The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
- #41
Wanapokea sh.ngapi? Wewe unaeenda site bila rushwa tupe your findingsTetetete kamati hii inayopokea rushwa kwanza kabla ya kwenda site?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapokea sh.ngapi? Wewe unaeenda site bila rushwa tupe your findingsTetetete kamati hii inayopokea rushwa kwanza kabla ya kwenda site?
Saaana,Kazi na bataRushwa zimefunguka vizuri sn mkuu
Ndiyo maana sikutaka kuajiriwa baada ya kujitolea council kama miezi 8 nikaona uozo wa ajabu sn na sitakaa niajiriwe lakini nilijifunza mambo mengi sn kuhusu mifumo yetu imejaa rushwa na utapeli tupuWanapokea sh.ngapi? Wewe unaeenda site bila rushwa tupe your findings
Ndugu yangu, unapoteza muda bure kuandika yote haya. Huyu mtoa mada ni wazi yupo kazini. Ni sehemu ya ile propaganda ya kutuaminisha kuwa mama anafanya kazi kubwa, lakini hata yeye mwenyewe anajua kuwa hakuna kitu.Ivi maendeleo ni nini au mimi sielewi, Mleta mada nataka nikuulize swali ukisema maendeleo unaelewa nn? Ivi uyu bi mkubwa kaleta maendeleo gani au wewe unaishi ukraine?
Ebu tembea kidogo wacha kukaa sehemu moja kunakufanya Usijue mengi sana...... mpaka dakika hii mama yako keshafeli kimahesabu kawakumbatia manyang’au akizani watamsaidia lakini wale ndo watakao mmaliza wale ni watu wa fursa wapo pale kwa Maslai yao na watoto wao....
Mkuu maisha huku uraiani yamebadilika sana yamekuwa magumu sana kwaiyo mwaka mmoja wa mama samia ni upuuzi tu Hakuna la maana limefanyika,
Siku moja naangalia tv alikuwa akihutubia sikumbuki ni mkoa gani lakini alionekana mama mmoja akiwa na Bango amezulimiwa ardhi na alikuwa akijitahidi kupita amuombe raisi wake amsaidie, kiukweli roho iliniuma samia alimjibu vbaya sana yule mama kwamba ambu rudi huko tafazali watakusikikiza uko watakusaidia huko...!!!!!!!!! Uyo ndo raisi na yule ni mwanamke mwenzie alishidwa kumsikiliza mwaka mmoja wa samia suluhu
Endelea kusifia j5 ya mwanzo wa mwezi ni kesho kutwa na bei za mafuta zitabadilika na ndo utasema mwaka mmoja wa samia amefanya nini!!! Najua unajua mafuta yakipanda zaidi nini kitatokea
Ila kama hulipwi kwa kazi hii, basi wewe ni fungu la kukosa.Kerubi hanifikii mkuu,kama haya yanafanyika kwa nini nisimzidi kerubi?
Twende Kazi 👇
View attachment 2175219
View attachment 2175220
Na ndio maana waswahili wakasema "Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza". Ukiangalia mabango na mapambio ya hongera mama huko ndio kujitembeza kwenyewe.Mnamtukuza sana uyo mama mnalipwa au? Ukiona mtu anasifiwa sana kuna walakini.
huyo ukimkuta kwenye vijiwe vya kahawa anamnanga mama mwanzo mwisho. Hapa yupo kibaruani, inabidi asifie tu hata visivyosifika.Ila kama hulipwi kwa kazi hii, basi wewe ni fungu la kukosa.
Kiufupi serikali ya huyu dada imefeli tayari.
Kusifiwa Sana kunakuaje? Kwa hiyo akifanya vizuri asisiwe si ndio? 😊😊Mnamtukuza sana uyo mama mnalipwa au? Ukiona mtu anasifiwa sana kuna walakini.
Sasa kama wewe ndio kipimo cha kufeli kuna shida gani? Acha iendelee kufeli kama kufeli ndio huku 😀😀Ila kama hulipwi kwa kazi hii, basi wewe ni fungu la kukosa.
