Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Tafsiri ya maendeleo ni kukuwa kutoka hatua moja kwenda nyingine. Ninalopinga mimi ni swala la kuonyesha kuwa ni 'jitihada binafsi' za mtu mmoja katika kila jambo linalofanywa.Ni makubwa ndio,kwako tafsiri ya maendeleo ni ipi?
Nchi imekuwa ya watu wajinga sn, usishangae TFF wakampa tuzo ya ufungaji bora badala ya Mayele.hakuna maendeleo lakini wanajaribu kukuza kila kitu tuone kama vile kuna makubwa mno yanafanywa. Ukipita mabarabarani mabango yametanda kumpongeza kwa kila ambacho hakionekana. Kwa jitihada inayofanywa kumuonyesha kuwa ni bora sana, sitostaajabu tukiona bango la hongera mama kwa kuleta mvua nyingi ndani ya mwaka mmoja.
Wapuuzi nyie ni wahujumu uchumi hizo mbao miezi 3 zinaliwa na mchwaNdio hiyo hiyo? Fuso haipiti? Wananchi wanafurahia Mazao yanatoka wewe endelea kujifariji mtandaoni
Sio jitihada binafsi za Rais bali kwa uongozi wake tumetoka hatua moja kwenda nyingine..Tafsiri ya maendeleo ni kukuwa kutoka hatua moja kwenda nyingine. Ninalopinga mimi ni swala la kuonyesha kuwa ni 'jitihada binafsi' za mtu mmoja katika kila jambo linalofanywa.
Asante Samia kwa barabara, asante Samia kwa hospitali. In a long term hii linakuwa kama jaribio la kupambaza halaiki kuwa ni Samia ndio kafanya yote haya na si kodi za mwananchi.
halitokuwa jambo la ajabu. Maana kila linalojiri ni jitahada za Samia.Nchi imekuwa ya watu wajinga sn, usishangae TFF wakampa tuzo ya ufungaji bora badala ya Mayele.
Mchwa gani? Unadhani tunaweka miti kama ya uloyoezekea Banda lako?Wapuuzi nyie ni wahujumu uchumi hizo mbao miezi 3 zinaliwa na mchwa
ndani ya nafsi yako unajua fika kuwa hii yote ni propaganda ya kutuaminisha kuwa kuna jambo mama anafanya lakini in reality tunalishwa pumba tu. Hutokiri sababu ni dhahiri upo kazini na lazima utetee kula yako.Sio jitihada binafsi za Rais bali kwa uongozi wake tumetoka hatua moja kwenda nyingine..
Si mlikuwa mnapinga na kutukana Kuhusu tozo na juzi kaamuru zirudi,sasa haya ndio matokeo yake
View attachment 2175202
Yaani nyie ni matapeli snMchwa gani? Unadhani tunaweka miti kama ya uloyoezekea Banda lako?
Hilo ni daraja la muda ,ujenzi rasmi huu hapa 👇
View attachment 2175205
Wewe na kamati ya Bunge yupi tunapaswa kumsikiliza? 😬😬.Yaani nyie ni matapeli sn
Pole Sana ,Kati yako wewe na kamati ya Bunge nani anafanya propaganda za kitoto?ndani ya nafsi yako unajua fika kuwa hii yote ni propaganda ya kutuaminisha kuwa kuna jambo mama anafanya lakini in reality tunalishwa pumba tu. Hutokiri sababu ni dhahiri upo kazini na lazima utetee kula yako.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Mwaka mmja wa Rais SSH madarakani,wakala wa barabarani za Vijijini na Mijini Tarura imeendelea kuleta mageuzi makubwa ya barabara za Vijijini na Mijini kwa kufungua Nchi kufika kusiko fikika hivyo . kuwanufaisha wananchi...
Nani kasema ni jitihadi binafsi? Nguvu gani inatumika hapa?
Si huwa mnasema mnataka kupata mrejesho sasa huu ndio mrejesho wenyewe wa tozo nk .
You people mna shida gani nyie ?
Kerubi hanifikii mkuu,kama haya yanafanyika kwa nini nisimzidi kerubi?Katika swala la kuimba na kutukuza, wewe umefika kwenye level za Kerubi.
Of courseKwaiyo tozo ndo zimejenga ilo daraja la mbao
Tetetete kamati hii inayopokea rushwa kwanza kabla ya kwenda site?Wewe na kamati ya Bunge yupi tunapaswa kumsikiliza? 😬😬.
Kamati ya Bunge inapongeza wewe unaongea utoto
View attachment 2175216
Maendeleo ana maanisha rushwa alizopokea toka kwa wakadarasi akajenga nyumba nzuri, kununua gari ya kutembelea, kuhonga vimada n.kIvi maendeleo ni nini au mimi sielewi, Mleta mada nataka nikuulize swali ukisema maendeleo unaelewa nn? Ivi uyu bi mkubwa kaleta maendeleo gani au wewe unaishi ukraine?
Ebu tembea kidogo wacha kukaa sehemu moja kunakufanya Usijue mengi sana mpaka dakika hii mama yako keshafeli kimahesabu kawakumbatia manyang’au akizani watamsaidia lakini wale ndo watakao mmaliza wale ni watu wa fursa wapo pale kwa Maslai yao na watoto wao....
Mkuu maisha huku uraiani yamebadilika sana yamekuwa magumu sana kwaiyo mwaka mmoja wa mama samia ni upuuzi tu Hakuna la maana limefanyika,
Siku moja naangalia tv alikuwa akihutubia sikumbuki ni mkoa gani lakini alionekana mama mmoja akiwa na Bango amezulimiwa ardhi na alikuwa akijitahidi kupita amuombe raisi wake amsaidie, kiukweli roho iliniuma samia alimjibu vbaya sana yule mama kwamba ambu rudi huko tafazali watakusikikiza uko watakusaidia huko. Uyo ndo raisi na yule ni mwanamke mwenzie alishidwa kumsikiliza mwaka mmoja wa samia suluhu
Endelea kusifia j5 ya mwanzo wa mwezi ni kesho kutwa na bei za mafuta zitabadilika na ndo utasema mwaka mmoja wa samia amefanya nini!!! Najua unajua mafuta yakipanda zaidi nini kitatokea
Rushwa zimefunguka vizuri sn mkuuMnamtukuza sana uyo mama mnalipwa au? Ukiona mtu anasifiwa sana kuna walakini.