Mwaka unakaribia kuisha unamwambia nani nini?

Unanichongea tena [emoji87][emoji2296][emoji2296][emoji2296]

Hamna mimi nataka muoane niwe nakuja kuwasalimia nitanue mbavu kwa kucheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Maua ko watu wa mbeya hawaogi wanapiga passport size?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

mshamba_hachekwi uko Mbeya kumbe hamuogi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hasira yote hii Kwangu kwakuwa nilizibua bila dhana Maliwato yako tukuka au? Pole sana.
 
Hasira yote hii Kwangu kwakuwa nilizibua bila dhana Maliwato yako tukuka au? Pole sana.
Wapi ukija kwangu utazimia huwezi hujawahi , walio wahi hawana mdomo wameshiba wewe ni kimeo tu umeshadata na kwenye file letu hunakichaa kidogo unakichaa kikubwa sura yako inaonyesha tu hata ulivyoletwa hospitalini ulikuwa unaonyesha wewe hamnazo so ongea sana hapa ila kaa ujue wewe dishi limedondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…