Mwaka mmoja wa Uongozi wa Rais Samia; Asante kwa upendo wako kwa watumishi wa umma

Mwaka mmoja wa Uongozi wa Rais Samia; Asante kwa upendo wako kwa watumishi wa umma

Maryam Malya

Senior Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
116
Reaction score
260
73d5ac87-17a7-479c-84e0-e9dbc0ddcd38.jpg
Na Mwl Udadis

Ipo haja kwa vyama mbalimbali vya wafanyakazi kutoa kauli ya kumpongeza Rais Samia kwa hatua alizozichukua ndani ya muda mfupi katika sekta ya utumishi wa umma, Rais ameonyesha ishara ya kujali na kuwapa watumishi wa umma kipaumbele kinachotakiwa.

Baadhi ya mambo yaliyofanywa na kutugusa watumishi moja kwa moja ni pamoja na;

1. Kupandishwa madaraja WATUMISHI laki moja tisini elfu na miatano sitini na mbili~ 190,562 (Kwa wasioelewa, hii imeigharimu Serikali kiasi cha takribani TZS BILIONI 39.6).

2. Taasisi zote zenye uhitaji wa wafanyakazi kupewa vibali vya ajira mpya na kutolewa vibali kwa watumishi walioomba kubadilisha vituo na kwenda kuongeza taaluma kwa mujibu wa taratibu na sheria za utumishi wa umma.

3. Kuanzia Mwezi March 2021 hadi January 2022, Rais Samia amewezesha ulipwaji wa madeni na malimbikizo ya watumishi wa umma wapatao 65,391, madeni yenye thamani ya takribani TZS BILIONI 90.7.

4. Kuondolewa kwa mzigo wa tozo ya 6% (VALUE RETENTION FEE) kwa watumishi waliokuwa wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu (HESLB). Kiwango hiki cha 6% kimekuwa mzigo mzito kwa watumishi hususani vijana wanaotoka Vyuo Vikuu, Rais Samia atakumbukwa sana kwa hili.

5. Kuboreshwa kwa mazingira ya kazi ya watumishi. Hii inatupa hamasa watumishi kutoa huduma bora na kuhakikisha wananchi wanapewa wanachostahiri.

Ingekuwa katika soka ningesema Mama yetu Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi mithili ya Mreno Christian Ronaldo. Nichukue fursa hii kumpongeza Rais wetu kwa kutujali watumishi wa umma kwa vitendo.

Pia, natoa rai kwa vyama vyetu kutoa kauli za kumpongeza na kumtia moyo kiongozi huyu mwenye upendo kwetu.
 
3. Kuanzia Mwezi March 2021 hadi January 2022, Rais Samia amewezesha ulipwaji wa madeni na malimbikizo ya watumishi wa umma wapatao 65,391, madeni yenye thamani ya takribani TZS BILIONI 90.7.

Mtaalam hapo umenena vyema.Viva SSH.long live.
 
Na Mwl Udadis

Ipo haja kwa vyama mbalimbali vya wafanyakazi kutoa kauli ya kumpongeza Rais Samia kwa hatua alizozichukua ndani ya muda mfupi katika sekta ya utumishi wa umma, Rais ameonyesha ishara ya kujali na kuwapa watumishi wa umma kipaumbele kinachotakiwa.

Baadhi ya mambo yaliyofanywa na kutugusa watumishi moja kwa moja ni pamoja na;

1. Kupandishwa madaraja WATUMISHI laki moja tisini elfu na miatano sitini na mbili~ 190,562 (Kwa wasioelewa, hii imeigharimu Serikali kiasi cha takribani TZS BILIONI 39.6).

2. Taasisi zote zenye uhitaji wa wafanyakazi kupewa vibali vya ajira mpya na kutolewa vibali kwa watumishi walioomba kubadilisha vituo na kwenda kuongeza taaluma kwa mujibu wa taratibu na sheria za utumishi wa umma.

