Mwaka mmoja wa Samia, Tanzania yapaa Kimataifa vita dhidi ya Rushwa

Mwaka mmoja wa Samia, Tanzania yapaa Kimataifa vita dhidi ya Rushwa

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Salum Hamdun amesema Tanzania imetambulika kuwa ni miongoni mwa nchi chache Afrika zilizopiga hatua katika mapambano dhidi ya Rushwa. Kwa mujibu wa shirika la International inaonyesha Tanzania imeshika nafasi ya 2 katika nchi za Afrika Mashariki huku duniani ikipanda kutokana nafasi ya 119 hadi ya 87.

Tanzania inaendelea kupiga hatua na kuonyesha kufanya vizuri kwa mwaka wa tatu mfululizo katika kukabiliana rushwa hususani kwa kuzuia hongo, matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji katika mihimili ya utawala, mahakama na bunge.

Tanzania inaelekea pazuri kwa kuwa imefanikiwa kudhibiti rushwa kwa kiasi kikubwa ambayo inachochea Taifa kutokupata maendeleo, watu kunyimwa haki zao na kuleta migogoro kwenye jamii.
images
 
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Salum Hamdun amesema Tanzania imetambulika kuwa ni miongoni mwa nchi chache Afrika zilizopiga hatua katika mapambano dhidi ya Rushwa. Kwa mujibu wa shirika la International inaonyesha Tanzania imeshika nafasi ya 2 katika nchi za Afrika Mashariki huku duniani ikipanda kutokana nafasi ya 119 hadi ya 87.

Tanzania inaendelea kupiga hatua na kuonyesha kufanya vizuri kwa mwaka wa tatu mfululizo katika kukabiliana rushwa hususani kwa kuzuia hongo, matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji katika mihimili ya utawala, mahakama na bunge.

Tanzania inaelekea pazuri kwa kuwa imefanikiwa kudhibiti rushwa kwa kiasi kikubwa ambayo inachochea Taifa kutokupata maendeleo, watu kunyimwa haki zao na kuleta migogoro kwenye jamii.
images
Bado umelala
 
We hauko tz....rushwa ndy imepamba moto sana sahvi

Ova
 
Awamu hii na ile ya 4 ya JK ndio zinaongoza kwa rushwa hapa TZ.
Awamu ya JPM pamoja na mapungufu yake ila rushwa ilikuwa chini zaidi tena kwa kificho/siri sana!!!.
 
Wenzetu mko tanzania ipi tuambiane basi kama tulipo sipo maana kinachoongelewa tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom