Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeoa ??
Usijali lishangazi langu kipenzi...😋Tafuta ile inshu bhna
Duh.
Bado napuyanga mkuu. Vipi jimbo liko wazi nini? [emoji28]Wewe umeoa ??
mwaka unakaribia kuisha MUNGU azidi kutupa afya njema mkuuDuh.
Eh lipo wazi ila utaniweza mie chinene kama unaweza basi umepata jiko ila naogopa kupigwa na wadada minoti
Chukua maji weka magadi....simama mlango wa jikoni alfajiri....tweka maji kwa ungo....Ewe Binti Maua Unique Flower nime kukosea nini 🤔🤒🤒.
👉Niko single Mwaka wa 20 huu🤒,
Hahaaaa...Napenda kukualika chumbani ukanioneshe Mungu yupo tukiwa wawili peke yetu.
Bado eti 😥😥
Mimi napenda kumwambia Intelligent businessman aoe mke wapili ache michepuko ili tumuone next year, pili na mwambia National Anthem aoe usingle 2024 hautajiki au tunakuuza ukawe mtumwa huko kwa waarabu , Lovelovie I miss you umepotea jamani babe wangu,Joannah my dear upo?? Pridah outing mama nilini na wapi?? mshamba_hachekwi kasome mdogo wangu uwe nakazi nzuri baadae . Cute Wife nakuombea upate madanga yenye faida sio hasara
Sawasawa 😃😂😂Unamjua
Wahenga huwa wanapenda kuaga, wana roho flni za kinabiiNipo my wangu Ua la kipekee,,,mbona unaanza kuuaga mwaka mapema hivi,vipi huu mwaka umekufanyaje 😁😁😁?
Vipi lakini bestie unaendeleajeUmbea tu🤒😁, hamna kitu😁🤒
Yani we acha tu😂😂😂🙌Jirani nishakuambukiza umbea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lets talk missBado eti 😥😥