Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ma'am you're fibbing right?? Hua sikoment sana humu mbona!Criston Cole unaongea English sana jaribu kuongea kiswahili hatukuelewi
Jembe usipolinoa mara kwa mara kwa kutumia tupa tofauti tofauti, litaisha makaliEquation x acha starehe imezeeka bhana nenda katulie na mama yoyo waache wakina Glenn wapambane Kwa Sasa bado miili Yao inaruhusu.
HatukuelewiMa'am you're fibbing right?? Hua sikoment sana humu mbona!
Well, if you're certain I'll try to get the hang of it. For altering my modes communication.
And thanks for noticing me
Merry ChristmasNgoja nione kama kuna mtu ataniambia kitu ๐
Mxiuu utazimia gest haya shauri yako hujaenda kuhesabiwa Badoo saivi hadi unavilembweJembe usipolinoa mara kwa mara kwa kutumia tupa tofauti tofauti, litaisha makali
Asante, na kwako pia ๐Merry Christmas
Hahahaaa jamani....njoo pm kwanzaWe ntoto siku ukikamatwa uage kabisa๐คฃ
Nakupenda pia baby.... ๐๐๐๐Ngoja kwanza niutangazie ulimwengu kuwa nakupenda sana๐๐๐๐
Unatuchonganisha eeh
Huko kwenda honeymoon vipiii? Ha haa umenichekesha. Asante shoga yanguAnalyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana
Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn
mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza๐
WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
๐๐๐๐๐..barikiwa sana momHuko kwenda honeymoon vipiii? Ha haa umenichekesha. Asante shoga yangu