Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NomaaaaaaahZile thread za lowasa humu zooote alivyokuwa akitukanwa kuhusu richmond sijui zimepotelea wapi!!
HAKUNA ALIYECHUKIA UFISADI THAT TIME BILA YA KUMSIFIA MWAKYEMBE KWA ILE REPOTI.Ujasiri wa kusema wameficha baadhi ya taarifa kwenye report kuilinda serikali?
Usipanic sasa [emoji16][emoji16][emoji16]
Mmmhhh kumbe wenye uchungu ni chadema tu,kama ukweli upo kwa nini ccm hawaileti hiyo hoja tena,ili wampate muhusika wa kweli wa Richmond, Mwakyembe acha unafiki wewe baba umekubali demotion basi vimilia hivyo hivyo uendelee kutumikaCdm wametoka nduki kama trump
Kwani ile mahakama ya mafisadi inafanya kazi gani, au unajitoa ufahamu mkuu?Warudishe ile hoja bungeni tutajua mwenye ugonjwa, mwenye PHD na mwenye Bachelor Degree ya kucheza ngoma jukwaani na manyanga miguuni. Wekeni mziki acheni maneno...
Unamaanisha Nassari ni mpuuzi.?Kwani haujui alieoji ni mpuuzi?
Mmmhhh kumbe wenye uchungu ni chadema tu,kama ukweli upo kwa nini ccm hawaileti hiyo hoja tena,ili wampate muhusika wa kweli wa Richmond, Mwakyembe acha unafiki wewe baba umekubali demotion basi vimilia hivyo hivyo uendelee kutumika
Sasa kama ana ukweli mwingine tofauti na ule aliousoma bungeni wakati ule maana yake nini?Alidanganyaje?
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
Tuliwaambia Chadema ....hata wapige sarakasi gani ...huu mzimu wa usaliti utawafata hadi watubu hadharani ....
Unamaanisha Nassari ni mpuuzi.?