screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Halafu lile pambano la Sam Eggington ilikuwa bahati tu kulipata, tusimpe sifa sana Mwakinyo kwamba alilitafuta. Ilitokea mpinzani wa Sam alipata dharura so Mwakinyo akabahatika kuwa replacement, na ndipo alipotoboleaIshu ni kuwa, hawana haja ya kutambishiana...majina yako nje, hasa kwa watasha
Kwa hiyo kama ni jina Kiduku akajitafutie mtasha mwenye rekodi kama Sam ambaye alifanya Mwakinyo apate jina ghafla