Tetesi: Mwaka wa 4 watumishi wa umma bila nyongeza ya mshahara

Tetesi: Mwaka wa 4 watumishi wa umma bila nyongeza ya mshahara

Watumishi wa umma wanaingia mwaka wa nne bilabila kavkav hivi hiki walichofanyiwa watumishi wa umma wangefanyiwa jw au policcm hali ingekuwa hivihivi?

funzo: mwambie mapema mwanao aliyefomu wani aachane na kazi kama za ualimu ni kazi za kipumbavu mwalimu anaweza kufokewa na diwani au mtendaji Kata lakini mtendaji Kata hawezi kumfokea jw ndio maana hata wanaogawa keki ya taifa wanaamua mwalimu anyimwe jw apewe!!
Lakini watumishi wenyewe they do not bother, yapo yapo tu kama matutusa!
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kandamizwa.
Hujuma yoyote itamuathiri mwananchi wa kawaida.Wanaofanya maamuzi hayo wala hawataguswa hata kidogo
 
Watumishi wa umma wanaingia mwaka wa nne bilabila kavkav hivi hiki walichofanyiwa watumishi wa umma wangefanyiwa jw au policcm hali ingekuwa hivihivi?

funzo: mwambie mapema mwanao aliyefomu wani aachane na kazi kama za ualimu ni kazi za kipumbavu mwalimu anaweza kufokewa na diwani au mtendaji Kata lakini mtendaji Kata hawezi kumfokea jw ndio maana hata wanaogawa keki ya taifa wanaamua mwalimu anyimwe jw apewe!!
Hivi kumbe Utumishi wa umma ni ualimu tu? Au mtoa mada sijakuelewa vizuri? Mbona kuna kada nyingi sana nchi hii zinazohusiana na utumishi wa umma au hauelewi maana ya utumishi wa umma? Nakushauri badilisha title ya post yako kwa kuwa inawahusu Walimu tu ijapokuwa watumishi wa umma wote hakuna aliyeongezewa mshahara wala kupanda madaraja.
Pia ufahamu ya kwamba wapo watumishi wa umma nchi hii wenye mshahara mdogo sana kuwazidi hao walimu.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kandamizwa.
Huu usemi umejirudiarudia sana humu[emoji848][emoji848]
 
Mimi nazan tuondoe dhana ya kusubir kuajiriwa na Serikali,elimu yetu tunayoipa shuleni,vyuoni tuitumie kujiajiri, kusubir nyongeza ya mshahara hadi mtu 1 kati ya mil 55,alale vzr au ashauriwe na mke wake ndo aongeze ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu Sana.
 
Watumishi wa umma wanaingia mwaka wa nne bilabila kavkav hivi hiki walichofanyiwa watumishi wa umma wangefanyiwa jw au policcm hali ingekuwa hivihivi?

funzo: mwambie mapema mwanao aliyefomu wani aachane na kazi kama za ualimu ni kazi za kipumbavu mwalimu anaweza kufokewa na diwani au mtendaji Kata lakini mtendaji Kata hawezi kumfokea jw ndio maana hata wanaogawa keki ya taifa wanaamua mwalimu anyimwe jw apewe!!
Kwani mkuu hao policcm na jw waliongezewa? mbona nawaona nao wamechoka kama sisi.
 
wanasiasa hawalioni hilo nawashauri waalimu shawishini watoto wenu wajiunge na jwtz baada ya elimu zao huko Hakuna pua ya mwanasiasa inayosogea hata diwani atakuamkia shkamoo
JWTZ wanahitaji watu wangapi na vijana Tanzania hii wapo wangapi?
 
Kama uliotoa huu Uzi huu no mwl. Utakuwa n mwl WA ovyo sana kazi ya ualimu inaubaya gani???mshahara UPI unatosha?? Unazijua KERO wanazopata haoJW?,madaktari,Polisi nk??Mwl ndio Mtumishi pekee mwenye likizo zaidi ya NNE ktk mwaka. Walimu ambao wanaojitambua ndio matajiri wakubwa sana huko vijijini

NB ushauri ili usilielie tena humu ndani
Tafuta mladi ufanye
Fuga Kuku,
Lima sana,
Jenga nyumba za kupangisha,
Nunua gari uwe Taxify nk
 
Watumishi wa umma wanaingia mwaka wa nne bilabila kavkav hivi hiki walichofanyiwa watumishi wa umma wangefanyiwa jw au policcm hali ingekuwa hivihivi?

funzo: mwambie mapema mwanao aliyefomu wani aachane na kazi kama za ualimu ni kazi za kipumbavu mwalimu anaweza kufokewa na diwani au mtendaji Kata lakini mtendaji Kata hawezi kumfokea jw ndio maana hata wanaogawa keki ya taifa wanaamua mwalimu anyimwe jw apewe!!
Halafu Pombe anasema pesa ninazo. Maana ni zake.
 
Kama uliotoa huu Uzi huu no mwl. Utakuwa n mwl WA ovyo sana kazi ya ualimu inaubaya gani???mshahara UPI unatosha?? Unazijua KERO wanazopata haoJW?,madaktari,Polisi nk??Mwl ndio Mtumishi pekee mwenye likizo zaidi ya NNE ktk mwaka. Walimu ambao wanaojitambua ndio matajiri wakubwa sana huko vijijini

NB ushauri ili usilielie tena humu ndani
Tafuta mladi ufanye
Fuga Kuku,
Lima sana,
Jenga nyumba za kupangisha,
Nunua gari uwe Taxify nk
Kumbe una tena hii ID yako. umechukua ya gazeti lako na jina lako. ile nyingine huitumii tena humu JF?
 
Kama uliotoa huu Uzi huu no mwl. Utakuwa n mwl WA ovyo sana kazi ya ualimu inaubaya gani???mshahara UPI unatosha?? Unazijua KERO wanazopata haoJW?,madaktari,Polisi nk??Mwl ndio Mtumishi pekee mwenye likizo zaidi ya NNE ktk mwaka. Walimu ambao wanaojitambua ndio matajiri wakubwa sana huko vijijini

NB ushauri ili usilielie tena humu ndani
Tafuta mladi ufanye
Fuga Kuku,
Lima sana,
Jenga nyumba za kupangisha,
Nunua gari uwe Taxify nk
Ushauri mzuri sana. Kama aanzishe kijarida chake kiwe kinaandika mambo ya nchi yetu kama kile cha TANZANITE cha MUSIBA.
Nje ya mada nime m miss sana mwanajf anayejiita Mgambilwa ni mntu hivi yupo kweli.
 
Mimi nazan tuondoe dhana ya kusubir kuajiriwa na Serikali,elimu yetu tunayoipa shuleni,vyuoni tuitumie kujiajiri, kusubir nyongeza ya mshahara hadi mtu 1 kati ya mil 55,alale vzr au ashauriwe na mke wake ndo aongeze ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu Sana.
Kujiajiri sio kwamba vijana hawapendi Ila sema Sasa wengi wao hawana sehemu pa kupata mtaji utakao wawezesha kujiajiri na hali hii upelekea kusubiria kuajiriwa
 
Sema mtoa mada umelenga walimu tu na sio watumishi wa umma
 
Back
Top Bottom