Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Ushindi wa Mwakinyo ni sawa na uchaguzi wa serikali za mitaa! (CCM = Mwakinyo kapigwa hoi lakini kashinda! Afadhali Tanmpay angejitoa mapema! ahahahah)
 
Ngoja tusubiri joshua na chibonge wake ruiz, joshua ataweza kuirudisha mikanda yake desemba?
 
Acheni ukumanina wote mnaomponda mwakinyo. Siku zote tulikuwa tunalalamika kwa Nini Tz hatufanyi fitna wageni hapa wakati wao kwao wanafatufanyia fitna. Acheni hizo bana. Kwa hasira naongeza kvant
Nakumbuka cheka alipigana nje akawa anaongoza round 6 kati ya 8 akapigwa ngumi 4 za mfululizo refa akamaliza pambano wakati bado alikua fiti km yule msauth alivyofanyiwa figisu leo.
 
Amdfikaje Hapo? Acha wivu wa kingethe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…