Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mimi naomba kimwambia Bujibuji Simba Nyamaume kwamba asitumie pesa vibaya January inakuja na bi mwakatozo bado amekomaa hali haitobadilika maana tumeingia kwenye uchumi wa mikopo
Ushauri mzuri sana huu. Wacha niufanyie scanning, kisha niuwekee lamination niweke sebuleni, nikiingia tu ndani uwe unanisuta, kama nina laki basi nitoke na buku tu.
 
Mimi napenda kumwambia mzabzab aoe mapema kabla jogoo halijaacha kuwika.

Equation x acha starehe imezeeka bhana nenda katulie na mama yoyo waache wakina Glenn wapambane Kwa Sasa bado miili Yao inaruhusu.

Napenda kumwambia Depal akiolewa asisahau kunialika Joannah nakupendaje💕🥰🥂 Kalpana, Antonnia[,/USER] [USER=618930]Kelsea[,/USER] [USER=671666]baby success, Lenie, Darleen, Darlin, bila kumsahau Lee
Merry Xmass and Happy New Year.
Ngalikihinja acha kusema ovyo wadada tunakerekwaga nyie na mzabzab .Mnamaneno makali.

Criston Cole unaongea English sana jaribu kuongea kiswahili hatukuelewi
Thank you babegirl love you too!!
Mwaka ukwishe salama na uanze mwaka mpya vizuri kabisa kipenzi 😘
 
Analyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana

Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn

mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza😏

WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
Shukrani sana bibie. Heri ikawe nasi, leo na siku zote.

Kesho yetu ni Bora sana, kuliko jana.

Bless up!
 
Analyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana

Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn

mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza😏

WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
Amina, Mungu azidi kukubariki nakukupa afya njema ccy.
Uzidi kutufundishia watoto wetu na kuwaondolea ujinga.
 
Back
Top Bottom