Waulize waliojiunga kwny Serikali ya Umoja wa kitaifa
Tangu wameunganishwa kwny 'Gridi ya Tozo' ushaskia wanauponda Muungano au Mapinduzi matukufu?
Akili za kuambiwa…
Mwendazake alisema mtamkumbuka, unadhani angekuwa mwendazake haya yangetokea? kakaa mzee Shein miaka kumi ,haya hayajawahi kutokea mwaka mmoja tu kelele kama loote, halafu huku tunakabana na walalahoi kwenye tozo zetu.Kwenye hotel ya Golden Tulip mjini Zanzibar kuna hafla kubwa ya kusherekea mwaka mmoja wa nafasi ya urais wa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.
Hafla hii imejumuisha viongozi wakuu wa kitaifa, wastaafu na wengine wengi wakiwepo wananchi mbalimbali, baadhi na kwa uchache Rais mstaafu Jakaya Kikwete, makamu wa kwanza wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dkt Bilal nk.
Barabarani ni mabango na matangazo ya kutosha ya live kuelezea uwepo wa tukio hilo.
Ingawa si jambo la kushangaza viongozi wa Zanzibar kufanya jambo kama sababu lilishawahi kufanywa huko nyuma ila kinachowashangaza baadhi ya watu ni ile kauli ya mh. Mwinyi kujipambanua kwa kubana matumizi.
Mabango na dhifa kubwa kama hiyo ni kwa muktadha upi ambao umeonyesha umuhimu kuandaliwa hata kama si pesa ya serikali?.
Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.
You've a point mfia nchi!, Nilimuona kwenye TV mzee Jakaya.Mwendazake alisema mtamkumbuka, unadhani angekuwa mwendazake haya yangetokea? kakaa mzee Shein miaka kumi ,haya hayajawahi kutokea mwaka mmoja tu kelele kama loote, halafu huku tunakabana na walalahoi kwenye tozo zetu.
Kwanini anataka kubadili katiba ya Zanzibar ili aweke sheria kandamizi kama za Jiwe ? kama huna taarifa basi chukua hiyoKuna kitu naona Dr. Mwinyi anafanya ni kama anafuata nyayo za the Legendary kubuni miradi mikubwa ambayo itatumia pesa nyingi, japo pesa ni za mkopo wa WB, IFM na za Covid.
Kwa miradi hiyo wale wananchi pendwa lazima wampende maana miradi inawagusa moja kwa moja ilihali matajiri hawawezi kumpenda.
Kutokana na hilo, usije kushangaa wanaofaidi keki ya taifa kupitia awamu hii wakawatumia wananchi flani kuanza kupeperusha mabango ya mitano tena!.
Kwanini anataka kubadili katiba ya Zanzibar ili aweke sheria kandamizi kama za Jiwe ? kama huna taarifa basi chukua hiyo
Watu mbona mnajua makubwa sanaHussein Mwinyi kwa wale wanaomjua ni mfanyabiashara first and foremost ; siasa kwake ni chombo cha kufanikisha malengo yake!! Business interests zake zinaangaliwa na mdogo wake Abdallah Mwinyi; kama vile kule Kenya Muhoho anavyoangalia business interests za rais Uhuru Kenyatta na huko Zanzibar ni hivyo hivyo!!
Hii ndio JFWatu mbona mnajua makubwa sana
Naanza kuamini mbowe sio gaidi CCM NDIO MAGAIDI YOTEHii ndio JF
Mkuuu si juz kafungua Hotel ya blue cjui kasema maaan mie namuona kma kavimba mashavu tuMwinyi ameshafail tayari, mwaka umekatika hana lolote alilolianzisha ambalo linaleta tamaa ya matumaini, anajisifia Amani na utalivu typical ccm.
Mkuuu si juz kafungua Hotel ya blue cjui kasema maaan mie namuona kma kavimba mashavu tu
Mkuu umeniuliza na ukanipa hit by the point view, ahahahaa.Kwanini anataka kubadili katiba ya Zanzibar ili aweke sheria kandamizi kama za Jiwe ? kama huna taarifa basi chukua hiyo
Sisi ni Wazalendo lazima tujue kinachoendelea nchini mwetu. Nchi hii si ya wajinga tena!!! Watawala hawana budi kufahamu kuwa hujuma zao sio siri.Watu mbona mnajua makubwa sana
Nyie watu ridhikeni na mema ya hii nchi Jitihada zote anazofanya Mwinyi mnataka afanye nini zaidi ya hayo kama kiongozi wa SMZ.Mwinyi ni kibaraka wa uvamizi uitwao muungano. Hawezi kufanya chochote zaidi ya kutekeleza maagizo ya waTanganyika waliomweka madarakani kwa kutoa roho za watu Na kumwaga damu. CCM mwisho wao ni mbaya sana. Allah atupe uhai.
