Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you're more than a brother to Me Glenn thank you so much for being there for Me in my thick and thin days, I am thanking God for His blessings by giving Me You, you're such a wonderful friend that i couldn't ask for more, I do Lovesh you mdudu wangu...!!😍😍Carleen
Wewe ni ndugu na rafiki yangu.
Hivyo ni wa kufa na kuzikana.
Nikikusea urafiki unaweza kuyumba lakini kamwe undugu wetu utabaki pale pale.
Ninakuelewa sana na hili unalijua kwa hakika.
Tunapoumaliza mwaka, ninakutakia kila lililojema kwako kipenzi changu😍😍😍
kelphin Upone bwana Xmass tukazurure. Mshkaji wangu wa ukweli nakupenda mno. Mengine nitakueleza pm[emoji179][emoji179][emoji179]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji179][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Asante sana Kelsea mtu wangu wa nguvu [emoji120][emoji120][emoji120] penda sana wewe cha upole my decent girl
May God bless you with good health and long life
Oooh mdudu wangu.you're more than a brother to Me Glenn thank you so much for being there for Me in my thick and thin days, I am thanking God for His blessings by giving Me You, you're such a wonderful friend that i couldn't ask for more, I do Lovesh you mdudu wangu...!!😍😍
[emoji7] shukrani sana rafiki, nawe pia ukawe na sikukuu njema barikiwa sana.Haya niepende kuwatakia sikukuu njema wafuatao
Bill Lugano
mpwayungu village
Mshana Jr
rikiboy
GENTAMYCIME
inamankusweke
Extrovert
To yeye
Beesmom
Lucas mwashambwa
Kelsea
Bujibuji Simba Nyamaume
Mamndenyi
wa stendi
[emoji1787][emoji1787] panapo majaaliwa , tuombeane uzima.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] 2023 uolewe wewe. Sio mnakulana kiushikaji tuu
Oooh mdudu wangu.you're more than a brother to Me Glenn thank you so much for being there for Me in my thick and thin days, I am thanking God for His blessings by giving Me You, you're such a wonderful friend that i couldn't ask for more, I do Lovesh you mdudu wangu...!!😍😍
Totoo hulali?😅[emoji7] shukrani sana rafiki, nawe pia ukawe na sikukuu njema barikiwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
I am hereBaba Swalehe i hope uko poa my dear, sijakuona kitambo humu ndani.
Happy to see you baba bulubendi. Msalimie Swalehe.I am here
Mdudu🤣🤣🤣🤣
Tamka jina langu vizuri we mmakonde!!!!!
Waooo thanks my [emoji173] see you on Xmas night... you know the place and dressing code. The file X and plan b MUST be activated on that night.Jason Statham2 Mungu akubariki kwa moyo wako mzuri 2023 ufanikiwe zaidi na zaidi
I love u [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Kenge majee wewe🤣Mdudu🤣🤣🤣🤣
Kunguni, mende, sisimizi.....
Waooow[emoji3590][emoji3590][emoji126][emoji126]Waooo thanks my [emoji173] see you on Xmas night... you know the place and dressing code. The file X and plan b MUST be activated on that night.
I don’t really need anything as long I will be with you to make this Christmass beautiful for two of us...
Shukrani sana kaka. 2023 Mungu akutangulie na kuyapa maono yako nguvu ya kutimia.National Anthem
Kila la heri kwako mkuu wangu
thank you mkuuNinawatakia heri na baraka wana chitchat wote.
Mungu awabariki sana na naomba niwataje wachache ambao tumekua tukitaniana hapa na pale;
1. Kamanda ERoni Ninakukubali sana bro.
Yapata miaka 6 sasa tukitaniana hapa na hapa hasa kale ka utani ketu ka hapa na pale juu ya wale viumbe😂
2. Nakadori DeepPond , mzabzab
sophy27 Clarra Antonnia
To yeye Kalpana Rumaiya Depal Lenie Tinsley cocastic goroko77 Evelyn Salt Unique Flower National Anthem na wengine
wengi...ninawatakia kila la heri mnapoumaliza mwaka
Nashukuru kwa kunikumbuka. Una account ya Bank ambayo naweza tuma pesa nikiwa huku Argentina? Angalau tu Usd kadhaa ukaenjoy nawe sikukuu.Haya niepende kuwatakia sikukuu njema wafuatao
Bill Lugano
mpwayungu village
Mshana Jr
rikiboy
GENTAMYCIME
inamankusweke
Extrovert
To yeye
Beesmom
Lucas mwashambwa
Kelsea
Bujibuji Simba Nyamaume
Mamndenyi
wa stendi
We falla huwa unanifurahisha sana🤣🤣🤣Nashukuru kwa kunikumbuka. Una account ya Bank ambayo naweza tuma pesa nikiwa huku Argentina? Angalau tu Usd kadhaa ukaenjoy nawe sikukuu.