Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Heee dada tulikuringia wapi 🤣🤣🤣


Happy New year in adv
Ukawe mwaka wa Kheri dear
Afu wewe bado uneitunza bikira yako kama ulivyoniahidi. Mahari tamu kuliko bia ujue

Usisahau makubaliano yetu, bikira naikagua mwenyewe ili nipange mahari vizuri
 
Afu wewe bado uneitunza bikira yako kama ulivyoniahidi. Mahari tamu kuliko bia ujue

Usisahau makubaliano yetu, bikira naikagua mwenyewe ili nipange mahari vizuri
Darling babu
Shetani hana nafasi hapa
Bikira zote zipo 🤣🤣

Ila hapo kwenye kukagua we peke ako sijui 🤣🤣 labda uje na bibi
 
Mie nawapenda sana wanajf wote ila sintosahau kipenzi changu Joannah kipenzi changu Doctor G kama zote na pia wale madada wote wanajisikia wakiwemo Depal Lenie @sophie27
Vipenzi vyangu vingine Glenn Cillah ERoni DeepPond mzabzab kichaa wanguna handsome wangu wanguvu nmtakerekwa na wotee waliokuwa wakarimu kwangu na bila kumsahau kazee kapendwa kanarikinga Asprin Equation x ni msweety wangu
Ha haaa Asante my super friend,mzee wa kuchafua Hali ya hewa,Mimi Kama Joannah NAKUPENDA sana
 
Darling babu
Shetani hana nafasi hapa
Bikira zote zipo 🤣🤣

Ila hapo kwenye kukagua we peke ako sijui 🤣🤣 labda uje na bibi
Usijali, bibi atabaki sebuleni wakati nakukagua.
 
Carleen nakuonaga mpole kweli...hope uko ivo cute❤.... Joannah mtulivu mpaka comments zako zinajionyesha😁
cocastic I know u know that nakufuatafuata sana🙆usinidunde tu but coz I like you cute❤
X-mass njema kwenu wapendwa...ishini sana friends
 
Back
Top Bottom