Mwakinyo Asaini Mkataba wa Tsh. 232m Marekani, mwenyewe afungua

Mwakinyo Asaini Mkataba wa Tsh. 232m Marekani, mwenyewe afungua

wadigo na watu wa Tanga kwa ujumla wana vipaji kila kona wapo duniani ndo ukweli mtupu ngoja wenye meno ya kuoza na wapagani waje kukosoa
 
Ni kweli ila kwa kuanzia siyo mbaya, vinginevyo atajikuta anaingizwa kwenye kile chama bila kujua, kuna watu wanafikiri malipo makubwa yanatokana na kupigana tu au kuimba tu nk, ukiona mtu analipwa malipo ya ajabu yaani makubwa sana basi jua ni member wao tayari, zaidi ya hapo utalipwa kawaida tu, na hii ni kote iwe kwenye ngumi, mziki au basketball ndio mfumo wenyewe ulivyo nk.
huu utaingizwa ngoja awe famous sana afikishe hata million 1 follower kule insta
 
Ni bongo pekee ndio wanaweza kusifia kitu au mtu kwa tetesi tu pasipo kuthibitisha kwanza ukweli wa taarifa. Yaani mtu anaandika kuwa source ni mtu wake wa karibu halafu mtu anafikia kuamini taarifa moja kwa moja.

Inawezekana ni kweli hii taarifa au inaweza kuwa sio kweli ameitengeneza Mwakinyo ili aonekane maadili yake ni makubwa ndio maana amekataa kupigana kwa mil 46.
Watanzania tunapenda kujadili uzushi na umbea. Yaani hili ni sawa na kusema Vibertz amesaini mkataba wa milioni 50 na kampuni ya Xyz iliyopo nchini Ukraine halafu source ya taarifa ni rafiki wa karibu wa vibertz. Aisee habari za namna zinapatikana kwetu tz
 
Hiyo 232 million ni kwa mwaka? Siyo hela nyingi. Ni approximately $90000 ambayo ni $7500 kwa mwezi. Bado kodi na living expenses. He needs to be advised.
Ibra Classic akihojiwa Azam alisema alipokuwa Marekani alipata pambano tena ya kwenye utangulizi, makubaliano ni 20,000 ila baada ya kodi kukatwa halali yake akabaliwa na $6000.

Kwahiyo kwa bondia wetu wakienda nje hela wanayopata ni sawa na crown ya Twaha Kiduku tu,wasimcheke sana Twaha
 
Watanzania tunapenda kujadili uzushi na umbea. Yaani hili ni sawa na kusema Vibertz amesaini mkataba wa milioni 50 na kampuni ya Xyz iliyopo nchini Ukraine halafu source ya taarifa ni rafiki wa karibu wa vibertz. Aisee habari za namna zinapatikana kwetu tz
Hata picha akisaini mkataba hamna
 
Hiyo 232 million ni kwa mwaka? Siyo hela nyingi. Ni approximately $90000 ambayo ni $7500 kwa mwezi. Bado kodi na living expenses. He needs to be advised.
Huwezi kufananisha na gx 100 wanazo pewa bongo........ukizeeka hata gari uikuti huku ushakuwa kichaa na parksons ina kuhusu + Huna hata mia
 
Taarifa ni kuwa bondia namba moja Tanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kusaini mkataba wa kucheza ngumi nchini Marekani wenye thamani ya Sh milioni 232 chini ya bondia wa zamani na promota Dmitriy Salita wa Kampuni ya Salita Promotion.

Mtanzania huyo ambaye kwa sasa anaishi na kufanya mazoezi nchini Marekani amevuliwa ubingwa wa Afrika ABU ikiwa imepita miezi kaadha tangu Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Duniani ‘WBF’ kumvua mkanda wake wa ubingwa wa Dunia wa WBF.

Taarifa za kuaminika kutoka kwa watu wake wa karibu, wamekiri kuwa moja ya jambo linampa kiburi kwa sasa bondia huyo ni baada ya kufanikiwa kusaini mkataba na Kampuni hiyo ya Salita Promotion chini ya Mmarekani Salita mwenye asili ya Ukraine.

“Tatizo watu wengi wanashindwa kumuelewa Mwakinyo nini ambacho kwa sasa anakilenga katika ngumi maana ndiyo kazi yake hivyo kitendo cha yeye kupoteza mikanda ya ubingwa wa WBF na ABU kwake imekuwa ni jambo la kawaida kwa sababu amesaini mkataba na promota mkubwa nchini Marekani anaitwa Dmitriy Salita ambaye zamani alikuwa bondia.

“Mkataba aliosaini unafika milioni 232 japo kuwa bado wenyewe wamekuwa wakifanya ni jambo la siri kwa kuwa baadhi ya mambo bado hayajakamilika lakini ni kwa sasa watu wasahau kuona Mwakinyo akicheza tena hapa nchini kwa kuwa anataka kupigania mkanda mikubwa ya ubingwa,” alisema mtoa taarifa.

Alipotafutwa Mwakinyo alisema: “Ni kweli nimesaini mkataba ila muda wa kuweka wazi ukifika basi nitakwambia kila kitu ila kwa sasa nimekuwa nikiendelea kujifua hapa Marekani maana malengo yangu ni kupigana katika kuwania mikanda mikubwa na mabondia wa kubwa.”

Source: Global Publishers
Kwahiyo alikaa V8 na 170 millions za kupigana na Kiduku akapokonywa mikanda alafu Leo wameamua kuja na hii 235 Millions Hakika watanzania tuna safari ndefu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo 232 million ni kwa mwaka? Siyo hela nyingi. Ni approximately $90000 ambayo ni $7500 kwa mwezi. Bado kodi na living expenses. He needs to be advised.
Hela kiduchu sana hiyo.........
mwkinyo ana deserve more than that ni bondia mzuri sana
 
Pigana uufute umaskini kwenye maisha yako, damu yako na ukoo wako, ukifanikiwa , hutokua na mawazo ya namna hii.
Unadhani kila mtu ni masikini kama wewe Sisi ni walipa Kodi na wadau wakubwa wa maendeleo wa Nchi hii angalia jina hili unadhani Mimi ni Mtoto wa Mnyonge kama Mwakinyo Hadi apigwe ngumi ndio apate Kula!!....
 
We mkunduh nini, nmekuuliza una shilingi ngapi kwenye akaunti yako mana umesema mwakinyo hana ubavu wa kupewa hizo pesa, kwamba ni muimba taarabu, ndio nakuuliza wewe una kias gani
Unadhani wote humu ni masikini kama wewe hebu kuwa na heshima tena uache kutukana watu hovyo wanapotoa mawazo Yao!!....
 
Unadhani kila mtu ni masikini kama wewe Sisi ni walipa Kodi na wadau wakubwa wa maendeleo wa Nchi hii angalia jina hili unadhani Mimi ni Mtoto wa Mnyonge kama Mwakinyo Hadi apigwe ngumi ndio apate Kula!!....
Maro si walevi tu na majizi ukoo wenu hakuna star kama mwakinyo kama unabisha taja mmjezana majizi tu na walevi
 
Back
Top Bottom