Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kila mtumishi akae sehemu anayotaka hapo ndio wataweza kujiajiri, ila kutwa kuhamishwa hayo mazingira wanayasoma mda gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko hivi:Wataalam wa uchumi waje watuambie kama inawezekana kila mtu kujiajiri, uchumi utakua sawa kweli?
Nataka kujua
Doh..Kuna mwaka nilijipanga kununua flat screen mpya ya nyumbani. Nikaingia mtandaoni na kuongea na muuza mali kwa njia ya simu. Akanielekeza mpaka dukani nikafika. Nikapokelewa na kijana wa kiarabu nahisi alikuwa O level. Kilikuwa kipindi cha likizo za shule. Akanipeleka kwenye sectiona ya flat screen kwenye duka na kunipa kila sifa ya TV iliokuwa mbele ya macho yangu. Mimi nilikuwa na ingia google na kuandika model namba ya TV na specs zake zipo kama dogo alivyosema. Nilikuwa na budget ya 1M, ila dogo kanishawishi kununua TV ya 1.5 M yenyewe warranty ya miaka 2. Kaniitia mtu wa usafiri na bei kambana na kumshusha. Mali ilifika salama na haijapata tatizo lolote huu mwaka ushapita. Baada ya siku kadhaa ya kununua ile TV, nilipigiwa simu na yule dogo na aliniulizia ufanisi ya TV.
Wenzetu biashara wana wazoesha watoto wao tangia mashuleni. Wakati sisi waswahili kipindi cha likizo tukienda tuisheni mchikichini ili kupanga mabanda mitihani ya taifa. Waswahili tukimaliza vyuoni ndo tuna tembeza CVs na mavyeti.
Na bado hatujashtuka!
Elimu tunayoipata ndio inatufanya tuwaze hivyo, haitufanyi kujiamini na kufanya maamuzi magumu ya kufanya vitu tofauti tofauti katika uwekezaji wa viwanda pamoja na kujiajiri.Wote tukijiajiri nani ataajiriwa?
Nilijua lazima cheap labour waje kwa kishindo; kujiajiri ni zaidi ya kupata pesa tu; ndio maana nasema inawezekana namna tunavyowaza inaweza kusababishwa na namna tulivyozaliwa au elimu tunazozipata duniani ndio zinazotuathiri.Wee fala nini unajua utamu wa kuajiriwa tena serikalini..?
No pressure full job security na uhakika wa mshahara na allowance za hapa na pale...
Kujiajiri ni kipaji kama ilivyo football au mziki
Inategemea na malengo ulionayo; pia kuhamishwa ni sehemu ya kupata mtaji pia.Kila mtumishi akae sehemu anayotaka hapo ndio wataweza kujiajiri, ila kutwa kuhamishwa hayo mazingira wanayasoma mda gani
Hakuna kinachoweza kufanyika kwa sababu uchumi hautaki kila mtu amiliki biasharaNini kifanyike?
Na hicho ndio kinachofanya kuajiriwa kuonekane rahisi kuliko kujiajiriHio si sawa na kutumwatumwa na boss wako. Tena wengine ndio kabisa no reasoning you do what the boss or your senior asked you to do.
Kabisa kuajiriwa ni rahisi. Wewe unasubiri mshahara tu mwisho wa mwezi hujali kama kuna hasara au faida.Na hicho ndio kinachofanya kuajiriwa kuonekane rahisi kuliko kujiajiri
Na hawa wanaomiliki biashara, walikuwa wanawaza hivi kweli?Hakuna kinachoweza kufanyika kwa sababu uchumi hautaki kila mtu amiliki biashara
No, hii concept ya kutumwatumwa ni kama ilichukuliwa ni tatizo, anyway haya mambo ya kuajiriwa na kujiajiri naona kama huwa yanaongelewa kinadharia sana kuliko kiuhalisiaKabisa kuajiriwa ni rahisi. Wewe unasubiri mshahara tu mwisho wa mwezi hujali kama kuna hasara au faida.
Hivi mada ilikuwa kipi ni rahisi kati ya kuajiriwa na kujiajiri? Sikujua hilo.
Binadamu wote hawawezi kuwaza sawaNa hawa wanaomiliki biashara, walikuwa wanawaza hivi kweli?
Mtaji upi ? Wakatu stahiki hupati mda mwingineInategemea na malengo ulionayo; pia kuhamishwa ni sehemu ya kupata mtaji pia.
Wapo wanaonyakua hadi milioni 30, lakini unakuta wameajiriwa mpaka kufa.Mtaji upi ? Wakatu stahiki hupati mda mwingine
Anyway kila mtu anafanya kile anachoona kinamnufaisha.No, hii concept ya kutumwatumwa ni kama ilichukuliwa ni tatizo, anyway haya mambo ya kuajiriwa na kujiajiri naona kama huwa yanaongelewa kinadharia sana kuliko kiuhalisia
Ki vipi mkuu?Kuna mtu anaruka na walimu😅
Kwa sisi waTz weusi hawa ni 99%Kuna watu wanajiajiri kwenye vitu wakifa na vyenyewe vinakufa.
Also hawana sustainability plans
Hili nalo ni tatizo, lakini wakiwa na misingi mizuri, kizazi mpaka kizazi kitakuwa kwenye hiyo shughuli alioianzishaKuna watu wanajiajiri kwenye vitu wakifa na vyenyewe vinakufa.
Also hawana sustainability plans