DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Gongo hioDah hiyo ndio yenyewe sasa. Unapata vibe kwa bei chee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gongo hioDah hiyo ndio yenyewe sasa. Unapata vibe kwa bei chee
Hivi visungura ni pombe ya aina gani? Ni hizi za vikopo au?
Hii kitu ni mkombozi wa taifa😁Dah hiyo ndio yenyewe sasa. Unapata vibe kwa bei chee
Smart Gin sio gongo mkuu mamlaka husika zimethibitisha kuwa ni salama na imekidhi viwangoGongo hio
Gongo za kisasa hizo ukiwasha moto inawaka kama ile konyagi ya zamani yenye 40%V/vSmart Gin sio gongo mkuu mamlaka husika zimethibitisha kuwa ni salama na imekidhi viwango
😂😂😂😂😂Gesti zimejaa. Hapa mtaani ni milio ya vishindo vya vitanda, kwichi!kwichi!kwichi!kwichi!. Huku ni milio ya nyamanyama ya makalio zikigongana pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!
Jamaa yangu anauza pharmacy anasema kauza condom za laki 2 kwa usiku mmoja.
P2 zimenunuliwa mno. Na hapo bado kuuzwa azuma
Ndio maana pharmacy na hospitali nyingi za maeneo karibu na machimbo huwa zina hela sana. Kukulana kuna hela sana. Kuna mzee mmoja mfanyabiashara ana hospitali na pharmacy huko geita anasema magonjwa kama uti, kaswende na kisonono yanampa hela sana. Bila kusahau madawa ya uzazi wa mpango na condom. Anasema hakosagi 10m hadi 25m kutokana na hiyo sekta 🤣Kwasisi tunaofanya kwenye machimbo hii biashara ni nzuri sana maana miner ni kwere kwenye sekta ya kuchakata mbususu kama Zero IQ
🤣😂😂😂😂😂
Gongo itakuwa juu ya 50%Gongo za kisasa hizo ukiwasha moto inawaka kama ile konyagi ya zamani yenye 40%V/v
Gongo inafika 96%Gongo itakuwa juu ya 50%
Nakumbuka utotoni Kuna mzee alikuwa kipofu mtaani stori yake tuliambiwa alifakamia gongo akaanza kutapatapa anaona giza toka siku hiyo macho ndio yakawa yameendaGongo inafika 96%
Wakipata UKIMWI wanakuwa wachamungu 😂Vijana wapo wanakulana tu.
Sawa muinjilisti wa kujitegemea 😂Home.
Nikajibu jumbe mbili tatu za ndugu na jamaa nikaenda kulala nimeamkia Kanisani na sasa nipo kazini.