Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Salaaam Wana JF
Kutoka kwa kiongozi mmoja m,bobezi wa soka mwakalebela akiojiwa na media fulani amekiri kuwa Kama Simba ( kolo) ingecheza na Zalan Basi wangeambulia kichapo heavyweight
Sababu mechi za yanga zinaamuliwa na quality players ambao ndugu zetu simba hawana ......wanawachezaji wa kuunga unga Kama kina BOCCO, kibu, mzunguuuuuu etc.
Je unadhani kiongozi huyu yupo sahihi.....kwenu studio??
Kutoka kwa kiongozi mmoja m,bobezi wa soka mwakalebela akiojiwa na media fulani amekiri kuwa Kama Simba ( kolo) ingecheza na Zalan Basi wangeambulia kichapo heavyweight
Sababu mechi za yanga zinaamuliwa na quality players ambao ndugu zetu simba hawana ......wanawachezaji wa kuunga unga Kama kina BOCCO, kibu, mzunguuuuuu etc.
Je unadhani kiongozi huyu yupo sahihi.....kwenu studio??