Mwakarobo Hali yao ni mbaya mpaka Sasa, sababu hizi kuwaacha uchi kesho

Mwakarobo Hali yao ni mbaya mpaka Sasa, sababu hizi kuwaacha uchi kesho

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Wamezoea kupenyeza ushirikina katikakati ya uwanja na kufukia uchawi lakini safari hii wale wanaowatumiaga wanajiita "makomandoo" uchwara wamepigwa marufuku kuingia ndani ya uwanja wakijifanya wanaulinda wakati tiyali uwanja una walinzi wake!!!
Kitendo Cha kuifanyia marekebisho pitch ya uwanja wa taifa ni pigo jingine kwa mwakarobo kwani Kuna vitu vya ajabu vimefukuliwa kati kati ya uwanja na kuondoshwa aijulikani ni timu Gani iliweka takataka zile lakini aiitaji akili kubwa kujua!
Mechi kupigwa ijumaa nalo ni pigo jingine kwa wazee wa ndumba na slogan yao ya kwa mkapa atoki mtu, kinyota aijawakalia sawa ata kidogo, wataloga sana lakini aitowasaidia chochote kwa maana Giza aijawai kuishinda Nuru maana waarabu ni siku yao kuu ya kuabudu na kupiga Dua ya kufa mtu Dua ambayo itasambaratisha Kila aina ya uchafu uliowekwa pale kwa mkapa!
Wanatoka kwenye swala ya ijumaa wanakwenda kujiandaa na mechi ya jioni mwenye akili atakuwa kanielewa na Imani ya waarabu inajulikana!
Kwa sababu izo kuu mashabiki wa kolo wasiende na matokeo yao mfukoni maana Kuna wasiojitambua nawaona wakibwabwaja maneno mengi Kama vile wamekatika vichwa uku wengine wakienda mbali zaidi kuwa wanaifunga Aly ahly kuanzia goli 4🤔🤔🤔 bila kujiuliza ndani ya mechi 4 walizocheza wao wameruhusu goli ngapi?

NB: Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
 
Wamezoea kupenyeza ushirikina katikakati ya uwanja na kufukia uchawi lakini safari hii wale wanaowatumiaga wanajiita "makomandoo" uchwara wamepigwa marufuku kuingia ndani ya uwanja wakijifanya wanaulinda wakati tiyali uwanja una walinzi wake!!!
Kitendo Cha kuifanyia marekebisho pitch ya uwanja wa taifa ni pigo jingine kwa mwakarobo kwani Kuna vitu vya ajabu vimefukuliwa kati kati ya uwanja na kuondoshwa aijulikani ni timu Gani iliweka takataka zile lakini aiitaji akili kubwa kujua!
Mechi kupigwa ijumaa nalo ni pigo jingine kwa wazee wa ndumba na slogan yao ya kwa mkapa atoki mtu, kinyota aijawakalia sawa ata kidogo, wataloga sana lakini aitowasaidia chochote kwa maana Giza aijawai kuishinda Nuru maana waarabu ni siku yao kuu ya kuabudu na kupiga Dua ya kufa mtu Dua ambayo itasambaratisha Kila aina ya uchafu uliowekwa pale kwa mkapa!
Wanatoka kwenye swala ya ijumaa wanakwenda kujiandaa na mechi ya jioni mwenye akili atakuwa kanielewa na Imani ya waarabu inajulikana!
Kwa sababu izo kuu mashabiki wa kolo wasiende na matokeo yao mfukoni maana Kuna wasiojitambua nawaona wakibwabwaja maneno mengi Kama vile wamekatika vichwa uku wengine wakienda mbali zaidi kuwa wanaifunga Aly ahly kuanzia goli 4[emoji848][emoji848][emoji848] bila kujiuliza ndani ya mechi 4 walizocheza wao wameruhusu goli ngapi?

NB: Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
Umetumwa na bibi yako? Mwambie tumekushtukia
 
.
 

Attachments

  • F22e1u7WIAIAVvF.jpeg
    F22e1u7WIAIAVvF.jpeg
    36.2 KB · Views: 2
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
IMG_8024.jpeg


YANGA ni tumu yenye Mashabiki WAPUMBAVU.

Mashabiki wasio na Akili.

Mashabiki Wajinga.

Mashabiki Wasioenda shule.
 
Kupigwa game ,ijumaa sio ishu

Kwasababu

MUFTi wetu ,Mzee zuberi katokea shinyanga lakini sio mshamba kiasi hicho ,aikache Simba kwakuwa GAMe inapigwa ijumaa
 
Wamezoea kupenyeza ushirikina katikakati ya uwanja na kufukia uchawi lakini safari hii wale wanaowatumiaga wanajiita "makomandoo" uchwara wamepigwa marufuku kuingia ndani ya uwanja wakijifanya wanaulinda wakati tiyali uwanja una walinzi wake!!!
Kitendo Cha kuifanyia marekebisho pitch ya uwanja wa taifa ni pigo jingine kwa mwakarobo kwani Kuna vitu vya ajabu vimefukuliwa kati kati ya uwanja na kuondoshwa aijulikani ni timu Gani iliweka takataka zile lakini aiitaji akili kubwa kujua!
Mechi kupigwa ijumaa nalo ni pigo jingine kwa wazee wa ndumba na slogan yao ya kwa mkapa atoki mtu, kinyota aijawakalia sawa ata kidogo, wataloga sana lakini aitowasaidia chochote kwa maana Giza aijawai kuishinda Nuru maana waarabu ni siku yao kuu ya kuabudu na kupiga Dua ya kufa mtu Dua ambayo itasambaratisha Kila aina ya uchafu uliowekwa pale kwa mkapa!
Wanatoka kwenye swala ya ijumaa wanakwenda kujiandaa na mechi ya jioni mwenye akili atakuwa kanielewa na Imani ya waarabu inajulikana!
Kwa sababu izo kuu mashabiki wa kolo wasiende na matokeo yao mfukoni maana Kuna wasiojitambua nawaona wakibwabwaja maneno mengi Kama vile wamekatika vichwa uku wengine wakienda mbali zaidi kuwa wanaifunga Aly ahly kuanzia goli 4🤔🤔🤔 bila kujiuliza ndani ya mechi 4 walizocheza wao wameruhusu goli ngapi?

NB: Tujifunze kuwa na akiba ya maneno
IMG_8189.jpeg
 
Kiswahili kibovu.
Uwasilishaji mbovu
Uandishi Mbovu.

Hakuna nukta.
aya
Na alama zozote za Uandishi.

Umeandika kama mtoto wa Darasa la kwanza
 
Kiswahili kibovu.
Uwasilishaji mbovu
Uandishi Mbovu.

Hakuna nukta.
aya
Na alama zozote za Uandishi.

Umeandika kama mtoto wa Darasa la kwanza
Ndo utajua ni darasa la kwanza au ni form six baada ya mechi!
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Back
Top Bottom