Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Wewe huamini km Mungu yupo unaishi sayari gani wewe cha mtumavi au?Mkuu,
Wewe unaamini huyu Mungu yupo kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huamini km Mungu yupo unaishi sayari gani wewe cha mtumavi au?Mkuu,
Wewe unaamini huyu Mungu yupo kweli?
Nasikia Unique Flower ameolewaNaamini kwa Moyo mmoja.
Nani??Nasikia Unique Flower ameolewa
Upi huoUchawi huo🤒😁😁
UnamjuaNani huyo jamani...eti kipenzi 😌🤔
Naota au nimepatia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli??
Na yule jamaa yako mlikua mnampiga spana GENTAMYCINE janaNani??
Kuamini ni haki yako ya kikatiba, lakini unajuaje unachoamini ni kweli, kwamba yupo kweli, na si imani ya kufuata mapokeo tu?Naamini kwa Moyo mmoja.
Aisee umetumwa na huyo shetani eh niache bhana leo sina nguvuNa yule jamaa yako mlikua mnampiga spana GENTAMYCINE jana
Umechoka wapiAisee umetumwa na huyo shetani eh niache bhana leo sina nguvu
Nimekuja chumbani, unaweza niambia nini kilifanya usiamini uwepo wa MunguNapenda kukualika chumbani ukanioneshe Mungu yupo tukiwa wawili peke yetu.
Hivi hujui kuwa kilaza kama wewe huwezi nitisha maana najua huna slef confidence yeyote maana sura huna una ngumuUmechoka wapi
Lipa deni kwanza 😁😁Dah wana dai hao😁🤒, soon naomba u house boy kwako😁
Chumbani mi nataka kuzima taa tuongee kwa sauti za chini, wewe unaleta habari hizi tena?Nimekuja chumbani, unaweza niambia nini kilifanya usiamini uwepo wa Mungu
Wewe una niniHivi hujui kuwa kilaza kama wewe huwezi nitisha maana najua huna slef confidence yeyote maana sura huna una ngumu
Hiki Nini?Habari ya kuwepo Mungu, hususan mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ukiilinganisha na ulimwengu huu unaoweza kuwa na mabaya mengi, ina contradiction.
Naomba upitie hii Epicurean Paradox, halafu upitie Part IV page 276 ya "The Problem of Evil" katika hiki kitabu "Philosophy of Religion: An Anthology", halafu tuchambue.
View attachment 2711158
Naota au nimepatia
Unakumbuka Intelligent businessman alimuambia mshamba_hachekwi walikuwa wanaongea kurekebishiwa gari zao ukamwambia Intelligent businessman kuwa ni laki 4 kutengenezea hivyoo , akasemaje?? Hiyo ni bei kubwa anafamilia changa ?? Ila kwa sasa anakana kuwa hajasema naomba tu ukweliNipo hapa nielekeze
Nataka nukuoe wewe.. na wewe unakazaaa ile mbayaMimi napenda kumwambia Intelligent businessman aoe mke wapili ache michepuko ili tumuone next year, pili na mwambia National Anthem aoe usingle 2024 hautajiki au tunakuuza ukawe mtumwa huko kwa waarabu , Lovelovie I miss you umepotea jamani babe wangu,Joannah my dear upo?? Pridah outing mama nilini na wapi?? mshamba_hachekwi kasome mdogo wangu uwe nakazi nzuri baadae . Cute Wife nakuombea upate madanga yenye faida sio hasara