Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Ikiwa hivyo nitafurahi
Kwanza sintokulike Tena Wala kucomment post Yako au kitu chako chochote humu Wala sintokutag nimekutoa kwenye watu nilikuwa nafurahia kuwatag .

Good evening
 
Nakujali japokuwa hupendi kabila langu.
Wachagga sifa zao.
Kukudidimiza , kuchukuliwa nyota,kuchukua kitovu Cha mtoto nakupeleka makabirini Kwa tambiko,na mie Kwa Hilo sirudi kwenu kabisa
 
Mwisho wa mwaka unakaribia Sasa sijui ninani unataka kumwambia Nini mie nawatakia sikukuu njema wanajf wote
Yani mie sina cha kusema sina cha kunena sina cha kuteta, zaid ya kwamba ukinizingua nakaa kimya ukizidisha nakukwangulia nazi kwa kifuniko cha Pepsi tunamalizana kiutu uzima.🥰🥰🥰🥰
Sikukuu njema pia kwako love.
 
Ma'am you're fibbing right?? Hua sikoment sana humu mbona!
Well, if you're certain I'll try to get the hang of it. For altering my modes of communication.

And thanks for noticing me
Señora estas mintiendo bien blaa blaaa blaa blaaa
Gracias por notarme🤨🤨
 
Back
Top Bottom