Mwaka Mmoja wa Rais Dr. Hussein Mwinyi; Kinachoendelea Zanzibar Wananchi wanashangaa

Mwaka Mmoja wa Rais Dr. Hussein Mwinyi; Kinachoendelea Zanzibar Wananchi wanashangaa

Matumizi makubwa wanayaona kwenye huduma za kujamii ndipo wanalobana matumizi, Lakini kwa ajili yao hakuna kubana matumimizi mkuu.
 
Huu Si muungano ni uvamizi uliopewa Jina la muungano. Muungano gani wa kutuletea majeshi mpaka ya Burundi kuja kutuuwa, kutuibia Na kuweka vibaraka wenu kila baada ya miaka mitano?
weye Muarabu hapo siyo kwenu uondoke wende ukaijenge Oman...kwa nini mnatupenda sana siye weusi????
 
Kwa sababu wengi mmezaliwa kwenye mbio za mwenge
siyo dhambi kuzaliwa wkt huo!! kwanza ni bahati ukizaliwa ivo ndo ushujaa wenyewe siku wakisherehekea Mwenge na mie nasherehekea kuzaliwa kwangu huoni kuwa ni safi hiyo?? kwani taabu iko wapi hapo??

Ndo maana nasema weye ni muarabu hata hujui alama za kitaifa ..... weyey unaona nidhambi ajili ya damu ya ubaguzi mlizorithi kutoka kwa babu zenu magriki! Zanz bar hatuachiii mpaka moto uwake kwli kweli!!

Tito OKello alifanya kazi nzuri miarabu ikakimbia kwao Oman!
 
siyo dhambi kuzaliwa wkt huo!! kwanza ni bahati ukizaliwa ivo ndo ushujaa wenyewe siku wakisherehekea Mwenge na mie nasherehekea kuzaliwa kwangu huoni kuwa ni safi hiyo?? kwani taabu iko wapi hapo??

Ndo maana nasema weye ni muarabu hata hujui alama za kitaifa ..... weyey unaona nidhambi ajili ya damu ya ubaguzi mlizorithi kutoka kwa babu zenu magriki! Zanz bar hatuachiii mpaka moto uwake kwli kweli!!

Tito OKello alifanya kazi nzuri miarabu ikakimbia kwao Oman!

Kumbe ni mtoto wa mbio za mwenge
 
Kumbe ni mtoto wa mbio za mwenge
Unarudia hilohilo tyuuu!! miarabu hamnaga akili nzuri mnakurupuka sana!!! ndo maana mnadai nchi isiyokuwa ya kwenu tena bla aibu!! nendeni mkadai uturuki bana!!

LKN kuanzia middle east kule ni Africa ya weusi bana ...mnahangaika hivi sababu hamtaki kwenu!....chazeni na hao watawala nikishika mie mtajuta!
 
Unarudia hilohilo tyuuu!! miarabu hamnaga akili nzuri mnakurupuka sana!!! ndo maana mnadai nchi isiyokuwa ya kwenu tena bla aibu!! nendeni mkadai uturuki bana!!

LKN kuanzia middle east kule ni Africa ya weusi bana ...mnahangaika hivi sababu hamtaki kwenu!....chazeni na hao watawala nikishika mie mtajuta!
Malezi ya watoto wa mbio za mwenge ndio haya sikushangai
 
Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.
Wadadisi wa mambo wanasema Dr.Mwinyi na Maza etu ni aba mmoja!! yani ni mtu na dada yake!!
 
Waulize waliojiunga kwny Serikali ya Umoja wa kitaifa

Tangu wameunganishwa kwny 'Gridi ya Tozo' ushaskia wanauponda Muungano au Mapinduzi matukufu?

Akili za kuambiwa…

Si kuponda muungano ni kueleza ukweli kuhusu Uvamizi , Hivi unaishi sayari ipi ? Hivi husikii yanayosemwa siku zote Na viongozi wa ACT? Hujasikia OMO, Kissa, Babu Jecha ? Hao ni wachache Tu hebu waulize Wazanzibari wenyewe wanasemaje?
 
Hussein Mwinyi kwa wale wanaomjua ni mfanyabiashara first and foremost ; siasa kwake ni chombo cha kufanikisha malengo yake!! Business interests zake zinaangaliwa na mdogo wake Abdallah Mwinyi; kama vile kule Kenya Muhoho anavyoangalia business interests za rais Uhuru Kenyatta na huko Zanzibar ni hivyo hivyo!!
Mmh!!! Kwahiyo mgongano wa maslahi ni lazima utakuwepo tu kwa namna moja au nyingine !! Rais wa zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo alisema Africa inashindwa kuwa na maendeleo kwa sababu ya Ufisadi !! Lakini aliwaambia viongozi wenzake wa Africa baada ya yeye kumaliza muda wake !! Hakusema akiwa bado kwenye kiti cha enzi !! Hivi ni lazima MTU uwe tajiri sana katika hii dunia ndio uwe na furaha katika moyo wako ?? " personally I don't think so " !! Ni Ulafi tu maana peace of mind huwa hainunuliwi kwa pesa wala kwa kitu chochote cha thamani !!
 
