Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Kwa mujibu wa hiyo sentesi yako inaonyesha nimekosea kitu labda. id yako ndio naiona leo (mpya)Quièn te dino eso?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa hiyo sentesi yako inaonyesha nimekosea kitu labda. id yako ndio naiona leo (mpya)Quièn te dino eso?
Nataka kuwaambia Mods watafute kamsemo kengine badala ya haka ka "Tunachokijua"Mwisho wa mwaka unakaribia Sasa sijui ninani unataka kumwambia Nini mie nawatakia sikukuu njema wanajf wote
Id yangu imepigwa ban hii ya kuzugia.Kwa mujibu wa hiyo sentesi yako inaonyesha nimekosea kitu labda. id yako ndio naiona leo (mpya)
Mim ni rfk mkubwa Unique Flower siwez sema hyo ilopigwa banPole sana, Id yako ni ipi?? Kama hutajali kuniambia??
Kwahiyo mimi si chochote si lolote kwako? Basi acha nimwachie MunguAnalyse asante kwa thread yako ya Jana,hakika naendelea kuishi nayo
The Icebreaker asante kwa kampani yako ndani ya jf...salute kwako Kamanda.
Lovelovie asante kwa upendo wako wa waz kwa wanawake mwenzio... Hongera kwa kujaaliwa moyo usio na kutu
Demi nakuelewa cute,majibu yako kama unajiandaa na honeymoon
kolola ....uwe na afya njema mkuu...pamoja sana
Countrywide nakukubali sana mkuu,hasa pale unapojibizana na mateacher ...sijui wamekukosea nn
mzabzab pamoja sana rafiki yangu,unaenichekea meno meupe ndani unaniangamiza😏
WanaJF Mungu asiwaache kwa kila jambo mfanyalo na mlilolipanga kufanya.Nawapenda sana
HayaaUnique Flower fanya nikuoe kabla huu mwaka haujaisha jamani
To yeye Numbisa Extrovert Carleen Beesmom singanojr Joanah cocastic DeepPond Infantry Soldier Unique Flower Mshana Jr ROBERT HERIEL makaveli10 Kasie... heshima kwenu kwaniaba ya wanajamiiforums wote
😂ilikuwa ngumu kukumbuka woteKwahiyo mimi si chochote si lolote kwako? Basi acha nimwachie Mungu
To yeye or Beesmom nakukubali sana mkuuTo yeye Numbisa Extrovert Carleen Beesmom singanojr Joanah cocastic DeepPond Infantry Soldier Unique Flower Mshana Jr ROBERT HERIEL makaveli10 Kasie... heshima kwenu kwaniaba ya wanajamiiforums wote
Pamoja mkuu mpaka tamati.Shukrani doctor G
Sana sana wazeee 😄😝😂ilikuwa ngumu kukumbuka wote
Yaani hata wewe?Sana sana wazeee 😄😝
Yote kheri, mi namwachia Mungu tu. Mungu ni mtetezi wangu😂ilikuwa ngumu kukumbuka wote
Usiseme ivo bhana...sema bas unataka nn?Yote kheri, mi namwachia Mungu tu. Mungu ni mtetezi wangu