Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole umekaribisha mikosi karibu😬Majanga, nime ingia kwenye chama Cha kausha Moyo😁😁🤒
tuko katikati ya mwakaMimi napenda kumwambia Intelligent businessman aoe mke wapili ache michepuko ili tumuone next year, pili na mwambia National Anthem aoe usingle 2024 hautajiki au tunakuuza ukawe mtumwa huko kwa waarabu , Lovelovie I miss you umepotea jamani babe wangu,Joannah my dear upo?? Pridah outing mama nilini na wapi?? mshamba_hachekwi kasome mdogo wangu uwe nakazi nzuri baadae . Cute Wife nakuombea upate madanga yenye faida sio hasara
Huu nimwezi wa 8 bado 4 months katikati ni 6 monthtuko katikati ya mwaka
Hiki kikundi nakijua ila sio wote ila mmoja ndio alilizwa akatoa postHuyo mtunza fedha wao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namwambia jamaa.yako insider aachwe kubembelezwa na story yake uchwaraMimi napenda kumwambia Intelligent businessman aoe mke wapili ache michepuko ili tumuone next year, pili na mwambia National Anthem aoe usingle 2024 hautajiki au tunakuuza ukawe mtumwa huko kwa waarabu , Lovelovie I miss you umepotea jamani babe wangu,Joannah my dear upo?? Pridah outing mama nilini na wapi?? mshamba_hachekwi kasome mdogo wangu uwe nakazi nzuri baadae . Cute Wife nakuombea upate madanga yenye faida sio hasara
Sio wangu huyo anamke wakeNamwambia jamaa.yako insider aachwe kubembelezwa na story yake uchwara
Hiki kikundi nakijua ila sio wote ila mmoja ndio alilizwa akatoa post
Nani huyo jamani...eti kipenzi 😌🤔Hiki kikundi nakijua ila sio wote ila mmoja ndio alilizwa akatoa post
🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah wana dai hao😁🤒, soon naomba u house boy kwako😁Pole umekaribisha mikosi karibu😬
mshamba_hachekwi njoo umuone katibu mwenezi wako😁🤒😁Napenda kukualika chumbani ukanioneshe Mungu yupo tukiwa wawili peke yetu.
Umbea tu🤒😁, hamna kitu😁🤒
Hamna kitu hapo😁🤒🏃🏃[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli??
Uchawi huo🤒😁😁Hiki kikundi nakijua ila sio wote ila mmoja ndio alilizwa akatoa post
mshamba_hachekwi ndiye mwenye mwali?mshamba_hachekwi njoo umuone katibu mwenezi wako😁🤒😁
mshamba_hachekwi ni atheteist pia🤒mshamba_hachekwi ndiye mwenye mwali?
Naamini kwa Moyo mmoja.Mkuu,
Wewe unaamini huyu Mungu yupo kweli?