Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Analyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana

Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn

mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza😏

WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
Utawamaliza wote? Chagua mmoja tu!
 
Analyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana

Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn

mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza😏

WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
Asante sana To yeye tupo pamoja.
 
Nimekuja bibie winlicious [emoji8]
Mkuu,unaonekana unapendwa Sana na warembo hapa jukwaani. Sijui Siri ya mafanikio yako ni nini.

Kila uzi ya aina hii lazima utrend. Anyways,nikutakie heri ya Christmas na mwaka mpya mkuu. Mwakani twenzetu kidimbwi tukasafishe macho na watoto wakali.


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,unaonekana unapendwa Sana na warembo hapa jukwaani. Sijui Siri ya mafanikio yako ni nini.

Kila uzi ya aina hii lazima utrend. Anyways,nikutakie heri ya Christmas na mwaka mpya mkuu. Mwakani twenzetu kidimbwi tukasafishe macho na watoto wakali.


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu sana Satoh Hirosh
Sina la kujivunia kuhusu hili.
Nimejikuta tu kuwa mimi ni rafiki mkubwa sana wa hii jinsia tokea utotoni.

Ninatengeneza marafiki kila niendako.
Katika maisha hilisi ndivyo ilivyo.
Kuna watu huwa wanahisi mimi ni mpenda chini lkn 97% si kweli ni pure urafiki usio wa kimahusiano.

Nikiwa hata church hukimbiliwa na vitoto vya kike wasiopungua 20 to 30 kila mmoja anatamani kunishika mkono nami nawapenda sana watoto wa kike kuanzia wadogo hadi wamama wazee.

Nimejaa huruma kwao tu bila sababu mkuu wangu.

Hapa jf kuna wasichana kadhaa waliwahi kunitusi pm😂😂😂 kuwa why niko na ke wengi...bila kujua yanaishiaga hapa tu jukwaani.

Wengi wameanza kunielewa kuwa ndivyo nilivyo na hakuna kilichojificha.
Samahani kwa maelezo marefu

Hii hali iliwahi kunikera mara nyingi lkn sasa naiona kawaida mkuu.

Kidimbwi mmh huwa sio mpenzi.
Nitakupeleka UPEPO GARDEN kwa gharama zangu mkuu
 
Huo
Mimi napenda kumwambia mzabzab aoe mapema kabla jogoo halijaacha kuwika.

Equation x acha starehe imezeeka bhana nenda katulie na mama yoyo waache wakina Glenn wapambane Kwa Sasa bado miili Yao inaruhusu.

Napenda kumwambia Depal akiolewa asisahau kunialika Joannah nakupendaje💕🥰🥂 Kalpana, Antonnia[,/USER] [USER=618930]Kelsea[,/USER] [USER=671666]baby success, Lenie, Darleen, Darlin, bila kumsahau Lee
Merry Xmass and Happy New Year.
Ngalikihinja acha kusema ovyo wadada tunakerekwaga nyie na mzabzab .Mnamaneno makali.

Criston Cole unaongea English sana jaribu kuongea kiswahili hatukuelewi
Muda wa kuchunguza ID zawatu unatoa wapi, great thinker tunasoma tu hatuangalii Nani kapost
 
Namwambia kibungo wangu kuwa Nampenda 😂
Dada angu mkwe kabisa
Mdudu mwenyewe 🤣
Wakishua kabisa ‘the real boss Lady
Dada mwenye anasukuma Prado lake la mabati 😂😂

Aririiiiii
Nakupenda we na kaka ako🥰💃 Lenie
Nakupenda pia mdogo angu mkwe🥰
Me na kaka angu tunakupenda to the moon n back😘

Mbona la mabati🤣🤣
Tena ngoja nimwambie kaka etu atupeleke mtoko sijui wapi, em chagua kwanza

Sema upunguze ukorofi, kaka hapendi anahitaji utulivu😂
 
Back
Top Bottom