Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Tuma na yakutolea basi, nasi tuweze kusherehekeaMerry Christmas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma na yakutolea basi, nasi tuweze kusherehekeaMerry Christmas
ya eres mi rey...It's no use, Bantu lady . I'm a king Without a kingdom. Where is the point of all adoration, The fawning, The brown-nosing?😔😩😢
Unless you'll entrust me into your kingdom
Hivi ukitaka kula ugali safi wa Mahindi si unakoboa?😂😂😂nimechanganya wa kike na kiume lazima nichague wawili mkuu
Wow thank you. 🙏Jimena namkumbuka sana , sijui yupo wapi bibie.
Depal & Demi napenda ustaarabu wenu.
Mshana Jr upo vyema kwenye sekta yako ila kuna sehemu unayumba.
Scars , OKW BOBAN SUNZU boban sunzu SIMBA SC NGUVU MOJA.
Mamndenyi & manuu nimejifunza vingi kupitia kwenu, mbararikiwe sana.
Stroke , Mudawote & cocochanel poleni sana, hii ni awamu ya sita.
Ushauri mzuri sana huu. Wacha niufanyie scanning, kisha niuwekee lamination niweke sebuleni, nikiingia tu ndani uwe unanisuta, kama nina laki basi nitoke na buku tu.Mimi naomba kimwambia Bujibuji Simba Nyamaume kwamba asitumie pesa vibaya January inakuja na bi mwakatozo bado amekomaa hali haitobadilika maana tumeingia kwenye uchumi wa mikopo
Sí, por supuesto mi rey 😍Estas seguro de que soy el único para ti
View attachment 2445114
Thank you babegirl love you too!!Mimi napenda kumwambia mzabzab aoe mapema kabla jogoo halijaacha kuwika.
Equation x acha starehe imezeeka bhana nenda katulie na mama yoyo waache wakina Glenn wapambane Kwa Sasa bado miili Yao inaruhusu.
Napenda kumwambia Depal akiolewa asisahau kunialika Joannah nakupendaje💕🥰🥂 Kalpana, Antonnia[,/USER] [USER=618930]Kelsea[,/USER] [USER=671666]baby success, Lenie, Darleen, Darlin, bila kumsahau Lee
Merry Xmass and Happy New Year.
Ngalikihinja acha kusema ovyo wadada tunakerekwaga nyie na mzabzab .Mnamaneno makali.
Criston Cole unaongea English sana jaribu kuongea kiswahili hatukuelewi
Hahahaha😜Ushauri mzuri sana huu. Wacha niufanyie scanning, kisha niuwekee lamination niweke sebuleni, nikiingia tu ndani uwe unanisuta, kama nina laki basi nitoke na buku tu.
Ushauri wako mzuri sana aise. Dawa ya kuimudu January ni kujiandaa kuanzia JanuaryHahahaha😜
Shukrani sana bibie. Heri ikawe nasi, leo na siku zote.Analyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana
Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn
mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza😏
WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
Amina, Mungu azidi kukubariki nakukupa afya njema ccy.Analyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana
Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn
mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza😏
WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
🥰🥰 shukrani mkuu, barikiwa sasa na mpaka mileleJimena namkumbuka sana , sijui yupo wapi bibie.
Depal & Demi napenda ustaarabu wenu.
Mshana Jr upo vyema kwenye sekta yako ila kuna sehemu unayumba.
Scars , OKW BOBAN SUNZU boban sunzu SIMBA SC NGUVU MOJA.
Mamndenyi & manuu nimejifunza vingi kupitia kwenu, mbararikiwe sana.
Stroke , Mudawote & cocochanel poleni sana, hii ni awamu ya sita.
Mnoo, maana ikifika january watu wanakuaga na heshima mjini, unakuta wamenywea yaani hata kama kakuzidi umri anakupa shkamooUshauri wako mzuri sana aise. Dawa ya kuimudu January ni kujiandaa kuanzia January
Shikamoo pesaMnoo, maana ikifika january watu wanakuaga na heshima mjini, unakuta wamenywea yaani hata kama kakuzidi umri anakupa shkamoo
Liwazo ndio Nini mwayaUnique Flower nakuombea mwaka huu upate liwazo.
Mbona wengi wanakupenda tu basi hapa jukwani naona Raha ukiwa unacomment basi kuchangia mada nakufagiliwa na wadadaUnique Flower unataka nini hasa kwangu sema na dunia ione...sitakuangusha ukiwa mkweli.
Sio hizo mention..😂😂
Mmmh we mtoto mbona hivyo? Unanisingizia weweMbona wengi wanakupenda tu basi hapa jukwani naona Raha ukiwa unacomment basi kuchangia mada nakufagiliwa na wadada