OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ifungienu na team yenyewe mbaki na Simba yenu mfurahiHili pigo kwa timu Yangu miaka mitano ni mingi sanaView attachment 1741020
Tanzania ina Simba tuIfungienu na team yenyewe mbaki na Simba yenu mfurahi
Ndio maana kaadhibiwa yeye binafsi na sio timu kabla ya hapo aliwahi kuropoka kuwa wanamsajili Chama huku wakijua kabisa bado ana mkataba SimbaWamewezaje kutenganisha kauli za kiongozi wa timu na kauli zake yeye binafsi?
Alijituma, hakutumwa na timu? Timu iliwahi kukanusha hayo malalamiko kwamba haihusiani nayo?
M 7,000??? Ndio Nn Hii??Yaani anafaini ya jumla mil 7,000 pamoja na kufungiwa miaka mitano
Aliambiwa baada ya Press Conference kuwa TFF wananoa Panga
Mwifwa
Ndio maana kaadhibiwa yeye binafsi na sio timu kabla ya hapo aliwahi kuropoka kuwa wanamsajili Chama huku wakijua kabisa bado ana mkataba Simba
Afadhali...Alikuwa anachonga sana huyu mambo ya ajabu ajabu na ya kuzushazusha kuhusu SimbaHili pigo kwa timu Yangu miaka mitano ni mingi sanaView attachment 1741020
Afadhali...Alikuwa anachonga sana huyu mambo ya ajabu ajabu na ya kuzushazusha kuhusu Simba