Mwaka mpya umekukuta wapi na ukifanya nini?

Mwaka mpya umekukuta wapi na ukifanya nini?

Hivi visungura ni pombe ya aina gani? Ni hizi za vikopo au?
1000018151.jpg
 
Gesti zimejaa. Hapa mtaani ni milio ya vishindo vya vitanda, kwichi!kwichi!kwichi!kwichi!. Huku ni milio ya nyamanyama ya makalio zikigongana pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!

Jamaa yangu anauza pharmacy anasema kauza condom za laki 2 kwa usiku mmoja.

P2 zimenunuliwa mno. Na hapo bado kuuzwa azuma
😂😂😂😂😂
 
Kwasisi tunaofanya kwenye machimbo hii biashara ni nzuri sana maana miner ni kwere kwenye sekta ya kuchakata mbususu kama Zero IQ
Ndio maana pharmacy na hospitali nyingi za maeneo karibu na machimbo huwa zina hela sana. Kukulana kuna hela sana. Kuna mzee mmoja mfanyabiashara ana hospitali na pharmacy huko geita anasema magonjwa kama uti, kaswende na kisonono yanampa hela sana. Bila kusahau madawa ya uzazi wa mpango na condom. Anasema hakosagi 10m hadi 25m kutokana na hiyo sekta 🤣
 
Back
Top Bottom