Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
... wameiva ila hawajaambulia kitu. Walioenda Uturuki hawajaiva ila wamebeba Ngao, sasa sijui wakiiva itakuwaje. Tusipangiane matumizi! 🤣🤣🤣Waliobaki hapa Dar ndio wameonekana wameiva.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... wameiva ila hawajaambulia kitu. Walioenda Uturuki hawajaiva ila wamebeba Ngao, sasa sijui wakiiva itakuwaje. Tusipangiane matumizi! 🤣🤣🤣Waliobaki hapa Dar ndio wameonekana wameiva.
Mada umeielewa?FA mwaka juzi mlichukuwa mbele ya coastal tena kwa penalt sio halali?
Kinachokuuma ni simba kwenda uturuki na kuchukua ngao ya jamii huku dogo ally salim akifuta tuta tatuMada umeielewa?
Uelewa wako ni below averageKinachokuuma ni simba kwenda uturuki na kuchukua ngao ya jamii huku dogo ally salim akifuta tuta tatu
Hawajazuiwa kwenda tena Uturuki. Ila sioni rationale ya kwenda hukoHaiwezekani kumlazimisha kila MTU any we gongo,eti kwa sababu wewe unainywa na inakulewesha,hivyo aache kunywa pombe iuzwayo kwa gharama kubwa! Pia, kuna watoto wanasoma shule za kata, wanafanya vizuri kwenye masomo yao,kuliko wasomao shule za kulipia,tena kwa gharama kubwa! Kwa sababu hiyo,mzazi hawezi kushawishika kumtoa huko,na kumpeleka shule ya kata!
Hiyo ni roho ya kimasikini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapenda kujizima dataBado hamjasema [emoji23]
jipe moyo
Muwe mnaenda shule kuelimika sio kwaajili ya kufaulu mtihani wa kinjikitile ngwale alizaliwa mwaka gan...naona kama simba kwenda uturuki imeleta kawivu fln kwa wanayanga washamba kama wewe.Kila mtu ameona. Ni kama hawakwenda preseason. Waliobaki hapa Dar ndio wameonekana wameiva.
Ushamba na makelele ya Uturuki na Tunisia kwisha! Usifanye mchezo na dk. 180 (mechi 2) bila goli.
Huwa nafuatilia michango yako humu.UKIONA wachezaji WANACHEZA vibaya ujue Kambi imekolea kweli KWELI.
Baada ya week kadhaa watarudi kwenye viwango vyao.
Miili itarelax watatisha mno
Haya kachomoe huo mwiko huko nyumaUelewa wako ni below average
Unajificha kwenye kichaka cha matusi. Lazima uliugua sana utotoniUJINGA ni KIPAJI.
Baada ya kuuliza update UFAHAMU.
Kisayansi
Unadumisha UJINGA NA UPUMBAFU.
AMA KWELI TANZANIA MASIKINI.
Fupisha andiko basiMuwe mnaenda shule kuelimika sio kwaajili ya kufaulu mtihani wa kinjikitile ngwale alizaliwa mwaka gan...naona kama simba kwenda uturuki imeleta kawivu fln kwa wanayanga washamba kama wewe.
Pre season ni kwaajili ya kurudisha utimamu wa mwili wa wachezaji kabla ya msimu kuanza...kwa asilimia kubwa huwa ni kambi kuna wachezaji pre season wanatumia muda kukaa na familia zao kula na kuenjoy hagusi mazoezi na wengn huongezek kilo n.k..
Nikuulize ni timu ngapi za uingereza zilienda pre season marekani nadhan jibu unalo karbia timu10 za england pekee ziliweka kambi kule je,unafikiri timu zote zitakuwa bingwa na kucheza vzr instantly kama uwazavyo wewe...
ACHA WIVU MZEE Na MUNGU SIO BABU YENU MNGESHINDA NA MLIVOKAZA CJUI INGEKUWAJE Zile zilikuwa mechi 2 za kuwa bingwa tu ni mechi za mbinu
Hongera zao, kushinda ubingwa bila goli la dk 90Cha muhimu Simba kachukua ubingwa mengine ni porojo z
poleHaya kachomoe huo mwiko huko nyuma
Mungu kaingiaje humuMuwe mnaenda shule kuelimika sio kwaajili ya kufaulu mtihani wa kinjikitile ngwale alizaliwa mwaka gan...naona kama simba kwenda uturuki imeleta kawivu fln kwa wanayanga washamba kama wewe.
Pre season ni kwaajili ya kurudisha utimamu wa mwili wa wachezaji kabla ya msimu kuanza...kwa asilimia kubwa huwa ni kambi kuna wachezaji pre season wanatumia muda kukaa na familia zao kula na kuenjoy hagusi mazoezi na wengn huongezek kilo n.k..
Nikuulize ni timu ngapi za uingereza zilienda pre season marekani nadhan jibu unalo karbia timu10 za england pekee ziliweka kambi kule je,unafikiri timu zote zitakuwa bingwa na kucheza vzr instantly kama uwazavyo wewe...
ACHA WIVU MZEE Na MUNGU SIO BABU YENU MNGESHINDA NA MLIVOKAZA CJUI INGEKUWAJE Zile zilikuwa mechi 2 za kuwa bingwa tu ni mechi za mbinu
Hiyo sports tourismKila mtu ameona. Ni kama hawakwenda preseason. Waliobaki hapa Dar ndio wameonekana wameiva.
Ushamba na makelele ya Uturuki na Tunisia kwisha! Usifanye mchezo na dk. 180 (mechi 2) bila goli.