Malezi ya watoto wa mbio za mwenge ndio haya sikushangai
Mbiyo za Mwenge ni ishara ya ukombozi wa Mtu mweusi!! aliye fanywa Mtumwa miaka mingi kwenye Mashamba ya karafuuu ili kuzijenga Oman na nchi nyinginezo za Uarabuni,

Kamwe hatuta zinanga mbio za Mwenge nenda kawaambie wenzako kuwa tuko ngangari hatuyumbi!! kama unavo dhania na tutazitetea kwa nguvu zooote hata mtupingeje! !!

pia uko sahihi kuwa Lazima ushangae kwa sababu Mwenge wetu haukuhusu wewe!! unatuhusu sie wenye Zanzibar yetu! na ndg zetu wa Bara Na weusi Africa kwa ujumla yaani sisi watu wa Rangi rangi uzuri!!

Ambao Babu zako wametubatiza jina weusi!......wametuburuza weee bado hamtosheki??? sasa weye nakushangaa sana!!! kwanza wenzako kule Oman hawakutaki ndo maana umekaa hapo!!

Mfalme wenu yule! baada ya kufurushwa na Okello pia alikataliwa na ndg zake asiingie Oman! akaomba kukaa UK mpaka leo!! na wewe pia ukienda huko shida tupu sasa ndo maana unalialia hapa! tukuonee huruma kwenda kwenu!
 
Mbiyo za Mwenge ni ishara ya ukombozi wa Mtu mweusi!! aliye fanywa Mtumwa miaka mingi kwenye Mashamba ya karafuuu ili kuzijenga Oman na nchi nyinginezo za Uarabuni,

Kamwe hatuta zinanga mbio za Mwenge nenda kawaambie wenzako kuwa tuko ngangari hatuyumbi!! kama unavo dhania na tutazitetea kwa nguvu zooote hata mtupingeje! !!

pia uko sahihi kuwa Lazima ushangae kwa sababu Mwenge wetu haukuhusu wewe!! unatuhusu sie wenye Zanzibar yetu! na ndg zetu wa Bara Na weusi Africa kwa ujumla yaani sisi watu wa Rangi rangi uzuri!!

Ambao Babu zako wametubatiza jina weusi!......wametuburuza weee bado hamtosheki??? sasa weye nakushangaa sana!!! kwanza wenzako kule Oman hawakutaki ndo maana umekaa hapo!!

Mfalme wenu yule! baada ya kufurushwa na Okello pia alikataliwa na ndg zake asiingie Oman! akaomba kukaa UK mpaka leo!! na wewe pia ukienda huko shida tupu sasa ndo maana unalialia hapa! tukuonee huruma kwenda kwenu!
Kwa mujibu wa biblia ipi ?
 
Mbiyo za Mwenge ni ishara ya ukombozi wa Mtu mweusi!! aliye fanywa Mtumwa miaka mingi kwenye Mashamba ya karafuuu ili kuzijenga Oman na nchi nyinginezo za Uarabuni,

Kamwe hatuta zinanga mbio za Mwenge nenda kawaambie wenzako kuwa tuko ngangari hatuyumbi!! kama unavo dhania na tutazitetea kwa nguvu zooote hata mtupingeje! !!

pia uko sahihi kuwa Lazima ushangae kwa sababu Mwenge wetu haukuhusu wewe!! unatuhusu sie wenye Zanzibar yetu! na ndg zetu wa Bara Na weusi Africa kwa ujumla yaani sisi watu wa Rangi rangi uzuri!!

Ambao Babu zako wametubatiza jina weusi!......wametuburuza weee bado hamtosheki??? sasa weye nakushangaa sana!!! kwanza wenzako kule Oman hawakutaki ndo maana umekaa hapo!!

Mfalme wenu yule! baada ya kufurushwa na Okello pia alikataliwa na ndg zake asiingie Oman! akaomba kukaa UK mpaka leo!! na wewe pia ukienda huko shida tupu sasa ndo maana unalialia hapa! tukuonee huruma kwenda kwenu!

