Naamini unajua maana ya 'Natural Justice'. Kwamba mtu hapewi adhabu mbili kwa kosa hilohilo. Lowasa adhabu yake ya kukubali kujiuzuru ilimpa nafuu ya kutoendeleza mjadala bungeni, wakati huo na kuzua makibwa ambayo yangepelekea kufikishwa mahakamani, na leo mjadala ungekuwa haupo labda na upinzani wanatawala nchi hii.
Naamini umemsikia na kumwelewa Dr Mwakyembe alivyosema kuhusu hilo suala. Kwamba, wabunge wa upinzani wanalichokonoa suala lililokwisha fungwa lakiri.
kisu cha ngariba: kwa jina la ID yako umekuwa ukijadili au kuleta hoja za udaku mtupu. Nina uhakika hata maisha yako ni ya kingaribangariba (kukatakata tu, pasipo mpangilio).