Mwakani hatutasikia kelele za kambi Tunisia wala Uturuki

Mwakani hatutasikia kelele za kambi Tunisia wala Uturuki

Amini nakwambia, hata wenye fedha za kubip watajichanga kwenda nje
 
Kila mtu ameona. Ni kama hawakwenda preseason. Waliobaki hapa Dar ndio wameonekana wameiva.

Ushamba na makelele ya Uturuki na Tunisia kwisha! Usifanye mchezo na dk. 180 (mechi 2) bila goli.
Kwenda pre season nje ya nchi ni utamaduni wa club kubwa zote duniani kuanzia england ,Spain na Africa ,club zote za mfano ndio zinafanya hivyo ,ni ushamba kushangaa pre season ,club yako itafute pesa .Club ipi kubwa Africa ilifanya pre season nyumbani?Wewe na club yako unafikiri una akili kuliko wao?
 
Back
Top Bottom