Mwaka Mmoja wa Rais Dr. Hussein Mwinyi; Kinachoendelea Zanzibar Wananchi wanashangaa

Teh! teh! teeee! hivi kumbe naongea na chizi sasa Okello na biblia ya wazungu wapi na wapi! ...... au uli maanisha Biblia??
Ndio biblia yako hiyo?
 

 
Duh ndio maana kumekuwa na utitiri wa maduka kila kona , kila eneo la wazi linajengwa mpaka viwanja vya mpira vinageuzwa sehemu za biashara.

Jengine ni kama Jussa alivyosema watu kupewa tenda kienyeji bila kutangazwa ,mfano DNAta alivyokabidhiwa airport. Pia ujenzi wote unaoendelea hauna tenda .
 
Waarabu wazembe sana kuandika!! sasa ona unaweka mijivideo mireeefu wkt ni upupu mtupu! hakuna la maana kwa kuwa watu wenyewe hao kuzungumza hawa jui! wana ropoka ropoka tu!
 
Upo sahihi kabisa. Labda aje malaika aziongoze hizi nchi. Watanzania tuna shahada ya PHD ya kulalamika na kutoridhika.
 
Waarabu wazembe sana kuandika!! sasa ona unaweka mijivideo mireeefu wkt ni upupu mtupu! hakuna la maana kwa kuwa watu wenyewe hao kuzungumza hawa jui! wana ropoka ropoka tu!
 

Attachments

  • VID-20220630-WA0052.mp4
    2.9 MB
Mtalalamika tu kama kawaida yenu. Huwa hamuoni mazuri ya marais na jitihada wanazofanya usiku na mchana.
Kuna mazuri zaidi ya kuuuliwa Mzee wako , ndugu yako Na wengine kutiwa vilema ili Bwana mkubwa awekwe madarakani kwa nguvu? Haya ndiyo mazuri sana
 
Kuna mazuri zaidi ya kuuuliwa Mzee wako , ndugu yako Na wengine kutiwa vilema ili Bwana mkubwa awekwe madarakani kwa nguvu? Haya ndiyo mazuri sana
Ndo ujue walipo sema ''mshahara wa dhambi ni mauti'' walikuwa hawatanii mlivyo wafunga minyororo waafrica weusi na kuwauza km bidhaa mkawalimisha mlidhani mtakuwa ivo milele!!

kibao kimegeuka sasa mnalalama na bado.tena mshukuru sana hao viongozi ni waungwana lkn siku akija kichaaa!! nakwambia mtalia pooo!
 
Lazima ujue Mwinyi hapo amekuja kukusaidieni muamke sio mnakalia Urojo tu
 
Ulitaka wawe masikini kwa kushindwa kugawana majukumu kama nyie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…