3. Kuanzia Mwezi March 2021 hadi January 2022, Rais Samia amewezesha ulipwaji wa madeni na malimbikizo ya watumishi wa umma wapatao 65,391, madeni yenye thamani ya takribani TZS BILIONI 90.7.

4. Kuondolewa kwa mzigo wa tozo ya 6% (VALUE RETENTION FEE) kwa watumishi waliokuwa wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu (HESLB). Kiwango hiki cha 6% kimekuwa mzigo mzito kwa watumishi hususani vijana wanaotoka Vyuo Vikuu, Rais Samia atakumbukwa sana kwa hili.

5. Kuboreshwa kwa mazingira ya kazi ya watumishi. Hii inatupa hamasa watumishi kutoa huduma bora na kuhakikisha wananchi wanapewa wanachostahiri.

Ingekuwa katika soka ningesema Mama yetu Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi mithili ya Mreno Christian Ronaldo. Nichukue fursa hii kumpongeza Rais wetu kwa kutujali watumishi wa umma kwa vitendo.

Pia, natoa rai kwa vyama vyetu kutoa kauli za kumpongeza na kumtia moyo kiongozi huyu mwenye upendo kwetu.
Naunga mkono hoja,
P
 
Hivi sifa tunazowapa wanasiasa/viongozi wetu wanastahili kweli au tunapamba ili tupate tonge mdomoni, sisi Watanzania (wananchi wa kawaida) ndio tunafanya maisha yetu wenyewe yawe magumu, tunasifia mnoooo, tupunguze huku kujipendekeza, badala yake tuseme ukweli na hali halisi ya maisha huku mtaani.
 
Mama amejifunga kibwebwe ugali utaiva tu.
 
Na Mwl Udadis

Ipo haja kwa vyama mbalimbali vya wafanyakazi kutoa kauli ya kumpongeza Rais Samia kwa hatua alizozichukua ndani ya muda mfupi katika sekta ya utumishi wa umma, Rais ameonyesha ishara ya kujali na kuwapa watumishi wa umma kipaumbele kinachotakiwa.

Baadhi ya mambo yaliyofanywa na kutugusa watumishi moja kwa moja ni pamoja na;

1. Kupandishwa madaraja WATUMISHI laki moja tisini elfu na miatano sitini na mbili~ 190,562 (Kwa wasioelewa, hii imeigharimu Serikali kiasi cha takribani TZS BILIONI 39.6).

2. Taasisi zote zenye uhitaji wa wafanyakazi kupewa vibali vya ajira mpya na kutolewa vibali kwa watumishi walioomba kubadilisha vituo na kwenda kuongeza taaluma kwa mujibu wa taratibu na sheria za utumishi wa umma.

3. Kuanzia Mwezi March 2021 hadi January 2022, Rais Samia amewezesha ulipwaji wa madeni na malimbikizo ya watumishi wa umma wapatao 65,391, madeni yenye thamani ya takribani TZS BILIONI 90.7.

4. Kuondolewa kwa mzigo wa tozo ya 6% (VALUE RETENTION FEE) kwa watumishi waliokuwa wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu (HESLB). Kiwango hiki cha 6% kimekuwa mzigo mzito kwa watumishi hususani vijana wanaotoka Vyuo Vikuu, Rais Samia atakumbukwa sana kwa hili.

5. Kuboreshwa kwa mazingira ya kazi ya watumishi. Hii inatupa hamasa watumishi kutoa huduma bora na kuhakikisha wananchi wanapewa wanachostahiri.

Ingekuwa katika soka ningesema Mama yetu Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi mithili ya Mreno Christian Ronaldo. Nichukue fursa hii kumpongeza Rais wetu kwa kutujali watumishi wa umma kwa vitendo.

Pia, natoa rai kwa vyama vyetu kutoa kauli za kumpongeza na kumtia moyo kiongozi huyu mwenye upendo kwetu.
Atake asitake tutamuongezea muda wa kutawala!! Rais Samia oyeeeee!! Alazimishwe tu kutawala milele kwa kweli.
 
Back
Top Bottom