Mwakinyo Asaini Mkataba wa Tsh. 232m Marekani, mwenyewe afungua

Mwakinyo Asaini Mkataba wa Tsh. 232m Marekani, mwenyewe afungua

maendeleo yako wapi tanga ni namba moja kwa viwanda Tanzania mfuate mzee wako muulize
Anyway wewe utakimbia wewe lakini ukweli ni Mwalimu Mzuri sana!!!..Kijana wako kashanyanganywa mikanda 2 na bado atakaa bench Kwa muda mrefu hadi apate pambano kwahiyo ni hasara Kwa biashara yake ya kupigwa ngumi apate Kula italeta shida kesho!!!.. Kwasababu hakuna source ya uhakika na habari ya hizo million mia mbili na kadhaa!!.. Ameamua kudanganya Kwa maslahi yake na wewe!!!
 
Anyway wewe utakimbia wewe lakini ukweli ni Mwalimu Mzuri sana!!!..Kijana wako kashanyanganywa mikanda 2 na bado atakaa bench Kwa muda mrefu hadi apate pambano kwahiyo ni hasara Kwa biashara yake ya kupigwa ngumi apate Kula italeta shida kesho!!!.. Kwasababu hakuna source ya uhakika na habari ya hizo million mia mbili na kadhaa!!.. Ameamua kudanganya Kwa maslahi yake na wewe!!!
wewe huna pesa za kumzidi mwakinyo hata ukoo wenu angalia maendeleo yenu kwanza wacha wivu
 
nyie muuze bangi ndo mpate pesa na madawa muue tena wanawake ndo mpate pesa mutumie veti feki ndo mapte pesa maendeleo hamna kamkoa kadogo hadhi ya jiji bado sana [emoji38] [emoji38] [emoji38] mwakinyo ni fame hatumii ngumi anapigana kumpumzika we mshamba

angalia wakina mywaerther wa wapi we umeajiriwa unapiga kelele
Hata hujui upo Upande upi wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
wewe huna pesa za kumzidi mwakinyo hata ukoo wenu angalia maendeleo yenu kwanza wacha wivu
Hunijui alafu unasema sina fedha tena unaenda hadi kwenye ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] ukishanijua utasema huyu nae ndio fisadi kwasababu ya familia!!!..Hebu tuliza akili yako!!..Kijana wako anapoelekea sio salama Kwa biashara yake!!..Namtafuta Tale tupange pambano huko huko US Sisi tunaenda na Kiduku [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hunijui alafu unasema sina fedha tena unaenda hadi kwenye ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] ukishanijua utasema huyu nae ndio fisadi kwasababu ya familia!!!..Hebu tuliza akili yako!!..Kijana wako anapoelekea sio salama Kwa biashara yake!!..Namtafuta Tale tupange pambano huko huko US Sisi tunaenda na Kiduku [emoji23][emoji23][emoji23]
we nan bhana danganya wa ukoo wenu unamtisha nan eti fisaid hata uwe waziri huna pesa ya kumzidi ukoo upi unaweza kunitisha mikwara kama mandonga chuki tu kwa vile mwakinyo anatokea kule kweny vipaji

na umweka dp kama sio ushamba ukivaa kikaunda unajiona unajua punguza hata mm hunijui katishe washamba wenzio walevi
 
we nan bhana danganya wa ukoo wenu unamtisha nan eti fisaid hata uwe waziri huna pesa ya kumzidi ukoo upi unaweza kunitisha mikwara kama mandonga chuki tu kwa vile mwakinyo anatokea kule kweny vipaji

na umweka dp kama sio ushamba ukivaa kikaunda unajiona unajua punguza hata mm hunijui katishe washamba wenzio walevi
Utaongee yote utatukana lakini bado kuficha uhalisia wako sio salama namna hiyo!!...
 
we nan bhana danganya wa ukoo wenu unamtisha nan eti fisaid hata uwe waziri huna pesa ya kumzidi ukoo upi unaweza kunitisha mikwara kama mandonga chuki tu kwa vile mwakinyo anatokea kule kweny vipaji

na umweka dp kama sio ushamba ukivaa kikaunda unajiona unajua punguza hata mm hunijui katishe washamba wenzio walevi
Sasa nikutishe wewe ambae hata huna pakula itanisaidia nini?!!..
 
we nan bhana danganya wa ukoo wenu unamtisha nan eti fisaid hata uwe waziri huna pesa ya kumzidi ukoo upi unaweza kunitisha mikwara kama mandonga chuki tu kwa vile mwakinyo anatokea kule kweny vipaji

na umweka dp kama sio ushamba ukivaa kikaunda unajiona unajua punguza hata mm hunijui katishe washamba wenzio walevi
Kwahiyo kuweka DP ndio imekuuma namna hii[emoji23][emoji23][emoji23] Mwakinyo anatakiwa aongeze vijana wenye uelewa kidogo!!..
 
Sasa nikutishe wewe ambae hata huna pakula itanisaidia nini?!!..
Kwa akili hizi uwe na degree kama sio kucopy assigment kuibia paper eti unanijua katisha walevi wenzio una chuki kwenu hamna vipaji pigeni magendo tu ibine mitihani mfike mbele

hata kujieleza hujui pointless sijasoma ila naona una elimu ya magendo 😆 😆 😆 😆 kuiba mitihani hadi chuo
 
Kwa akili hizi uwe na degree kama sio kucopy assigment kuibia paper eti unanijua katisha walevi wenzio una chuki kwenu hamna vipaji pigeni magendo tu ibine mitihani mfike mbele

hata kujieleza hujui pointless sijasoma ila naona una elimu ya magendo [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kuiba mitihani hadi chuo
Degree ya nini wewe huna akili Wewe!!!... Endelea kumsifia Mwakinyo
 
😀 [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]wanaumia ukweli mtupu hata app ya NALA aliyegundua hjtokea kwao mna nn nyie
Kwenu kuna viwanda na Madini Aina zote,kuna utalii na mnaongoza kwenye pato la Taifa,Mwakinyo kagundua kila kitu kwenye Nchi hii [emoji23][emoji23][emoji23] na Ndio Tajiri kuliko wote!!!..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ibra Classic akihojiwa Azam alisema alipokuwa Marekani alipata pambano tena ya kwenye utangulizi, makubaliano ni 20,000 ila baada ya kodi kukatwa halali yake akabaliwa na $6000.

Kwahiyo kwa bondia wetu wakienda nje hela wanayopata ni sawa na crown ya Twaha Kiduku tu,wasimcheke sana Twaha
Huyo muongo
 
Kwenu kuna viwanda na Madini Aina zote,kuna utalii na mnaongoza kwenye pato la Taifa,Mwakinyo kagundua kila kitu kwenye Nchi hii [emoji23][emoji23][emoji23] na Ndio Tajiri kuliko wote!!!..[emoji23][emoji23][emoji23]
JAMANI TAKWIMU ZA PATO SI ZIPO 😀 😀 😆 😆 😆 HAPO UTALII WENU KWANI HAULIPI YAANI TANGA IPITWE NA WALEVI
 
Kila la kheri zake endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Back
Top Bottom