Madam President ni Mzanzibari, kwa hiyo katika muhula wake wa uongozi ni lazima ahakikishe Zanzibar inafaidika kimkakati kutokana na yeye kuwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi. Kama mtangulizi wake aliipendelea Chato ni kwa nini naye ashindwe kufanye hivyo!?Kwenye hotel ya Golden Tulip mjini Zanzibar kuna hafla kubwa ya kusherekea mwaka mmoja wa nafasi ya urais wa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.
Hafla hii imejumuisha viongozi wakuu wa kitaifa, wastaafu na wengine wengi wakiwepo wananchi mbalimbali, baadhi na kwa uchache Rais mstaafu Jakaya Kikwete, makamu wa kwanza wa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dkt Bilal nk.
Barabarani ni mabango na matangazo ya kutosha ya live kuelezea uwepo wa tukio hilo.
Ingawa si jambo la kushangaza viongozi wa Zanzibar kufanya jambo kama sababu lilishawahi kufanywa huko nyuma ila kinachowashangaza baadhi ya watu ni ile kauli ya mh. Mwinyi kujipambanua kwa kubana matumizi.
Mabango na dhifa kubwa kama hiyo ni kwa muktadha upi ambao umeonyesha umuhimu kuandaliwa hata kama si pesa ya serikali?.
Pamoja na yote kuna kitu cha kujiuliza na ambacho Dr. Mwinyi amekiweka wazi kuwa, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia yupo karibu sana naye hasa katika uongozi wake na mustakabali wa Zanzibar na wanawasiliana kila wakati kupeana updates.
Nyie watu ridhikeni na mema ya hii nchi Jitihada zote anazofanya Mwinyi mnataka afanye nini zaidi ya hayo kama kiongozi wa SMZ.
Kinachonifurahisha wazanzibari wenyewe wanasema "Sisi ndiyo tunanufaika zaidi na huu muungano kuliko wabara" why, sababu wao hawana mzigo mzito wa kuwasumbua.Madam President ni Mzanzibari, kwa hiyo katika muhula wake wa uongozi ni lazima ahakikishe Zanzibar inafaidika kimkakati kutokana na yeye kuwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi. Kama mtangulizi wake aliipendelea Chato ni kwa nini naye ashindwe kufanye hivyo!?
Kitu pekee anachopaswa kufanya ni kupeleka miradi ya maendeleo kwa uwiano ulio sawa kutokana na idadi ya mikoa na wala siyo idadi ya watu. Kwa kuwa idadi ya watu waliopo katika mikoa ya Tanzania Bara ni kubwa zaidi kwa kulinganisha na ile ya Tanzania Visiwani.
Kwa hiyo basi njia pekee ni kama vile ambavyo ameanza kufanya kwa kununua na kuvigawa vifaa vya "CT Scan" kwa mikoa yote Bara na Visiwani pasipo kujali idadi ya wakazi, ndivyo pia anapaswa kufanya kwa kugawa vitu kama "ambulances", ujenzi wa madarasa, vituo vya afya, n.k.
Lazima atambue katika mikopo na misaada mingi ambayo Tanzania iliipata, mingi iliifaidisha Tanzania Bara. Ni lazima ahakikishe miundombinu bora inaonekana katika Zanzibar mpya yenye muonekano wa kisasa, ajenge uwanja wa michezo wa kisasa, madaraja ya juu yaani "interchange" pamoja barabara za lami zenye hadhi ya njia sita.
Anaweza pia kufungua "zoo" kubwa sana ili kuvutia zaidi watalii. Wakiupiga mwingi pamoja na Mwinyi Jr mbona wataitoa Zanzibar kimasomaso.
Kinachonifurahisha wazanzibari wenyewe wanasema "Sisi ndiyo tunanufaika zaidi na huu muungano kuliko wabara" why, sababu wao hawana mzigo mzito wa kuwasumbua.
Mfano mmojawapo niliopewa ni mikopo mikubwa, serikali ya muungano inakopa wao wanakatiwa chao na kufanya yao. Juzi bimkubwa kapewa za Covid na Zanzibar wamepewa 200b.
Yapo mengi ila pamoja na kubebana kwa msingi wa Rais katoka unguja wao hawapotezi kitu nini bara ndiyo wanapoteza.
👉🏾HATARI: Issue ya kuanzisha zoo Zanzibar hii inawezekana BUT naswma hapana haiwezekani nitasa kidete kupinga huo wizi kwa kigezo chochote kile.
Pesa ya mkopo ya IMF hiyo...... Wabara ndiyo tutakaoilipa.Sheikh tulia kidogo mzee kasema pesa itamwagwa mpaka kwa wasusi, wapika urojo na bodaboda wote ni fuli mikopo!.