Mwaka mmoja wa Samia madarakani, TARURA yafanya mapinduzi ya kufungua Nchi kufika kusikofikika kwa barabara za Vijijini na Mijini

Uko sahihi na aliesema kuwa ni mzungu pia yupo sahihi.Kwa maana mkandarasi ni Kings wa Dsm kwa upande wa kilolo na kwa Mufindi ni Gs ya Iringa na Hemates jv Webco za Dsm.
Fedha zimetolewa na European union
 
Uko sahihi na aliesema kuwa ni mzungu pia yupo sahihi.Kwa maana mkandarasi ni Kings wa Dsm kwa upande wa kilolo na kwa Mufindi ni Gs ya Iringa na Hemates jv Webco za Dsm.
Fedha zimetolewa na European union
Fedha za mkopo hizo na mradi upo mpaka 2026 kwa maeneo tofauti tofauti ya mikoa..

Ukiacha huo unakuja mradi mwingine wa RISE maeneo mbalimbali nao ni lami.

Waambie wanavijiji hao wazungu hawajajileta
 
Hizi za kutukuza na kusifu nazo ni activity na zina bajeti zake, nchi hizi za kiafrika kila kitu ni fursa.
 
Fedha za mkopo hizo na mradi upo mpaka 2026 kwa maeneo tofauti tofauti ya mikoa..

Ukiacha huo unakuja mradi mwingine wa RISE maeneo mbalimbali nao ni lami.

Waambie wanavijiji hao wazungu hawajajileta
Mradi wa Rise bado unachangamoto kiasi.kuna debate ya gravel vs lami.
Kwa Mufindi wamechagua Barabara ya Mtili - Ifwagi - Mkuta kilomita 14.
Kama una maswali uliza.kuhusu Rise na Agri connect.ili utoe taarifa sahihi
 
Fedha za mkopo hizo na mradi upo mpaka 2026 kwa maeneo tofauti tofauti ya mikoa..

Ukiacha huo unakuja mradi mwingine wa RISE maeneo mbalimbali nao ni lami.

Waambie wanavijiji hao wazungu hawajajileta
Unajua jinsi Barabara ya Sawala -Mkonge -iyegeya ilivyochaguliwa na Agri connect program?
 
Unajua jinsi Barabara ya Sawala -Mkonge -iyegeya ilivyochaguliwa na Agri connect program?
Wewe jua kwamba hayo ni matunda ya mama.Tutaanza kuulizana hadi mchakato wa kumpata Mkandarasi sasa.

Hoja ni imejengwa awamu ya mama
 
Haya mapambio nayo yanamwisho wake.......
 
Mimi bado nasubiri kuona hizo barabara Wilaya ya Mvomero,sijaziona.
 
Wewe jua kwamba hayo ni matunda ya mama.Tutaanza kuulizana hadi mchakato wa kumpata Mkandarasi sasa.

Hoja ni imejengwa awamu ya mama
Nilitaka nikupe taarifa sahihi juu ya mradi mzima wa Agri connect haswa mkoa wa Iringa maana najua a to z.
Sasa unapendelea mipasho.
Endelea na Kazi nzuri.
 
Nilitaka nikupe taarifa sahihi juu ya mradi mzima wa Agri connect haswa mkoa wa Iringa maana najua a to z.
Sasa unapendelea mipasho.
Endelea na Kazi nzuri.
Mipasho ipi? Basi huo mradi umefanyika sio chini ya uongozi wako
 
Planning imeanza mwishoni mwa. Awamu ya Nne Ujenzi umeanza awamu ya Tano.Umaliziaji awamu ya Sita
 
Kwa jitihada inayofanywa kumuonyesha kuwa ni bora sana, sitostaajabu tukiona bango la hongera mama kwa kuleta mvua nyingi ndani ya mwaka mmoja.
Nadhani wameshagundua kwamba huku mtaani JPM bado anasifiwa zaidi kuliko SSH, kwa hiyo hizi ni jitihada kubwa zinazofanywa ili kujaribu kumfunika JPM.
Si tunakumbuka mama juzi kasema kulikuwa na nidhamu ya woga serikalini na haikuleta mabadilikomakubwa? Basi ujumbe ni kuwa 'yule jamaa' hakuwa mzuri kihivyo, mimi naleta kitu bora zaidi yake, nidhamu ya moyoni ili kuifunika nidhamu ya woga!
Sina uhakika kama hii strategy itafanikiwa kweli kubadilisha mtazamo wa watu huku mtaani.
 
πŸ˜πŸ˜πŸ™πŸ™πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸŽΌπŸŽΌ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…