Mwakarobo Junior kuzinduliwa rasmi April 5 huko Pretoria

Mwakarobo Junior kuzinduliwa rasmi April 5 huko Pretoria

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Tayari tunaye Mwakarobo senior mzoefu nguli wa kutinga robo fainali kwa miaka mitano kisha anapaki bus.

🐸🐸 kaibuka kutoka huko matopeni jangwani na kuanza kukimbizana na wakali wa CAFCL na uzinduzi wake wa kuwa Mwakarobo jr utafanyika rasmi April 5 huko Pretoria.

Hii ni heshima kwa nchi yetu kuwa na Mwakarobo wawili ambao mmoja ni mwandamizi na mwingine ni dogo tu anayeanza kutambaa katika kukimbizana na wakali wa CAFCL.

Sio mbaya tukimshukuru mhamasisaji mkuu wa chama.

1711790673231.jpg
 
Tayari tunaye Mwakarobo senior mzoefu nguli wa kutinga robo fainali kwa miaka mitano kisha anapaki bus.

🐸🐸 kaibuka kutoka huko matopeni jangwani na kuanza kukimbizana na wakali wa CAFCL na uzinduzi wake wa kuwa Mwakarobo jr utafanyika rasmi April 5 huko Pretoria.

Hii ni heshima kwa nchi yetu kuwa na Mwakarobo wawili ambao mmoja ni mwandamizi na mwingine ni dogo tu anayeanza kutambaa katika kukimbizana na wakali wa CAFCL.

Sio mbaya tukimshukuru mhamasisaji mkuu wa chama.

Aaahaaaa
 
Tayari tunaye Mwakarobo senior mzoefu nguli wa kutinga robo fainali kwa miaka mitano kisha anapaki bus.

🐸🐸 kaibuka kutoka huko matopeni jangwani na kuanza kukimbizana na wakali wa CAFCL na uzinduzi wake wa kuwa Mwakarobo jr utafanyika rasmi April 5 huko Pretoria.

Hii ni heshima kwa nchi yetu kuwa na Mwakarobo wawili ambao mmoja ni mwandamizi na mwingine ni dogo tu anayeanza kutambaa katika kukimbizana na wakali wa CAFCL.

Sio mbaya tukimshukuru mhamasisaji mkuu wa chama.

Huyo mchoraji huo nyuma ni mgongo au
 
Tayari tunaye Mwakarobo senior mzoefu nguli wa kutinga robo fainali kwa miaka mitano kisha anapaki bus.

🐸🐸 kaibuka kutoka huko matopeni jangwani na kuanza kukimbizana na wakali wa CAFCL na uzinduzi wake wa kuwa Mwakarobo jr utafanyika rasmi April 5 huko Pretoria.

Hii ni heshima kwa nchi yetu kuwa na Mwakarobo wawili ambao mmoja ni mwandamizi na mwingine ni dogo tu anayeanza kutambaa katika kukimbizana na wakali wa CAFCL.

Sio mbaya tukimshukuru mhamasisaji mkuu wa chama.

Hahaha
Nimecheka Hilo neno mwakarobo Jr😊😊😅😅😅
 
Back
Top Bottom