Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Umesafiri kwenda sauzi au upo Gamboshi kupigania timu yako isiitwe Mwakarobo jr?litakushuka jambo shauli yako!
nipo huku wanapozuia watu kula hadharani...π€£Umesafiri kwenda sauzi au upo Gamboshi kupigania timu yako isiitwe Mwakarobo jr?
Ondoka huko tafadhali utakufa na njaa ππnipo huku wanapozuia watu kula hadharani...π€£
hehe! labda kama mi si kenzy ungejua sahivi nishakula na tayari whisky ipo kichwani na hakuna anaejua hata usingesema..πOndoka huko tafadhali utakufa na njaa ππ
AaahaaaaTayari tunaye Mwakarobo senior mzoefu nguli wa kutinga robo fainali kwa miaka mitano kisha anapaki bus.
πΈπΈ kaibuka kutoka huko matopeni jangwani na kuanza kukimbizana na wakali wa CAFCL na uzinduzi wake wa kuwa Mwakarobo jr utafanyika rasmi April 5 huko Pretoria.
Hii ni heshima kwa nchi yetu kuwa na Mwakarobo wawili ambao mmoja ni mwandamizi na mwingine ni dogo tu anayeanza kutambaa katika kukimbizana na wakali wa CAFCL.
Sio mbaya tukimshukuru mhamasisaji mkuu wa chama.
Hivi yule demu Evelina wa chumvini alikubadilisha hadi ukaacha kunywa serengeti large na kuhamia kwenye mvinyo?whisky ipo kichwani na hakuna anaejua hata usingesema..π
Siongelei looser cup mkuu πHuyo si msimu uliopita tu hapa katoka kucheza fainali?
Huyo mchoraji huo nyuma ni mgongo auTayari tunaye Mwakarobo senior mzoefu nguli wa kutinga robo fainali kwa miaka mitano kisha anapaki bus.
πΈπΈ kaibuka kutoka huko matopeni jangwani na kuanza kukimbizana na wakali wa CAFCL na uzinduzi wake wa kuwa Mwakarobo jr utafanyika rasmi April 5 huko Pretoria.
Hii ni heshima kwa nchi yetu kuwa na Mwakarobo wawili ambao mmoja ni mwandamizi na mwingine ni dogo tu anayeanza kutambaa katika kukimbizana na wakali wa CAFCL.
Sio mbaya tukimshukuru mhamasisaji mkuu wa chama.
Shangazi, mambo!
marahaba mwanangu....Shangazi, mambo!
Hahahahaha..akili za mbumbumbu hizi
Huyo mchoraji huo nyuma ni mgongo au
HahahaTayari tunaye Mwakarobo senior mzoefu nguli wa kutinga robo fainali kwa miaka mitano kisha anapaki bus.
πΈπΈ kaibuka kutoka huko matopeni jangwani na kuanza kukimbizana na wakali wa CAFCL na uzinduzi wake wa kuwa Mwakarobo jr utafanyika rasmi April 5 huko Pretoria.
Hii ni heshima kwa nchi yetu kuwa na Mwakarobo wawili ambao mmoja ni mwandamizi na mwingine ni dogo tu anayeanza kutambaa katika kukimbizana na wakali wa CAFCL.
Sio mbaya tukimshukuru mhamasisaji mkuu wa chama.
Kuhusu???!!π€£π€£π€£π€£Kwa hiyo?
Hilo jina ni saizi yao mkuu maana wao ndio walibuni Mwakarobo bila kujua kuwa hata wao hilo jina ni lao Ila kuna mtangulizi waoHahaha
Nimecheka Hilo neno mwakarobo Jrπππ π π