Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

Je yupo tayari kueleza yale aliyo acha ili serikali isianguke?
Nadhan Alishachanganikiwa cku nyingi. Yani aliona wepesi kumfix Waziri mkuu bila kumsikiliza, Leo anaona ugumu kumfix mkuu wa mkoa kwa ushahid wa wazi KBS.
 
Naamini unajua maana ya 'Natural Justice'. Kwamba mtu hapewi adhabu mbili kwa kosa hilohilo. Lowasa adhabu yake ya kukubali kujiuzuru ilimpa nafuu ya kutoendeleza mjadala bungeni, wakati huo na kuzua makibwa ambayo yangepelekea kufikishwa mahakamani, na leo mjadala ungekuwa haupo labda na upinzani wanatawala nchi hii.

Naamini umemsikia na kumwelewa Dr Mwakyembe alivyosema kuhusu hilo suala. Kwamba, wabunge wa upinzani wanalichokonoa suala lililokwisha fungwa lakiri.

kisu cha ngariba: kwa jina la ID yako umekuwa ukijadili au kuleta hoja za udaku mtupu. Nina uhakika hata maisha yako ni ya kingaribangariba (kukatakata tu, pasipo mpangilio).
Mbona unatofautiana na Mwakyembe aliesema ufisadi ni kosa la jinai na siku yoyote anaweza kupandishwa mahakamani?
 
Mbona wanatuchanganya hawa Viongozi? Si Boss wake amesema "Hatafukua Makaburi?". Akifukua hili, na Makaburi mengine yafukuliwe.

Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.

Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
 
Mbona unatofautiana na Mwakyembe aliesema ufisadi ni kosa la jinai na siku yoyote anaweza kupandishwa mahakamani?

Ebu msikilize Mwakyembe vizuri. Tume yake ilikuwa ni kufanya uchunguzi na kuwasilisha bungeni kwa maamuzi. Ni wakati huo Lowasa alijiuzuru na suala likaishia hapo kabla ya kutolewa uamuzi. Lakini wabunge wa upunzani wanataka kulirejea (kwa nia ya kumsafisha).

Wafanye hivyo, lakini Mwakyembe ameonya kuwa kufanya hivyo ni kufukua makaburi na Lowasa atatiwa hatiani na CHADEMA, kama chama cha siasa, kitafedheheka.

Heri lawama kuliko fedheha.
 
Kutokana na maneno ya Mh Waziri wa habari na Utamaduni na Michezo Kusema Wapinzani wanataka kumsafisha Mh EL kwa kumlamba miguu,Swali kati ya Wapinzani na Mh Waziri Mwakyembe nani mlamba miguu?
 
Alfu asidhani ufisadi wake tumeusahau. Magu anakingia kifua mafisadi. 2020 lazma tumrudshe chato.
 
Hivi nyie chadema mnaolilia bungeni kuwa kamati ya Richmond haikumpa fursa ya kusikilizwa nawauliza kwamba ilikuwaje mkamuweka kwenye "LIST OF SHAME" bila kumpa wasaa wa yeye kujielezea??
 
Haa! kumbe mnajua lakini bado mkaona angefaa kuwa RAIS kupitia CHADEMA?

Usipende kuweka mawazo yako kwenye mawazo ya wengine.

Ukiniuliza kuhusu Urais nitakujibu hivi,Siyo JPM wala Lowassa wenye uwezo wa kutuongoza.Kama kukosa CDM pamoja na CCM mliingia mkenge.Ni bora CCM wangemweka Chikawe au Judge Ramadhani lakini kwa JPM hamna kitu kuanzia Uongozi mpaka kicwani kwani anafikiria kwa Chuki,visasi na ubaguzi. Hope umenielewa.

Kama ufisadi Lowassa na JPM wote ni mafisadi wametajirika kutumia madeal na wizi wa pesa za Serikali hakuna msafi hapo.
 
Kama ni hivyo kilichokufanya uwadekie barabara Lowasa na Sumaye ni nini basi?

U sidhani watu wote wanaakili ya kufungasha kama kifurushi cha halichachi sawa.

Huna hoja heshima mawazo ya wengine.
 
Ebu msikilize Mwakyembe vizuri. Tume yake ilikuwa ni kufanya uchunguzi na kuwasilisha bungeni kwa maamuzi. Ni wakati huo Lowasa alijiuzuru na suala likaishia hapo kabla ya kutolewa uamuzi. Lakini wabunge wa upunzani wanataka kulirejea (kwa nia ya kumsafisha).

Wafanye hivyo, lakini Mwakyembe ameonya kuwa kufanya hivyo ni kufukua makaburi na Lowasa atatiwa hatiani na CHADEMA, kama chama cha siasa, kitafedheheka.

Heri lawama kuliko fedheha.

Hapo rafiki kuna watu ndani ya CCM jawatapona.Jiulize ni kwanini hawampeleki Mahakamani??

Nyuma ya pazia la Richmond wako wengi mpaka akina JK,leo Mwakyembe anafungua mdomo sababu kikaangoni yupo JPM kwanini issue hai kuendelea??Kwanini alisema a naogopa kuiangusha serikali ya JK?
 
Hapo rafiki kuna watu ndani ya CCM jawatapona.Jiulize ni kwanini hawampeleki Mahakamani??

Nyuma ya pazia la Richmond wako wengi mpaka akina JK,leo Mwakyembe anafungua mdomo sababu kikaangoni yupo JPM kwanini issue hai kuendelea??Kwanini alisema a naogopa kuiangusha serikali ya JK?
Lakini kama Wapinzani si wairudishe hiyo Hoja tu Mjadala uanze upyaa..!!??
Hili suala la nani na nani hawatapona lisikutie hofu.
 
Naona maandalizi ya kutaka kumsafisha mtu kupitia bunge tukufu yamepamba moto...
ila sisi tuliwasikiliza wao waliombandika kwenye website yao na tukatekeleza...CCM ni wasikivu.
Au ndio maandalizi ya 2020....
Maana mpaka sasa hawana Mtu ktk hiyo nafasi...pia majibu ya yule Mzee alieenda kanada kusoma yamewakatisha sana Tamaa...
Alisema hivi-"Siasa ya Vyama siitaki tena"[emoji56] [emoji56]
 
Chadema wamejiweka kwny Mazingira ya kuwa Wateteaji wa Mtuhumiwa wa Ufisadi walieshiriki kumtangaza Ufisadi!

Jakaya Nyoko kweli kawatumia Adui zake 8 Years kumzima Adui yako bila ya kujijua!

Joshua Nassari anajua kabisa Chadema wanamwita CCM B na Jimbo lake anaandaliwa Sioi Sumari kuwa Mgombea hivyo kaamua kuleta Upya Mjadala wa Richmond kwa ujanja ujanja kumtokomeza Lowassa japo hapa anajifanya Kama kumtetea!
 
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.

Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!

Mbunge wa chadema, atakaethubutu kuileta "Richmond", bungeni, ajue atafuata njia alopita Soffy Simba....
 
Back
Top Bottom