Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Antonnia mwanangu;
Ninaamini Mungu anakitunza vyema.
Ninakutakia baraka tele unauendea mwaka wako wa mafanikio 2023😍
 
Carleen
Wewe ni ndugu na rafiki yangu.
Hivyo ni wa kufa na kuzikana.
Nikikusea urafiki unaweza kuyumba lakini kamwe undugu wetu utabaki pale pale.

Ninakuelewa sana na hili unalijua kwa hakika.
Tunapoumaliza mwaka, ninakutakia kila lililojema kwako kipenzi changu😍😍😍
you're more than a brother to Me Glenn thank you so much for being there for Me in my thick and thin days, I am thanking God for His blessings by giving Me You, you're such a wonderful friend that i couldn't ask for more, I do Lovesh you mdudu wangu...!!😍😍
 
you're more than a brother to Me Glenn thank you so much for being there for Me in my thick and thin days, I am thanking God for His blessings by giving Me You, you're such a wonderful friend that i couldn't ask for more, I do Lovesh you mdudu wangu...!!😍😍
Oooh mdudu wangu.
Hebu rudia kwa kisukuma basi hawa waelewe?
@pallaiah
ERoni
 
you're more than a brother to Me Glenn thank you so much for being there for Me in my thick and thin days, I am thanking God for His blessings by giving Me You, you're such a wonderful friend that i couldn't ask for more, I do Lovesh you mdudu wangu...!!😍😍
Oooh mdudu wangu.
Hebu rudia kwa kisukuma basi hawa waelewe?
Pellaiah
ERoni
 
Jason Statham2 Mungu akubariki kwa moyo wako mzuri 2023 ufanikiwe zaidi na zaidi

I love u [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Waooo thanks my [emoji173] see you on Xmas night... you know the place and dressing code. The file X and plan b MUST be activated on that night.

I don’t really need anything as long I will be with you to make this Christmass beautiful for two of us...
 
Waooo thanks my [emoji173] see you on Xmas night... you know the place and dressing code. The file X and plan b MUST be activated on that night.

I don’t really need anything as long I will be with you to make this Christmass beautiful for two of us...
Waooow[emoji3590][emoji3590][emoji126][emoji126]
 
Ninawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;

1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa na hapa hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂

2. Nakadori DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower National Anthem na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
thank you mkuu
nakutakia sikukuu njema pia
ubarikiwe
 
Back
Top Bottom