itatumia pesa nyingi, japo pesa ni za mkopo wa WB, IFM na za Covid.

Kwa miradi hiyo wale wananchi pendwa lazima wampende maana miradi inawagusa moja kwa moja ilihali matajiri hawawezi kumpenda.

Kutokana na hilo, usije kushangaa wanaofaidi keki ya taifa kupitia awamu hii wakawatumia wananchi flani kuanza kupeperusha mabango ya mitano tena!.
 
CCM Zanzibar imegawika kuna wanaofuata dini yao na kuna waasi ambao dini kwao ni kama ukuta mkubwa uliowazunguuka na nyie mliopo nje ya ukuta hamjui kinachoendelea mkiwaangali ukuta wa dini unawaonyesha jamaa ni wa swala tano...

Hussein Mwinyi kwa wale wanaomjua ni mfanyabiashara first and foremost ; siasa kwake ni chombo cha kufanikisha malengo yake!! Business interests zake zinaangaliwa na mdogo wake Abdallah Mwinyi; kama vile kule Kenya Muhoho anavyoangalia business interests za rais Uhuru Kenyatta na huko Zanzibar ni hivyo hivyo!!
 
watu huku zenj tunasikia tu uchumi wa buluu ila kiukweli tunachokiona ni uchumi mweusi.
Sheikh tulia kidogo mzee kasema pesa itamwagwa mpaka kwa wasusi, wapika urojo na bodaboda wote ni fuli mikopo!.
 
Watu wa Zanzibar tubadilishane, tuletee Mwinyi tuwape Samia.
Mimi naomba kama inawezekana, wote wangebakia huko huko tu! Halafu huku kwetu angeshuka Kiongozi Malaika kutoka Mbinguni, ambaye angetanguliza maslahi ya Taifa mbele badala ya maslahi ya chama chake, yeye mwenyewe, familia yake, marafiki zake, nk.

Yaani angepatikana Nyerere mwingine anayeamini kwenye ujamaa ulio changanyika na ubepari (kama ule wa China) ambao utatufanya Watanzania kujivunia nchi yetu, kuliko kitu kingine chochote kile.
 
Kwenye hotel ya Golden Tulip mjini Zanzibar kuna hafla kubwa ya kusherekea mwaka mmoja wa nafasi ya urais wa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.


Hafla hii imejumuisha viongozi wakuu wa kitaifa, wastaafu na wengine wengi wakiwepo wananchi mbalimbali, baadhi na kwa uchache Rais mstaafu Jakaya Kikwete, makamu wa kwanza wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dkt Bilal nk.

Barabarani ni mabango na matangazo ya kutosha ya live kuelezea uwepo wa tukio hilo.

Ingawa si jambo la kushangaza viongozi wa Zanzibar kufanya jambo kama sababu lilishawahi kufanywa huko nyuma ila kinachowashangaza baadhi ya watu ni ile kauli ya mh. Mwinyi kujipambanua kwa kubana matumizi.

Mabango na dhifa kubwa kama hiyo ni kwa muktadha upi ambao umeonyesha umuhimu kuandaliwa hata kama si pesa ya serikali?.

Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.

Mtu na Dada Yake
 
Kwenye hotel ya Golden Tulip mjini Zanzibar kuna hafla kubwa ya kusherekea mwaka mmoja wa nafasi ya urais wa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.


Hafla hii imejumuisha viongozi wakuu wa kitaifa, wastaafu na wengine wengi wakiwepo wananchi mbalimbali, baadhi na kwa uchache Rais mstaafu Jakaya Kikwete, makamu wa kwanza wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dkt Bilal nk.

Barabarani ni mabango na matangazo ya kutosha ya live kuelezea uwepo wa tukio hilo.

Ingawa si jambo la kushangaza viongozi wa Zanzibar kufanya jambo kama sababu lilishawahi kufanywa huko nyuma ila kinachowashangaza baadhi ya watu ni ile kauli ya mh. Mwinyi kujipambanua kwa kubana matumizi.

Mabango na dhifa kubwa kama hiyo ni kwa muktadha upi ambao umeonyesha umuhimu kuandaliwa hata kama si pesa ya serikali?.

Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.
Hiyo hafla imepuuzwa na wazanzibari. Hakuna shamla shamla yoyote ndani ya mji wa zanzibar.

Kama sherehe ya mchawi tu.
 
Waliokufundisha kuchukia Muungano ndio wanufaika wakubwa wa Muungano ila wanakuzuga wapate platform tu ya kuingia kwny Serikali ya Umoja wa kitaifa
Mwinyi ni kibaraka wa uvamizi uitwao muungano. Hawezi kufanya chochote zaidi ya kutekeleza maagizo ya waTanganyika waliomweka madarakani kwa kutoa roho za watu Na kumwaga damu. CCM mwisho wao ni mbaya sana. Allah atupe uhai.
 
Waliokufundisha kuchukia Muungano ndio wanufaika wakubwa wa Muungano ila wanakuzuga wapate platform tu ya kuingia kwny Serikali ya Umoja wa kitaifa

Huu Si muungano ni uvamizi uliopewa Jina la muungano. Muungano gani wa kutuletea majeshi mpaka ya Burundi kuja kutuuwa, kutuibia Na kuweka vibaraka wenu kila baada ya miaka mitano?
 
Waulize waliojiunga kwny Serikali ya Umoja wa kitaifa

Tangu wameunganishwa kwny 'Gridi ya Tozo' ushaskia wanauponda Muungano au Mapinduzi matukufu?

Akili za kuambiwa…
Huu Si muungano ni uvamizi uliopewa Jina la muungano. Muungano gani wa kutuletea majeshi mpaka ya Burundi kuja kutuuwa, kutuibia Na kuweka vibaraka wenu kila baada ya miaka mitano?
 
Kwenye hotel ya Golden Tulip mjini Zanzibar kuna hafla kubwa ya kusherekea mwaka mmoja wa nafasi ya urais wa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.


Hafla hii imejumuisha viongozi wakuu wa kitaifa, wastaafu na wengine wengi wakiwepo wananchi mbalimbali, baadhi na kwa uchache Rais mstaafu Jakaya Kikwete, makamu wa kwanza wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dkt Bilal nk.

Barabarani ni mabango na matangazo ya kutosha ya live kuelezea uwepo wa tukio hilo.

Ingawa si jambo la kushangaza viongozi wa Zanzibar kufanya jambo kama sababu lilishawahi kufanywa huko nyuma ila kinachowashangaza baadhi ya watu ni ile kauli ya mh. Mwinyi kujipambanua kwa kubana matumizi.

Mabango na dhifa kubwa kama hiyo ni kwa muktadha upi ambao umeonyesha umuhimu kuandaliwa hata kama si pesa ya serikali?.

Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.
Sasa Mwinyi kusema anawasaliana na Rais wa Muungano inakufanya ujiulize nini? hawapaswi kuw karibu?
 
Back
Top Bottom