Kiufupi serikali ya huyu dada imefeli tayari.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Mwaka mmja wa Rais SSH madarakani,wakala wa barabarani za Vijijini na Mijini Tarura imeendelea kuleta mageuzi makubwa ya barabara za Vijijini na Mijini kwa kufungua Nchi kufika kusiko fikika hivyo . kuwanufaisha wananchi.
Ikumbukwe kabla ya kuongezewa bajeti, barabara za Vijijini ilikuwa ni kilio kikubwa sana kwa wanachi wa Vijijini lakini mama alisikia kilio na Sasa matokeo yanaonekana.
Sio tuu barabara za changarawe na madaraja yanajengwa bali hadi Vijijini huko lami zinazidi kutandazwa.
Bado mama ana miaka 4 zaidi,wanaomchukia watampenda wenyewe bila kulazimishwa.
Twende Kazi Mama matunda yako tunayaona👇
View attachment 2175173
View attachment 2175174
View attachment 2175175
View attachment 2175176
View attachment 2175177
View attachment 2175178
View attachment 2175179
View attachment 2175180
View attachment 2175181
View attachment 2175182
View attachment 2175183
Hapa ni barabara sio Tanesco.Mapinduzi kama ya Tanesco. Kuanza kupata umeme wa mgao 😂 😂 😂 😂 😂
Mapinduzi kama ya Tamesco vile 😂 😂 😂 😂 😂Hapa ni barabara sio Tanesco.
Ya Tanesco yana Uzi wake na majibu yake
Mkuu tunaendelea kukufungulia barabara ufike kusiko fikika👇Mapinduzi kama ya Tanesco. Kuanza kupata umeme wa mgao 😂 😂 😂 😂 😂
Kupita hapo labda iwe ni sehemu ya mafunzo ya kijeshi.Bila kusahau hili hapa chini! Nchi inazidi kufunguka mama anaupiga mwangi mpaka offside
View attachment 2175190
Toa ufafanuzi hiyo miradi toka proposal zake zinaandaliwa na budget zake zinapitishwa ilikuwa ni kipindi gani?..au kama Hilo gumu utekelezaji wake ulianza kipindi gani kisha utajua pesa ilitoka kwa kiongozi yupi...EVENTHOUGH THAT IS THEIR JOB AND ITS TAX PAYERS MONEY SO THERE IS NO NEED TO PRAISE THEMNakuongezea propaganda zingine hizi hapa chini mkuu [emoji116]
View attachment 2175243
View attachment 2175244
View attachment 2175245
View attachment 2175246
Hii ya TARURA, naunga mkono hoja maana mimi mwenyewe ni shuhuda wa kazi nzuri kabisa ya kupendeza na kutukuka inayofanywa na Tarura kwa Barabara za Vijijini na Mijini.Nawasalimu kwa jina la JMT.
Mwaka mmja wa Rais SSH madarakani,wakala wa barabarani za Vijijini na Mijini Tarura imeendelea kuleta mageuzi makubwa ya barabara za Vijijini na Mijini kwa kufungua Nchi kufika kusiko fikika hivyo . kuwanufaisha wananchi.
Ikumbukwe kabla ya kuongezewa bajeti, barabara za Vijijini ilikuwa ni kilio kikubwa sana kwa wanachi wa Vijijini lakini mama alisikia kilio na Sasa matokeo yanaonekana.
Sio tuu barabara za changarawe na madaraja yanajengwa bali hadi Vijijini huko lami zinazidi kutandazwa.
Bado mama ana miaka 4 zaidi,wanaomchukia watampenda wenyewe bila kulazimishwa.
Twende Kazi Mama matunda yako tunayaona👇
View attachment 2175173
View attachment 2175174
View attachment 2175175
View attachment 2175176
View attachment 2175177
View attachment 2175178
View attachment 2175179
View attachment 2175180
View attachment 2175181
View attachment 2175182
View attachment 2175183