mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nilikuwa nimelala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlikuwa mwendokasi sana au ndo aliyekuwa anaendesha hakuwa amekwiva barabarani?!Tulipata ajali ya gari washikaji wawili wa mtaani walifariki, mm nilivunjika collar borne ya mkono wa kulia, wengine waliugulia miezi kukaa sawa. Wazazi walisikitika sana kwa sababu kwanza ilikuwa kama tulitoroka huo usiku!
siamini kwenye mwaka mpyaMshamba unalala mpaka siku kama hii
ukisheherekea sana mwaka mpya unajiandaa kuumia tu😂Unaamini nini kaka?
Uko sawa kaka. Lakini mwisho wa siku lazima ujiwekee goals unazotaka ku achieve ndani ya muda fulani. Labda tofauti tu ni kuwa wewe hutaki kuset goals zako kuendana na mwaka mpyaukisheherekea sana mwaka mpya unajiandaa kuumia tu😂
unajiwekea ahadi mbalimbali
kadri mwaka unavyozidi kwenda na hujatimiza ahadi, unaumia
😃😃😃Gesti zimejaa. Hapa mtaani ni milio ya vishindo vya vitanda, kwichi!kwichi!kwichi!kwichi!. Huku ni milio ya nyamanyama ya makalio zikigongana pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!pwa!
Jamaa yangu anauza pharmacy anasema kauza condom za laki 2 kwa usiku mmoja.
P2 zimenunuliwa mno. Na hapo bado kuuzwa azuma
Alaf dar naona wanaongoza Yani usitoke safar usiku siku za sikukuu ama weekend nyumba za kulala wageni full had hotel 😂😂Jamaa wa pharmacy ana mahesabu makali mno. Anajua kutarget misimu ya kukulana. Anasema hapo ndio kuna hela mno. Ndio maana pharmacy nyingi zimekaa karibu na maeneo ya starehe au karibu na vyuo au katikati kwenye center yenye watu wengi, kuna kukulana mno. Ni Mkongwe wa sekta hiyo kwa hiyo anajua anachokifanya 🤣
Mbona apansia ni kilugha ganiUgua pole Apansia. Sherehekea hivo hivoo