Mwaka unakaribia kuisha unamwambia nani nini?

Mwaka unakaribia kuisha unamwambia nani nini?

Nimekuja chumbani, unaweza niambia nini kilifanya usiamini uwepo wa Mungu
Chumbani mi nataka kuzima taa tuongee kwa sauti za chini, wewe unaleta habari hizi tena?

Ndiyo tunanza habari za kuleta vitabu vya falsafa kitandani tena?

Hayaa.

Habari ya kuwepo Mungu, hususan mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ukiilinganisha na ulimwengu huu unaoweza kuwa na mabaya mengi, ina contradiction.

Naomba upitie hii Epicurean Paradox, halafu upitie Part IV page 276 ya "The Problem of Evil" katika hiki kitabu "Philosophy of Religion: An Anthology", nime attach PDF, halafu tuchambue.

epicurean_paradox.jpg
 

Attachments

Habari ya kuwepo Mungu, hususan mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ukiilinganisha na ulimwengu huu unaoweza kuwa na mabaya mengi, ina contradiction.

Naomba upitie hii Epicurean Paradox, halafu upitie Part IV page 276 ya "The Problem of Evil" katika hiki kitabu "Philosophy of Religion: An Anthology", halafu tuchambue.

View attachment 2711158
Hiki Nini?
 
Mimi napenda kumwambia Intelligent businessman aoe mke wapili ache michepuko ili tumuone next year, pili na mwambia National Anthem aoe usingle 2024 hautajiki au tunakuuza ukawe mtumwa huko kwa waarabu , Lovelovie I miss you umepotea jamani babe wangu,Joannah my dear upo?? Pridah outing mama nilini na wapi?? mshamba_hachekwi kasome mdogo wangu uwe nakazi nzuri baadae . Cute Wife nakuombea upate madanga yenye faida sio hasara
Nataka nukuoe wewe.. na wewe unakazaaa ile mbaya
 
Back
Top Bottom