Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Kwani Uturuki walienda kutafuta wachezaji au kocha kuwa wakirudi watakuwa tofauti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweliHiyo sports tourism
Hata timu za Ulaya huwa wanaenda Uarabuni na Marekani
TrainingKwani uturuki walienda kutafuta wachezaji au kocha kuwa wakirudi watakuwa tofauti?
kwa hiyo wewe unadhani walienda kule kwa ajili ya kufanya training ya kuja kucheza ngao ya jamii?Training
Effectiveness ya training ya huko Uturuki inapaswa kuonekana wapi? extremely poor questionkwa hiyo wewe unadhani walienda kule kwa ajili ya kufanya training ya kuja kucheza ngao ya jamii?
Kwa hiyo wiki mbili za kuwa huko tena wengine wamekuja ndani ya siku mbili ulitaka uzione kwenye community shield? We kweli kichaa.Effectiveness ya training ya huko Uturuki inapaswa kuonekana wapi? extremely poor question
extremely poor question
Hilo ni tatizo la nani. IdiotKwa hiyo wiki mbili za kuwa huko tena wengine wamekuja ndani ya siku mbili ulitaka uzione kwenye community shield? We kweli kichaa.
Tena hapa ndio nimekuona kichaa zaidi maana hujui maana ya safari husika.
SawaTafuteni hela jamani,timu kubwa zote duniani preseason husafiri mbali kabisa na nchi zao ili kurefresh mind za wachezaji wake kabla ya kuanza msimu mpya
Hujui maana ya pre season piga kimyaKila mtu ameona. Ni kama hawakwenda preseason. Waliobaki hapa Dar ndio wameonekana wameiva.
Ushamba na makelele ya Uturuki na Tunisia kwisha! Usifanye mchezo na dk. 180 (mechi 2) bila goli.
poleHujui maana ya pre season piga kimya
Wanakumbuka sana tu....lkn hawakumbuki kama walikuwa Uturuki
wee shog vipi nahuu upupu wako Kila sehemu?unataka huyu jamaa akulale nini?Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.
Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.
1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.
2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).
NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.
TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
Kwa hisani ya waamuzi kweli.hongeraNa bado wakatwaa Ngao ya jamii !!
Ushamba tu unawasumbua utopolo... Preseason ina malengo mengi kubwa likiwa team kujiandaa na msimu mpya ila mengineyo yanajumuisha kubadilisha hali ya hewa, relaxation ya wachezaji na benchi la ufundi. Kiufupi ni aina nyingine ya Holiday kwa wachezaji na benchi la ufundi... Endeleeni kujifungia huko Kimbiji na mwaka huu mapema mnatolewa michuano ya CAF, Mtakaa kimbiji mpaka kimbiji iwazoee!Kila mtu ameona. Ni kama hawakwenda preseason. Waliobaki hapa Dar ndio wameonekana wameiva.
Ushamba na makelele ya Uturuki na Tunisia kwisha! Usifanye mchezo na dk. 180 (mechi 2) bila goli.
Wewe ndo umayeamua Yanga kutolewa mapema? Maradhi ya utotoni yamekuathiriUshamba tu unawasumbua utopolo... Preseason ina malengo mengi kubwa likiwa team kujiandaa na msimu mpya ila mengineyo yanajumuisha kubadilisha hali ya hewa, relaxation ya wachezaji na benchi la ufundi. Kiufupi ni aina nyingine ya Holiday kwa wachezaji na benchi la ufundi... Endeleeni kujifungia huko Kimbiji na mwaka huu mapema mnatolewa michuano ya CAF, Mtakaa kimbiji mpaka kimbiji iwazoee!
HaswaaaKwa hisani ya waamuzi kweli.hongera
Mnaumia sana mwaka timu inaenda Ufaransa kabisa .Kila mtu ameona. Ni kama hawakwenda preseason. Waliobaki hapa Dar ndio wameonekana wameiva.
Ushamba na makelele ya Uturuki na Tunisia kwisha! Usifanye mchezo na dk. 180 (mechi 2) bila goli.