 

Baba kumchapa mtoto ni sawa kabisaa kwa sababu kaenda kula kwa watu bila ruksa ya Mzazi ajue hana share/bajeti pale!! Pia Baba anamfundisha mtoto ajue kuwa kuna kukosa na kupata!!

Baba kukataza mtoto anamfundisha mtoto huyo uvumilivu!Uanajeshi ujeda ugumu, akiwa rege rege ajili ya msosi, Mjeda atatoa siri za nchi hovyo akiwa mlaini ajili ya msosi tuu!/

huyo Mtoto angekuwa bora kama angekomaaa na njaa mpaka afie kwao....... Baba kumchapa mtoto ni sawa anampa ukakamavu asiwe regerege/mlaini/wa kujiachia ajili ya msosi wa mlo mmoja tu!...

Msosi wa jirani ule unaweza mlegeza mtoto akatoa siri zote za Nyumbani!......tena angekuwa Baba yangu angepiga wote aliye mpa msosi na aliye kula na aliye pika!

Mtoto kwenda kula kwa jirani ajili ya njaa anatangaza madhaifu ya Wazazi pia! mwisho wa siku Mama yake ataombwa na jirani vitu visivyoombwa!! kwa sababu ya Msaada wa chakula!

Na Nyerere aliwahi sema namnukuu ''Msaada Unahatarisha Uhuru wa mtu/nchi'' Na kweli alikataa msaada wa fedha taslimu kutoka ujermani akawarudishia hela zao!! wakashangaa sana!

Binafsi sidhani kma mfano huo aliutoa Rais!wa Jamhuri tena aliye kuwa Waziri ktk srkli ya mtangulizi wake huyo na haya aliyasikia ....km aliyasikia na akayafanya kinyume basi alikuwa Rais kihiyo tena hatari sana,

au msemaji uliamua kutunga tu hili jambo!...kwa usalama wetu ilikuwa hatari!! lkn pia kuna kosa gani kujitegemea??? wewe km wewe!! kwa nini upewe pewe km mwanamke!JK alikuwa sahihi!!

uvumilivu wa kutokula msosi! ndo siraha pekee ukiwa mstari wa mbele! kama wakurya walivo fanya kuleee vita ya Kagera, mtoto wako mfundishe huo uvumilivu siyo kula hovyo atakuuza siku moja!

tena atakuuza maksudi tu kwa adui yako kwa kuwa amesha jua udhaifu wake ni chakula tu baaasi tena basi Uji, km humfundishi uvumiluvu anza sasa! ...akale kwa jirani??? thubutuuu! jua pia akiwa dhaifu ....

Aweza pewa msosi na Adui, bila shaka huyu atakula!! kwa sbabu Baba kamzoesha Na adui atakae mpa chakula hana rangi! mtoto wa ivo mlaini hafai kuwa mwanajeshi uongo??
 

Ndo maana nasemaga nyie sometimes ni wadhaifu sana yaani hao waarabu wanawagombanisheni kijinga sana!! na waroma Hiyo Rome ndo imeanzisha uislam, na ndo imeanzisha ukristo ili mpigane wao wanyonye!!

Waarabu/Islamu na Waroma/kristu lao moja woote walishiriki biashara ya watumwa kwa kasi za ajabu sana! ni mtu na mjomba wake!! kamwe mnajisumbua tu!!

hata hao wanao sema haya/wasikilizaji maskini wa Mungu hawajui kitu si unaona walivo choka mbaya! na wewe sidhani ni km wao! jamani angalia weusi wenzetu walivo jichokea wanajua nini hao!

Kwa sababu hao siyo waarabu nawasamehe bure! maana hao hawajui kitu Kwanza VAT siyo Vatican, wamedanganywa na waarabu ina maana hawakusoma!hata biashara ya watumwa hawaijui!

Kwa hiyo weye Muarabu Mbaguzi wa karne umeona uwaweke hapa waafrica ili iweje??? weka ndg zako waarabu/wa pemba!! Kamwe sitagombana na ndg yangu unajisumbua tu!

zaidi ntamuelimisha tu! baaasi! yaani huyo hata km ataninyea shega tu! manake hajui anacho kifanya mlimteka Madrasa mkamjaza ujinga huo! si unaona walivo! Dini za watumwa tu hizo.kwani unadhani hatujui!

kwa akili yako finyu hiyo ukaweka waafrika wenzangu ili tupingane wenyewe kwa wenyewe! nyie mkae pembeni??? mbinu za kizamani sana hizo!! siku hizi letu ni moja USA, CANADA UK NK! Letu ni moja ni utashangaa!

kawaambie hao baba zako kuwa Miafrika imejanjaruka haitaki Vatican wala kuisikia Macca!
 
Back
Top Bottom